Mbunge Mohamed Issa: Wanaotoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar wawe na Passport
Option bora zaidi ni kuifanya kuwa Mkoa tu. Peleka Jeshi, vunja mamlaka zote za kipuuzi, Makonda ahamishiwe huko kama Mkuu wa Mkoa.

Atakayezingua ahamie kwa wajomba zake Oman. Maana hawa wapuuzi wanachosha sana, vichwani ni empty kabisa yaani.
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂 Una utani na Wazanzibar wewe
 
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.

Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.

“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.

Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.

“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.

Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.

=====

My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Passport sio hati ya kuruhusi kuingiza ni nyingine. Ni hati ya kumruhusu mtu kusafiri kutokea katika nchi yake. Je, Hawa Zanzibar visa wanatolea wapi? Wana ubalozi hapa Tanganyika?
 
Kwani hiyo ardhi kauziwa nani?
Mbona waswahili wanakataliwa? Kama mnavyosema kila leo

Visiwa wameuziwa mafia wa Russia na Italy hao wauza ngada na watakatishaji wa hela wanazoiba kwao na kuja kununua kisiwa chote

Tamaa yao ya mahoteli na majengo yatawatokea puani
Mjerumani nae yupo
Mmewakaribisha wenyewe
 
..lakini Wazanzibari walioko Tanganyika ni wengi kuliko Watanganyika walioko Zanzibar.

..Mheshimiwa mbunge akajipange upya kuhusu suala la Watanganyika kuvijaza visiwa vya Ugunja na Pemba.

Cc Nguruvi3
Watanganyika walioko kule ni wapangapi? hawana haki ya kumiliki ardhi kama Wataliano au wa Oman
Huku Tanganyika wao ndio wamiliki wa ardhi wakiwauzia Watanganyika ardhi yao!


Sensa ya Taifa inaonyesha takribani 1.2 Milioni wanaishi Tanganyika yaani zaidi ya wakazi wa Zanzibar at any time

Tatizo la Wazanzibar ni chuki dhidi ya Watanganyika! wakisahau ndilo Taifa lililowabeba kwa wingi na kiuchumi duniani

Huyo Mbunge kachaguliwa na watu 2,500 halafu analipwa mshahara na marupu rupu kwa kodi za Watanganyikakisha anapewa hadhi sawa na Mbunge wa Nyamagana au Tunduru halafu anasimama kutukana wanaomlipa kwamba wanajaza Zanzibar!
 
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂 Una utani na Wazanzibar wewe
Wengi Fikra zao juu ya Watu wa bara zimejaa makamasi. Wanakera hata kujadili nao.
Kuna siku atakuja rais kichaa atamaliza huu ujinga wao kwa style ambayo hawatakaa waamini, na wasiweze kufanya chochote.
Wanajiona special sana kumbe ni makamasi tu vichwani mwao!
 
Option bora zaidi ni kuifanya kuwa Mkoa tu. Peleka Jeshi, vunja mamlaka zote za kipuuzi, Makonda ahamishiwe huko kama Mkuu wa Mkoa.

Atakayezingua ahamie kwa wajomba zake Oman. Maana hawa wapuuzi wanachosha sana, vichwani ni empty kabisa yaani.
Unguja apewe DAB
Pemba Sabaya🤣🤣
 
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.

Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.

“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.

Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.

“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.

Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.

=====

My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Huyo anatakiwa aelimishwe tu kwamba Wazanzibari wanaitegemea Tanganyika kuliko watanganyika wanavyoitegemea Zanzibar.
Pili, siyo rahisi kurudi nyuma tena kwenye uwepo wa nchi mbili, Tanzania ni ya wote kuanzia bara hadi visiwani (fikra kama zake hazina nafasi tena katika zama hizi). Yeye mwenyewe anazungumza akiwa kwenye bunge la Tanzania, akigharamiwa na serikali ya Tanzania ambayo kwa asilimia kubwa sana ni ile ya Tanganyika, ikiongozwa na Mzanzibari.
Ukifanyika utafiti rasmi, kuna uwezekano wa Wazanzibari wengi sana kuishi bara, kufanya shughuli za kiuchumi ikiwemo kumiliki ardhi na nyumba kama raia wengine wazawa (hata yeye mwenyewe hila laweza kumhusu).
Sasa, katika hali hiyo, kwa kutumia akili ya kawaida tu, utazungumziaje mambo ya passport kutumika kwa watanzania ndani ya Tanzania?
 
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.

Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.

“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.

Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.

“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.

Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.

=====

My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Wazanzibar sometimes huwa wapuuzi sana.
 
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.

Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.

“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.

Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.

“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.

Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.

=====

My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Safi sana mbunge
 
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.

Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.

“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.

Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.

“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.

Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.

=====

My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Na sisi tudai passport kwa wazenji wote waliopo kkoo
 
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.

Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.

“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.

Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.

“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.

Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.

=====

My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Mbaguzi huyo na atupiwe maws mpaka afee au azimie
 
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.

Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.

“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.

Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.

“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.

Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.

=====

My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Kwani Zanzibar Wabunge wameruhusiwa kutumia bangi?
 
Back
Top Bottom