Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Kwanza asante kuwa mdau wa Jicho Letu Ndani ya Habari, na asante kuangalia kipindi. Kwavile uliangalia kipindi, jee ulisikia nikishauri Twitter ifungwe?. Kama uliangalia kipindi, ulisikia nilichosema, sasa umewezaje kusema haya?!,Sijafungua hata hiyo clip. Mimi ni mdau wa kipindi cha jicho letu ndani ya habari, hivyo hicho kipindi nilikisikia.
Wale ambao hawakuona kipindi wakiambiwa Pasco amesema Twitter ifungwe, rukhsa kuamini lakini hata wewe uliotazama na kusikia?!.Paskali bana, ulishauri twitter ifungwe kisa maoni ya huko hayakufurahishi, lakini huna uhalali wa kuelekeza platform yoyote ifungwe
Dr Slaa, Zito, Kitila hawa wote walikua vigogo ndani ya chadema lakini wameondoka bila kulalamikia ufujaji pesa pale cdm,......
Hawa vijana walioondoka awamu hii ya Magufuli sijui wamejifunza wapi kutukana waliowatoa jalalani.
Lijualikali simfahamu, lakn Silinde ameni-disappoint sana jamani, nilikua namwona kama very matured!
Wapo ambao hata hawakusoma wanajua ,umeonesha uwezo mdogo sana kupambanaua mambo
Tunatofautiana kutazama mambo.Paskali bana, umekimbilia kumjibu huyu jamaa, lakini kule kwenye uzi mama wa wewe kutaka twitter ifungwe ulikuwa unakwepa. Hukusema jf ifungwe, ila ulishauri twitter ifungwe kisa maoni ya huko hayakufurahishi, lakini hakuna popote unataka hao wanaokejeliwa huko wachukuliwe hatua kwa ulevi wao wa madaraka! Kama umeamua kufumbia macho uovu, acha wengine wauanike, huna uhalali wa kuelekeza platform yoyote ifungwe ili wanaogawa vyeo wakutoe kimaisha. Sijui unakwama wapi bro.
Tuhuma zimetoka huko huko na kila tuhuma lazima ichunguzwe nyie mkipewa nchi mtakuwa watu wa namna ganiHata hao TAKUKURU wanatekeleza amri tu hakuna cha msingi.
Duh nini na wewe mkuu😄😄😄😄😭Duh...!.
P
Ulitaka wafumbie macho wizi?Lijualikali simfahamu, lakn Silinde ameni-disappoint sana jamani, nilikua namwona kama very matured!
Tunataka haki na ukweli.Tuhuma zimetoka huko huko na kila tuhuma lazima ichunguzwe nyie mkipewa nchi mtakuwa watu wa namna gani
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
D.....!Duh nini na wewe mkuu😄😄😄😄😭
Tindo ni moja ya vijana waosha vyombo wa mboweDuh...!, yaani Mkuu Tindo, hata wewe?!. Nimesema sijasema popote Twitter ifungwe na nimekuwea clip ya nilichosema lakini bado unaamini nilisema Twitter ifungwe !.
P
Wan Nigeria huwa wanasema 'shine your eyes'!
Yapo mengi mazito zaidi, yenye matumizi ya hela za umma ndefu zaidi na yaliyotiliwa shaka hata na CAG, lakini wameyakalia kimya na TAKUKURU.
Wabunge walio defect toka Cdm this time ni maropo (waitara, mollel, lijualikali na sasa silinde) na boss akiona hivo huwapa unaibu daahh !!.Uyu lijualikali awe na akiba ya maneno aisee jamaa mlopofu mnooo....
Yuko wapi huyo mla ugoroVipi kuhusu tuhuma za VIONGOZI na CCM kuwanunua wabunge na madiwani, ushahidi aliowasilisha TAKUKURU aliyekuwa mbuge wa Arumeru Nasari uliishia wapi?
Yaani hii ndo imethibitisha kuwa hao takukuru ni mpango mkakati wa kusaidia jamaa wale walio hoi.
Ingekuwa ni nchi ya watu makini hii kima lijualikali ingekamatwa iisaidie polisi kuhusu kauli yake.
Kwamba analazimisha wingine wawe na mawazo yake?
Why?
Afrika tuna safari ndefu kufikia ustaarabu.
Ka snich kanakoment duh!Duh...!.
P
Next time chadema hawapati mbunge hata mmojaWabunge walio defect toka Cdm this time ni maropo (waitara, mollel, lijualikali na sasa silinde) na boss akiona hivo huwapa unaibu daahh !!.
Next time Cdm iwe makini sana
Kasome tena bila haraka ya jazba utaelewa. Ubaguzi wao ndio waanza kutia shaka.Inamaana hujui kama hizo pesa zozote zikionekana zimetolewa kirushwarushwa hufanyiwa uchunguzi sio Moana CAG aseme
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app