Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana manka!L7 Inakutesa na hoja mfu
Pole sana manka!
Bwashee si kila jambo alifanyalo mbunge ni lazima lifanyike mbele ya mashuhuda hasa wanahabari. Na si kila jambo ambalo hilijapata kuhabarishwa na vyombo vya habari ni kwamba halina mchango wa mbunge wa sehemu husika.Hata kama ni kweli hagombei tena ubunge Arusha mjini na badala yake anagombea Hai bado ana jukumu la kuwatumikia wapiga kura wake hadi bunge litakapovunjwa.
Mbunge Lema Tafadhali fika sokoni Samunge uwasikilize wapiga kura wako usiwaachie RC na DC peke yao.
Usiwe kama mbunge wa Ukonga aliyetelekeza jimbo kwa kuendekeza ukabila eti kaenda kuwatumikia ndugu zake Tarime vijiji wakate Heche bado yupo.
Maendeleo hayana vyama!
Kina mshindo.....!
Nimekuelewa bwashee!Bwashee si kila jambo alifanyalo mbunge ni lazima lifanyike mbele ya mashuhuda hasa wanahabari. Na si kila jambo ambalo hilijapata kuhabarishwa na vyombo vya habari ni kwamba halina mchango wa mbunge wa sehemu husika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lemutuz, hivi kule Marekani ulienda kufanya nini?Hata kama ni kweli hagombei tena ubunge Arusha mjini na badala yake anagombea Hai bado ana jukumu la kuwatumikia wapiga kura wake hadi bunge litakapovunjwa.
Mbunge Lema Tafadhali fika sokoni Samunge uwasikilize wapiga kura wako usiwaachie RC na DC peke yao.
Usiwe kama mbunge wa Ukonga aliyetelekeza jimbo kwa kuendekeza ukabila eti kaenda kuwatumikia ndugu zake Tarime vijiji wakate Heche bado yupo.
Maendeleo hayana vyama!
Le mutuz yuko Mtera anajaribu kumkabili kibajaji!
Yumo humu bwashee na ameshajibu!
Ukweli mchungu! Yaani unagonga mule mule kama ulivyompasulia Herode alivyomchukua mke wa mtuHata kama ni kweli hagombei tena ubunge Arusha mjini na badala yake anagombea Hai bado ana jukumu la kuwatumikia wapiga kura wake hadi bunge litakapovunjwa.
Mbunge Lema Tafadhali fika sokoni Samunge uwasikilize wapiga kura wako usiwaachie RC na DC peke yao.
Usiwe kama mbunge wa Ukonga aliyetelekeza jimbo kwa kuendekeza ukabila eti kaenda kuwatumikia ndugu zake Tarime vijiji wakate Heche bado yupo.
Maendeleo hayana vyama!
Kuna ndugu yangu naye ni muhanga wa huo moto. Anasema DC na RC wanashinda na polisi hapo sokoni kuhakikisha Lema haendi hapo, kwa mujibu wa tetesi nyuma ya pazia hao viongozi wa serikali wanasema wanalinda kura za ccm, kwa mantiki kuwa Lema akienda hapo sokoni atashawishi kura! Hivyo wamepanga kuwa Lema akienda hapo wambadilishie kibao kuwa anafanya siasa kwenye ajali ya moto.
Anawashughulikia maccm.Hata kama ni kweli hagombei tena ubunge Arusha mjini na badala yake anagombea Hai bado ana jukumu la kuwatumikia wapiga kura wake hadi bunge litakapovunjwa.
Mbunge Lema Tafadhali fika sokoni Samunge uwasikilize wapiga kura wako usiwaachie RC na DC peke yao.
Usiwe kama mbunge wa Ukonga aliyetelekeza jimbo kwa kuendekeza ukabila eti kaenda kuwatumikia ndugu zake Tarime vijiji wakate Heche bado yupo.
Maendeleo hayana vyama!