Mbunge Miraji Mtaturu amponda Tundu Lissu, asema hata Mbowe alimshtukia Baada ya kupokelewa na WATU kiduchu. Adai amerudi alikotoka kimya kimya!

Mbunge Miraji Mtaturu amponda Tundu Lissu, asema hata Mbowe alimshtukia Baada ya kupokelewa na WATU kiduchu. Adai amerudi alikotoka kimya kimya!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mbunge wa Singida Mashariki mh Miraji Mtaturu amesema Tundu Lisu amerejea alikokuwa kimya kimya Baada ya kuona Wana wa Ikungi wameshaachana na mambo ya Upinzani

Mtaturu amesema hata Mbowe alishangaa kukuta Wapinzani kiduchu Ikungi hali iliyofanya amuhiji Tundu Lisu " Ulisema Ikungi kuna Wapinzani Ndio hawa kiduchu?!!

Source Jambo tv
===
"Mwaka wa 2012, CHADEMA walipokea visima 100 kutoka kwa Mzee Sabodo ili kusaidia wananchi katika majimbo yao. Miongoni mwao, Mbunge wa Ikungi alipewa visima 10. Lakini je, kisima chochote kiliweza kuchimbwa? Kama haukuonesha uaminifu katika visima 10 ulivyopewa, tutakuaminije kuhusu kupewa nchi yetu?" - Miraji Mtaturu (Mb)


"Jamaa huyo aliyetoka nje ya nchi alipokelewa kwa shangwe, lakini alipofika Ikungi alikutana na kikundi kidogo cha watu hadi mwenyekiti wake alimuuliza, 'Je, huu ndio upinzani unaosemwa Ikungi?' Lakini mwishowe, aliondoka kimya kimya na kurudi alipotoka." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki


"Kuna ndugu yetu mmoja ambaye alikuwa nje ya nchi. Aliporudi Singida na kukutana na viongozi wote, alitegemea kuona watu wanaendelea kusema uongo. Lakini watu wa Ikungi wamebadilika, wanatambua maendeleo yanayoletwa na Mama @SuluhuSamia." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki


"Dk. Slaa anasema katika Katiba mpya kuwa wakuu wa wilaya wasiwe na nafasi tena. Anadhani kwamba kuwepo kwao ni tatizo, lakini tatizo hili halionekani na ni sawa na kuzungumzia jambo ambalo halipo. Mkuu wa Wilaya anasimamia shughuli za maendeleo, hivyo kuwepo kwake hakuna tatizo." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki


"Kuna mzee ambaye aliwahi kuwa balozi wa Sweden. Alipofanya kazi yake ya ubalozi, aliipokea kwa mikono miwili na kusema wazi kuwa CCM ndio chama pekee kinachoweza kuendeleza nchi hii. Lakini baada ya kuondoka kwa ubalozi na njaa kumkaba, alianza kuishambulia CCM." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki.
 
Badala ya kuifanyia kazi hoja ya mwekezaji aliyoitoa kwa KM wa CCM Chongolo kuwa watu wa Ikungi ni wavivu ndio maana anafuata wafanyakazi wasukuma huko Mwanza yeye anakomaa na habari za kutunga kuhusu Lissu?
Kumbe huyu Mtaturu hana tofauti na huyu kijana wa hapo hapo Ikungi Suphian Juma .
Na pengine hata tabia wanaendana
 
Badala ya kuifanyia kazi hoja ya mwekezaji aliyoitoa kwa KM wa CCM Chongolo kuwa watu wa Ikungi ni wavivu ndio maana anafuata wafanyakazi wasukuma huko Mwanza yeye anakomaa na habari za kutunga kuhusu Lissu?
Kumbe huyu Mtaturu hana tofauti na huyu kijana wa hapo hapo Ikungi Suphian Juma .
Na pengine hata tabia wanaendana
Huyu Sufuriani si nasikia ana zile tabia za rangi rangi?[emoji15]
 
Kwa hiyo ulitaka hata asiende kwao kweli wachawi hawataisha hii nchi,yaani ni mbunge wa mchongo lakini pia fuvu lake anafugia kamasi tu!
 
Mbunge wa Singida Mashariki mh Miraji Mtaturu amesema Tundu Lisu amerejea alikokuwa kimya kimya Baada ya kuona Wana wa Ikungi wameshaachana na mambo ya Upinzani

Mtaturu amesema hata Mbowe alishangaa kukuta Wapinzani kiduchu Ikungi hali iliyofanya amuhiji Tundu Lisu " Ulisema Ikungi kuna Wapinzani Ndio hawa kiduchu?!!

Source Jambo tv
Ila walikuwepo na wapo sio🤔.Je wafahamu idadi yao.
 
Hiii ni mbaya

===

"Mwaka wa 2012, CHADEMA walipokea visima 100 kutoka kwa Mzee Sabodo ili kusaidia wananchi katika majimbo yao. Miongoni mwao, Mbunge wa Ikungi alipewa visima 10. Lakini je, kisima chochote kiliweza kuchimbwa? Kama haukuonesha uaminifu katika visima 10 ulivyopewa, tutakuaminije kuhusu kupewa nchi yetu?" - Miraji Mtaturu (Mb)

"Jamaa huyo aliyetoka nje ya nchi alipokelewa kwa shangwe, lakini alipofika Ikungi alikutana na kikundi kidogo cha watu hadi mwenyekiti wake alimuuliza, 'Je, huu ndio upinzani unaosemwa Ikungi?' Lakini mwishowe, aliondoka kimya kimya na kurudi alipotoka." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki

"Kuna ndugu yetu mmoja ambaye alikuwa nje ya nchi. Aliporudi Singida na kukutana na viongozi wote, alitegemea kuona watu wanaendelea kusema uongo. Lakini watu wa Ikungi wamebadilika, wanatambua maendeleo yanayoletwa na Mama @SuluhuSamia." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki

"Dk. Slaa anasema katika Katiba mpya kuwa wakuu wa wilaya wasiwe na nafasi tena. Anadhani kwamba kuwepo kwao ni tatizo, lakini tatizo hili halionekani na ni sawa na kuzungumzia jambo ambalo halipo. Mkuu wa Wilaya anasimamia shughuli za maendeleo, hivyo kuwepo kwake hakuna tatizo." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki

"Kuna mzee ambaye aliwahi kuwa balozi wa Sweden. Alipofanya kazi yake ya ubalozi, aliipokea kwa mikono miwili na kusema wazi kuwa CCM ndio chama pekee kinachoweza kuendeleza nchi hii. Lakini baada ya kuondoka kwa ubalozi na njaa kumkaba, alianza kuishambulia CCM." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki.

FqG7OX9WIAEAu0O
 
Mchecheto umeshika akijua mbeleko iliyomfikisha hapo imesha tangulia mbele ya haki
Mfahamisheni Sabodo hakutoa fedha zote kutimiza ahadi yake
Jibuni hoja msilete vioja
Visima alivyofadhiri mzee sabodo vipo wapi?
 
Huyo naye amekosa vya kuongea?. Kitendo Cha kumuongelea Lissu baadala ya maendeleo inaonekana ana mahaba na Lissu.
Kwani kuhoji visima sio sehemu ya maendeleo?
Acheni janja janja
 
Hiii ni mbaya

===

"Mwaka wa 2012, CHADEMA walipokea visima 100 kutoka kwa Mzee Sabodo ili kusaidia wananchi katika majimbo yao. Miongoni mwao, Mbunge wa Ikungi alipewa visima 10. Lakini je, kisima chochote kiliweza kuchimbwa? Kama haukuonesha uaminifu katika visima 10 ulivyopewa, tutakuaminije kuhusu kupewa nchi yetu?" - Miraji Mtaturu (Mb)

"Jamaa huyo aliyetoka nje ya nchi alipokelewa kwa shangwe, lakini alipofika Ikungi alikutana na kikundi kidogo cha watu hadi mwenyekiti wake alimuuliza, 'Je, huu ndio upinzani unaosemwa Ikungi?' Lakini mwishowe, aliondoka kimya kimya na kurudi alipotoka." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki

"Kuna ndugu yetu mmoja ambaye alikuwa nje ya nchi. Aliporudi Singida na kukutana na viongozi wote, alitegemea kuona watu wanaendelea kusema uongo. Lakini watu wa Ikungi wamebadilika, wanatambua maendeleo yanayoletwa na Mama @SuluhuSamia." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki

"Dk. Slaa anasema katika Katiba mpya kuwa wakuu wa wilaya wasiwe na nafasi tena. Anadhani kwamba kuwepo kwao ni tatizo, lakini tatizo hili halionekani na ni sawa na kuzungumzia jambo ambalo halipo. Mkuu wa Wilaya anasimamia shughuli za maendeleo, hivyo kuwepo kwake hakuna tatizo." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki

"Kuna mzee ambaye aliwahi kuwa balozi wa Sweden. Alipofanya kazi yake ya ubalozi, aliipokea kwa mikono miwili na kusema wazi kuwa CCM ndio chama pekee kinachoweza kuendeleza nchi hii. Lakini baada ya kuondoka kwa ubalozi na njaa kumkaba, alianza kuishambulia CCM." - Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki.

FqG7OX9WIAEAu0O
Mbona povu tu hakuna hoja hapo
 
Back
Top Bottom