Tanganyika ilipewa kazi maalumu na US Zanzibar Isiwe huru hatadakika Moja.Ndio maana wakati wa mwalimu ukizungumzia muungano Yanakukuta🤣🤣🤣.
Hata Aboudu jumbe Raisi baada ya karume yalimkuta.
Walipewa hiyo kazi lini? Wapi?
 
Kwanza mlichotuachia ni pasport tu mengine yoote watanganyika tunahesabika kuwa wageni hivo harakisheni kabisa. Act iliyokupa tonge ni ya Bara. Unakula mishahara miwili Baraza la wawakilishi na BJYMTZ umevimbiwa sasa unecheua bwege. Kwa sasa mmejaza watoto wenu kwenye mashirika nyeti kama TRA, TPA,Tanesco nk, wengine ni wakuu wa wilaya na mikoa, makatibu tawala.

Bado mkitangaza kazi upande wa pili ni za wazanzibari wenyewe. Shughulikieni matatizo ya msingi ya watu wenu. Kwa ujinga wenu zilitungwa sheria za kazi za kikoloni kwenye sekta binafsi mkifikiria kuwakomoa wabara kwa sasa ni watu wenu ndo wanakoma.

Fikiria mtu amefanya kazi hata miaka ishirini kwa kuwa alikuwa anasahinishwa mikataba ya muda mfupi mfupi, akifikia muda wa kustaafu mwajiri naye anamtega kwenye mkataba anahakikisha unaishia ule mwaka wa kustaafu, matokeo yake mbali na mshahara wa mwisho hapati hata shilingi bora hata bara kuna kuna kakipengele ka SEVERANCE (Severance pay means an amount at least equal to 7 days basic wage for each year of continues service up to a maximum of 10 years. However severance pay does not apply if termination is due to misconduct of employee. (e) Transport allowance to the place of recruitment).

Hebu fikiria miaka 20 au 30 kazini unasubiri huruma ya mwajiri na kikokotoo, Likizo kwa mwaka mzima siku 25. Mtu akifiwa na mke, mzazi au mtoto likizo ya kufiwa ni siku moja utafikiri anaenda kuzika mbwa. Mwisho wa siku inabaki huruma ya mwajiri ampe ruhusa baadae aikate kwenye likizo.
 
Tanganyika ilipewa kazi maalumu na US Zanzibar Isiwe huru hatadakika Moja.Ndio maana wakati wa mwalimu ukizungumzia muungano Yanakukuta🤣🤣🤣.
Hata Aboudu jumbe Raisi baada ya karume yalimkuta.
Acha uzushi!!!

Aliyekwenda kuomba msaada asipunduliwe na Hizbu ni Karume na siyo Wamarekani.

Ni Karume aliyekimbilia Kwa Nyerere kuomba asaidiwe John Okello aondolewe Unguja na siyo Wamarekani.

Vunjilieni mbali huo Muungano.
 
Nahisi Hili wazanzibar wanalitamani Sana sijui kwanini..
Sasa hapo Jiulize huyo ni Mbunge,Je wananchi watakuwaje?

..Waznz walioko Unguja na Pemba ndio watachukia muungano.

..Waznz walioko huku Tanganyika wanaopenda muungano kwasababu wanafaidika nao.

..Na Wazn walioko huku Tanganyika idadi yao ni kubwa sana. Ni kubwa kuliko Watanganyika walioko Znz.
 
Watu kama hawa hawahitajiki katika jamii kama kuna msitu au kisiwa apelekwe akaishi peke yake na manyani, huyo mtu ni hatari kwa usalama na ustawi wa taifa!
 
Wazenji wako tayari hata kesho,Bara ndio hawataki.

Kwamba Taiwan na Hong ziwe Nchi huru na jirani ya China? Thubutu.

..lakini Wazanzibari walioko Tanganyika ni wengi kuliko Watanganyika walioko Zanzibar.

..Mheshimiwa mbunge akajipange upya kuhusu suala la Watanganyika kuvijaza visiwa vya Ugunja na Pemba.

Cc Nguruvi3
 
Ila wazenji tunavyowa treat kama mwanamke asiyekutaka waziwazi lakini wewe unamng'ang'ania.

Kwetu wanapaita Tanzania bara kwao ni zanzibar. Si uvunjwe tu huu muungano kila mtu abaki nchini mwake
 
Huyu mbunge ni wa hovyo sana, au ni wale Wamasai wamemkera kuwachapa barora walinzi wa hotel?

Hivi fundi anaenda kutafuta kibarua cha kujenga awe na passport?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…