Mbunge Mohamed Issa: Wanaotoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar wawe na Passport
Option bora zaidi ni kuifanya kuwa Mkoa tu. Peleka Jeshi, vunja mamlaka zote za kipuuzi, Makonda ahamishiwe huko kama Mkuu wa Mkoa.

Atakayezingua ahamie kwa wajomba zake Oman. Maana hawa wapuuzi wanachosha sana, vichwani ni empty kabisa yaani.
 
..Waznz walioko Unguja na Pemba ndio watachukia muungano.

..Waznz walioko huku Tanganyika wanaopenda muungano kwasababu wanafaidika nao.

..Na Wazn walioko huku Tanganyika idadi yao ni kubwa sana. Ni kubwa kuliko Watanganyika walioko Znz.
Mimi Pia Ni mzanzibar Wa kuzaliwa Niko Tanganyika Tangu mwaka 1988 Nilipohamia Huku kwa Ajili ya Masomo Nikafikia Tanga kuendelea na Masomo ya Secondary....
Nikalowea Mpaka Leo 😂😂

Nimeshaweka Familia na Watoto wangu wote ni Watanganyika..
Halafu uniambie Uvunje Muungano..
Wauvunje lakini Sisi tuliopo huku Haturudi Huko🤣🤣
 
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.

Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.

“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.

Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.

“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.

Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.

=====

My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
na yeye akija bara aje na passport? na passprt yenyewe ya tanzania au ya zanzibar?
 
Hawawezi kukubali, huu muungano unawanufaisha zaidi viongozi kuliko wananchi,
Eneo la Zanzibar lenye watu wachache kuliko wilaya ya Kinondoni yenye wabunge 4, lina wabumge 50 bungeni akiwemo huyu mpuuzi
Na anafanana kwa kila hali na mbunge wa Tanganyika mwenye eneo sawa na nchi nzima ya kwao.
 
Na anafanana kwa kila hali na mbunge wa Tanganyika mwenye eneo sawa na nchi nzima ya kwao.
Wanalipwa Kila kitu sawa, Hadi posho ya mafuta lita
Na anafanana kwa kila hali na mbunge wa Tanganyika mwenye eneo sawa na nchi nzima ya kwao.
Wanalpwa sawa, hadi posho ya mafuta ya gari,
Ilitakiwa wakati wa kujadili hoja ambazo sio za muungano wasiwepo bungeni, kwa mfano bajeti ya wizara ya Uchukuzi ambayo hata Waziri wake ni wa huko,
Wao wanajadili za kwao kwenye Baraza la Wawakilishi ambapo hamna mwakilishi hata mmoja wa Tanganyika
 
Huyu Mbunge sijui ana umri gani! Wazanzibar walijaribu hilo miaka ya nyuma Wabunge wa Tanganyika wakasema nao waje kwa Passport. Wazanzibar waliondoa utaratibu ndani ya siku 7. Mwalimu Nyerere alisikia akaacha Bunge liwakaange!

Mbunge huyo aliyechaguliwa na watu 2,500 anasema watu wamejaa Zanzibar hakuna ardhi! Huyu sijui ana elimu gani. Anayeuza Ardhi kwa Wataliano ni Hussein Mwinyi. Visiwa vyote vimeuzwa.

Pili, huyu Mbunge wa watu 2,500 anatamani Zanzibar ya watu Laki 3 hajui kwamba population ni takribani 2 Milioni na 1.4 Milioni kwa takwimu za senasa wanaishi Tanganyika

Tungefurahi sana wakirudisha utaratibu wa Passport! Tena ikiwezekana wiki ijayo

JokaKuu Mag3 Pascal Mayalla
Huyu ni wa kumpuuza lakini awajibishwe indirectly.
 
Ila wazenji tunavyowa treat kama mwanamke asiyekutaka waziwazi lakini wewe unamng'ang'ania.

Kwetu wanapaita Tanzania bara kwao ni zanzibar. Si uvunjwe tu huu muungano kila mtu abaki nchini mwake
I think is time tuwaachie , tumeeapa priority sana lakin sasa wanajawa na kiburi. Enough is Enough
 
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.

Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.

“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.

Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.

“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.

Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.

=====

My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Mwenzao majuzi, tena waziri wa serikali yaa Zanzibar, eti anamwomba rais wa Tanzania Bara wawajengee barabara/ daraja kwenda Zanzibar!
 
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.

Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.

“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.

Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.

“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.

Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.

=====

My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Yaani nitoke Mbeya kwenda Zenji kwa Passport halafu wao waingie hivi hivi kama anatoka Micheweni anaenda forodhani?
 
Anajifanya ana hoja .....amesahau issue sio visa wala passport.....haturusiwi lolote kule.....kumiliki nyumba wala ardhi....bado anaona haitoshi....wao huku wanejaa kibao wana nyumba ardhi kila kitu....sijui wanajisahau
 
Back
Top Bottom