Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatetei bure, anajua thamani ya viuno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaa mmepata mtetezi wenu.
labda jamaa yake perfomance imeshuka akaona ajitetee na matutaKwani viuno wenyewe wanasema.?
Litakuwa kerubi ya Zumaridi[emoji28][emoji28]Mbunge anafanana na Zumaridi [emoji28]
Ukitaka kuwa kivutio mahali zungumzia viuno, kumbuka yule waziri wa mambo ya inside alivyokatika mbele ya kiongozi mkubwa!!“Wanaume wa Mko wa Rukwa wanapata shida, nyumba nyingi zinavunjika chanzo ni matuta makubwa sana.
Nimetukana ,
Mbunge unakosa hoja ya kulisemea taifa lako unaongelea upuuzi?!
Kwamba changamoto lukuki zinazowakabili wana-Rukwa huyo mpuuzi kaiona ya viuno vya wanaume kuumia viuno ndiyo agenda kuu?!
Nimetukana!
==================================
MBUNGE BUPE: MATUTA YANAHARIBU VIUNO VYA WANAUME
Mbunge wa Viti Maalum (Rukwa), Bupe Mwakang’ata ameyasema haya Bungeni leo Jumatatu Aprili 11, 2022:
“Wanaume wa Mko wa Rukwa wanapata shida, nyumba nyingi zinavunjika chanzo ni matuta makubwa sana.
"Hayati Magufuli alipokuja aliona na akamwambia Waziri wa Uchukuzi wa wakati ule kuwa anampa mwezi mmoja yatoke, hayakutolewa, Katibu wa CCM alipokuja katika ziara Mkoani Rukwa alipata tabu sana hakulala siku hiyo, akaiambia Serikali iyatoe lakini mpaka leo kimya.
“Tunaomba Serikali ifanyie kazi suala hili matuta yaweze kuondolewa."
Kama hiki changu kipo vzr coca![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaume na viuno vyao woiiiiiiiih.
Binadamu tunaanza kujipenda kwanza.Hayo mambo makubwa ya nchi yatafanyika kukiwa na utulivu wa mwili na akili.Viuno oyeeeee!😂😂😂😂😂
Mbunge unakosa hoja ya kulisemea taifa lako unaongelea upuuzi?!
Kwamba changamoto lukuki zinazowakabili wana-Rukwa huyo mpuuzi kaiona ya viuno vya wanaume kuumia viuno ndiyo agenda kuu?!
Nimetukana!
==================================
MBUNGE BUPE: MATUTA YANAHARIBU VIUNO VYA WANAUME
Mbunge wa Viti Maalum (Rukwa), Bupe Mwakang’ata ameyasema haya Bungeni leo Jumatatu Aprili 11, 2022:
“Wanaume wa Mko wa Rukwa wanapata shida, nyumba nyingi zinavunjika chanzo ni matuta makubwa sana.
"Hayati Magufuli alipokuja aliona na akamwambia Waziri wa Uchukuzi wa wakati ule kuwa anampa mwezi mmoja yatoke, hayakutolewa, Katibu wa CCM alipokuja katika ziara Mkoani Rukwa alipata tabu sana hakulala siku hiyo, akaiambia Serikali iyatoe lakini mpaka leo kimya.
“Tunaomba Serikali ifanyie kazi suala hili matuta yaweze kuondolewa."
Bila kusahau nderemo na vifijo kama kawaida yao.Sasa hivi Bunge live wanaenda kasi!Vip wamepiga makofi kumpongeza mleta hoja?
Viuno hoyeeeeeeeeeh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatetei bure, anajua thamani ya viuno[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbunge anafanana na Zumaridi [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] viuno km viuno. UwiiiiiiihKama hiki changu kipo vzr coca!
Mbunge Bupe anajua umuhimu wa hivi viuno vyetu
Type hii hawanaga waume.Huenda bwana wake hapaform vizuri 6x6 hivyo sababu anayompa ni hiyo ya matuta kumrusharusha.
Usishangae sana huenda pia muhusika wake ni dereva hivyo anachokiongea atakuwa na uzoefu nacho sawa sawa.
Khaaaa 😳
Mbunge unakosa hoja ya kulisemea taifa lako unaongelea upuuzi?!
Kwamba changamoto lukuki zinazowakabili wana-Rukwa huyo mpuuzi kaiona ya viuno vya wanaume kuumia viuno ndiyo agenda kuu?!
Nimetukana!
==================================
MBUNGE BUPE: MATUTA YANAHARIBU VIUNO VYA WANAUME
Mbunge wa Viti Maalum (Rukwa), Bupe Mwakang’ata ameyasema haya Bungeni leo Jumatatu Aprili 11, 2022:
“Wanaume wa Mko wa Rukwa wanapata shida, nyumba nyingi zinavunjika chanzo ni matuta makubwa sana.
"Hayati Magufuli alipokuja aliona na akamwambia Waziri wa Uchukuzi wa wakati ule kuwa anampa mwezi mmoja yatoke, hayakutolewa, Katibu wa CCM alipokuja katika ziara Mkoani Rukwa alipata tabu sana hakulala siku hiyo, akaiambia Serikali iyatoe lakini mpaka leo kimya.
“Tunaomba Serikali ifanyie kazi suala hili matuta yaweze kuondolewa."