Mbunge: Matuta yanaharibu viuno vya wanaume wa Rukwa, yapunguzwe

Mbunge: Matuta yanaharibu viuno vya wanaume wa Rukwa, yapunguzwe

Hayuko sahihi, mara nyingi gari likiruka kwenye tuta wanawake ndio huwa wanalalamika kutolewa vizazi..
 
“Wanaume wa Mko wa Rukwa wanapata shida, nyumba nyingi zinavunjika chanzo ni matuta makubwa sana.
Ukitaka kuwa kivutio mahali zungumzia viuno, kumbuka yule waziri wa mambo ya inside alivyokatika mbele ya kiongozi mkubwa!!
 

Mbunge unakosa hoja ya kulisemea taifa lako unaongelea upuuzi?!

Kwamba changamoto lukuki zinazowakabili wana-Rukwa huyo mpuuzi kaiona ya viuno vya wanaume kuumia viuno ndiyo agenda kuu?!

Nimetukana!


==================================

MBUNGE BUPE: MATUTA YANAHARIBU VIUNO VYA WANAUME

Mbunge wa Viti Maalum (Rukwa), Bupe Mwakang’ata ameyasema haya Bungeni leo Jumatatu Aprili 11, 2022:

“Wanaume wa Mko wa Rukwa wanapata shida, nyumba nyingi zinavunjika chanzo ni matuta makubwa sana.

"Hayati Magufuli alipokuja aliona na akamwambia Waziri wa Uchukuzi wa wakati ule kuwa anampa mwezi mmoja yatoke, hayakutolewa, Katibu wa CCM alipokuja katika ziara Mkoani Rukwa alipata tabu sana hakulala siku hiyo, akaiambia Serikali iyatoe lakini mpaka leo kimya.

“Tunaomba Serikali ifanyie kazi suala hili matuta yaweze kuondolewa."
Nimetukana ,
Mpyuuuuu,
Mwendazake katuletea matatizo Sana Nchi hii kutuletea wabunge masalo.....
 

Mbunge unakosa hoja ya kulisemea taifa lako unaongelea upuuzi?!

Kwamba changamoto lukuki zinazowakabili wana-Rukwa huyo mpuuzi kaiona ya viuno vya wanaume kuumia viuno ndiyo agenda kuu?!

Nimetukana!


==================================

MBUNGE BUPE: MATUTA YANAHARIBU VIUNO VYA WANAUME

Mbunge wa Viti Maalum (Rukwa), Bupe Mwakang’ata ameyasema haya Bungeni leo Jumatatu Aprili 11, 2022:

“Wanaume wa Mko wa Rukwa wanapata shida, nyumba nyingi zinavunjika chanzo ni matuta makubwa sana.

"Hayati Magufuli alipokuja aliona na akamwambia Waziri wa Uchukuzi wa wakati ule kuwa anampa mwezi mmoja yatoke, hayakutolewa, Katibu wa CCM alipokuja katika ziara Mkoani Rukwa alipata tabu sana hakulala siku hiyo, akaiambia Serikali iyatoe lakini mpaka leo kimya.

“Tunaomba Serikali ifanyie kazi suala hili matuta yaweze kuondolewa."
Binadamu tunaanza kujipenda kwanza.Hayo mambo makubwa ya nchi yatafanyika kukiwa na utulivu wa mwili na akili.Viuno oyeeeee!😂😂😂😂😂
 
Yaani hiyo njia nilipita majuzi toka sumbawanga Hadi Tunduma ..njia Ina matuta hatari..Tena wananchi wameyahesabu wanasema Yako 60.sidhani Kama Kuna njia Ina matuta Kama hiyo Tanzania
 

Mbunge unakosa hoja ya kulisemea taifa lako unaongelea upuuzi?!

Kwamba changamoto lukuki zinazowakabili wana-Rukwa huyo mpuuzi kaiona ya viuno vya wanaume kuumia viuno ndiyo agenda kuu?!

Nimetukana!


==================================

MBUNGE BUPE: MATUTA YANAHARIBU VIUNO VYA WANAUME

Mbunge wa Viti Maalum (Rukwa), Bupe Mwakang’ata ameyasema haya Bungeni leo Jumatatu Aprili 11, 2022:

“Wanaume wa Mko wa Rukwa wanapata shida, nyumba nyingi zinavunjika chanzo ni matuta makubwa sana.

"Hayati Magufuli alipokuja aliona na akamwambia Waziri wa Uchukuzi wa wakati ule kuwa anampa mwezi mmoja yatoke, hayakutolewa, Katibu wa CCM alipokuja katika ziara Mkoani Rukwa alipata tabu sana hakulala siku hiyo, akaiambia Serikali iyatoe lakini mpaka leo kimya.

“Tunaomba Serikali ifanyie kazi suala hili matuta yaweze kuondolewa."
Khaaaa 😳

IMG_20211029_105959.jpg
 
Back
Top Bottom