Mbunge: Matuta yanaharibu viuno vya wanaume wa Rukwa, yapunguzwe

Mbunge: Matuta yanaharibu viuno vya wanaume wa Rukwa, yapunguzwe


Mbunge unakosa hoja ya kulisemea taifa lako unaongelea upuuzi?!

Kwamba changamoto lukuki zinazowakabili wana-Rukwa huyo mpuuzi kaiona ya viuno vya wanaume kuumia viuno ndiyo agenda kuu?!

Nimetukana!


==================================

MBUNGE BUPE: MATUTA YANAHARIBU VIUNO VYA WANAUME

Mbunge wa Viti Maalum (Rukwa), Bupe Mwakang’ata ameyasema haya Bungeni leo Jumatatu Aprili 11, 2022:

“Wanaume wa Mko wa Rukwa wanapata shida, nyumba nyingi zinavunjika chanzo ni matuta makubwa sana.

"Hayati Magufuli alipokuja aliona na akamwambia Waziri wa Uchukuzi wa wakati ule kuwa anampa mwezi mmoja yatoke, hayakutolewa, Katibu wa CCM alipokuja katika ziara Mkoani Rukwa alipata tabu sana hakulala siku hiyo, akaiambia Serikali iyatoe lakini mpaka leo kimya.

“Tunaomba Serikali ifanyie kazi suala hili matuta yaweze kuondolewa."
Pamoja na kwamba kaingiza chumvi ila hayo matuta yapunguzwe,ni kero..

Tanroads wapange bajeti.
 
Kama ni mbunge kutoka rukwa sijamshangaa Ila ni aibu kwaccm na bunge lenyewe harafu ni mhandisi
 

Mbunge unakosa hoja ya kulisemea taifa lako unaongelea upuuzi?!

Kwamba changamoto lukuki zinazowakabili wana-Rukwa huyo mpuuzi kaiona ya viuno vya wanaume kuumia viuno ndiyo agenda kuu?!

Nimetukana!


==================================

MBUNGE BUPE: MATUTA YANAHARIBU VIUNO VYA WANAUME

Mbunge wa Viti Maalum (Rukwa), Bupe Mwakang’ata ameyasema haya Bungeni leo Jumatatu Aprili 11, 2022:

“Wanaume wa Mko wa Rukwa wanapata shida, nyumba nyingi zinavunjika chanzo ni matuta makubwa sana.

"Hayati Magufuli alipokuja aliona na akamwambia Waziri wa Uchukuzi wa wakati ule kuwa anampa mwezi mmoja yatoke, hayakutolewa, Katibu wa CCM alipokuja katika ziara Mkoani Rukwa alipata tabu sana hakulala siku hiyo, akaiambia Serikali iyatoe lakini mpaka leo kimya.

“Tunaomba Serikali ifanyie kazi suala hili matuta yaweze kuondolewa."
Kwa kweli Mwendazake Magufuli alitufanyia vibaya watanzania kwa kutuachia bunge lenye watu mazumbukuku kiasi hiki.
 
Asante magufuli kutuletea wabunge hawa!!
 

Mbunge unakosa hoja ya kulisemea taifa lako unaongelea upuuzi?!

Kwamba changamoto lukuki zinazowakabili wana-Rukwa huyo mpuuzi kaiona ya viuno vya wanaume kuumia viuno ndiyo agenda kuu?!

Nimetukana!


==================================

MBUNGE BUPE: MATUTA YANAHARIBU VIUNO VYA WANAUME

Mbunge wa Viti Maalum (Rukwa), Bupe Mwakang’ata ameyasema haya Bungeni leo Jumatatu Aprili 11, 2022:

“Wanaume wa Mko wa Rukwa wanapata shida, nyumba nyingi zinavunjika chanzo ni matuta makubwa sana.

"Hayati Magufuli alipokuja aliona na akamwambia Waziri wa Uchukuzi wa wakati ule kuwa anampa mwezi mmoja yatoke, hayakutolewa, Katibu wa CCM alipokuja katika ziara Mkoani Rukwa alipata tabu sana hakulala siku hiyo, akaiambia Serikali iyatoe lakini mpaka leo kimya.

“Tunaomba Serikali ifanyie kazi suala hili matuta yaweze kuondolewa."
Hawa ndio wajinga Magufuli alowataka
 
Suala la Matuta ni bahati mbaya sana...Hatuwezi kuchunga watu wazima kama mbuzi na kondooo...Ingetakiwa tu sheria iwe kali ukiendesha speed sehemu iisiyofaa unafungiwa na jela miezi 6 hii ingesaidia sana bila hivyo wapo watu wapuuzi ndio wanataka wawekewe matuta kama watoto...
 
Yes, muhimu posho iingie kwenye Acc on time......

Matatizo ni pale mtu unapoongea ilihali ilikuwa ni wakati wa kukaa kimya... lazima uteme Pumba
 
Back
Top Bottom