Mbunge Mohamed Issa: Wanaotoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar wawe na Passport
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.

Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.

“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.

Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.

“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.

Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.

=====

My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Baadae itakuwa Kuingia Mkoa mmoja kwenda mwingine itatakiwa passport kama hoja Watu wa Bara wanapora viwanja na kujenga majumba.
 
Mimi ningekuwa Rais ,Kwanza task ya Kwanza wale wote waliokuja bara baada ya Uhuru nawaambie mrudi kwenu natoa mwaka mmoja kila mtu awe ameshaondoka, na kinyume chake aliyeko Zanzibar baadae ya Uhuru Rudi ulikotoka, task ya pili kila taifa liwe na Uhuru wake na sio kama Sasa Tanganyika tunafanywa mbeleko zao,

Task ya tatu anayetaka kuja bara awe na passport ya kumruhusu kukaa Kwa sheria za kimataifa na anayetaka kwenda Zanzibar na yeye itabidi awe na passport yake Kwa sheria za kimataifa.

NB undugu utakuwepo kama ilivyo Msumbiji naTanzania au ENGLAND NA SCOTLAND tumechoka kuibiwa .
Kwani mama yao anayeung'ang'ania Urais wa Tanganyika anasemaje!?
 
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.

Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.

“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.

Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.

“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.

Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.

=====

My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
🤔🤔
 
Kwanini wasiombe tu muungano uvunjwe.
Tanzania ni Moja ila Tabia ndo zinatofautiana kulingana na Kabila, Koo na Watu Flani. Ukijumlisha Idadi ya Wazanzibar walioko Bara wanaomiliki nyumba kama Watanzania, Wanamiliki leseni za Biashara kama Watanznia, Wanamiliki NIDA, Wameoa na kuolewa kama Watanznia.

Na Makadilio ya Watu wa hukoooo waliopo bara ni Milioni 8 na wanaoishi Zenji ni Milioni 2-3 wakiwemo Wanyamwezi. Inamaana Hao ikitokea kila mtu akajenge kwa Baba yake kama Majitu wivyowabinafsi ninaamini Chumba kimoja Wataishi 20 ili kujihifadhi.

Nb: Huu ujinga wa Tanzania bara na Tanzania Visiwani kubishana bishana unafanywa na Wajukuu wa Masulutani hawakufurahi kufurumushwa.

Lakini hakuna Mtanzania anayehoji muungano maana kila mtu anajua raha za Muungano kiusalama na kiuchumi. Naunga Mkono hoja wenye kauli za Hovyo Warudishwe kwa Wajomba zao.

Kiukweli huuu Muungano ni Muhimu Sanaa tuache kudanganyana.

Siyeeeee tumeupenda hivyooooo
 
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.

Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Mbunge mjinga huyu na bado akili yake bado ya kipuuzi sana.
 
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.

Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Mimi sidhani kama kuna haja ya hiyo passport. Shida hakuna mpango miji, kila sehemu ukitaka kujenga mwisho wa siku watu watakata tuu miti na misitu ili kujenga, ishu hapo Zanzibar yale maghorofa aliyojenga karume kipindi kile basi yalitakiwa kuendelezwa hiyo hivyo, shida wameacha jenga nyumba za kwenda juu wameruhusu watu watambae na kujenga sehemu yoyote ile. Shida zao wala urojo wanataka kuleta mpaka kwa watu wengime wasiyo husika.
 
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.

Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.

“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.

Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.

“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.

Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.

=====

My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Pia WANOTOKA ZANZIBr kuja Bara wawe na passport .

Hili ninga sana
 
Mbunge wa Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa ameitaka Serikali kurejesha upya utaratibu wa watu wote wanaoingia Zanzibar kuwa na hati ya kusafiria.

Akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Makamu wa Rais kwa mwaka 2024/25 leo Jumanne Aprili 24,2024, Issa amesema lengo ni kuvilinda visiwa hivyo.

“Kwa nini waliweka pasipoti (hati za kusafiria) visiwa vile vinahitaji kulindwa, mimi sikubaliani na suala la kutovilinda visiwa saa hizi. Sasa hivi Zanzibar imejaa watu na tunavyoendelea hawatakuwa na sehemu ya kuishi,”amesema.

Issa amempongeza, hayati Abeid Karume kwa kujenga maghorofa yale (hakusema yako wapi) kwa kuwa alitaka Wazanzibar wote wakae humo, kwa sababu aliona ardhi ni ndogo sana.

“Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba tu na kule Pemba linakwenda kuisha minazi hakuna sasa hivi tunaagiza kutoka Mafia ,”amesema.

Amesema jambo hilo sio zuri na hata ajira za watalii hawapati tena Wazanzibar wanaofanya kazi hizo ni wageni.

=====

My Take
Serikali puuzeni huu ushauri Ili mwisho wa siku tuwe na Tanzania Moja japo ana hoja na asikilizwe na kujibiwa Kwa hoja.
Mbunge WA CCM kama wewe,angesema haya maneno,ungepiga mokofi na vigele gele.
 
Back
Top Bottom