Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani tunapambana kuondoa hivyo vizuizi yeye bado anafikiria.Ni jambo zuri na wao wakija bara waje na PASSPORT na VISA JUU
UBAGUZI ndo dhambi inayowatesa.wenzio wanajiona ni waarabu tole la mwisho mwishoYaani tunapambana kuondoa hivyo vizuizi yeye bado anafikiria.
hili jambo tangu nazaliwa nalitamani, tumechoshwa na watanganyika wanaokwenda kuzurura tu kule bila ya kazi maalumu, kule Zaznibar badala ya kunukia marashi ya karafuu sasa kunanuka vundo
Kabisa,sababu kuu ni kuogopa Zanzibar kiwa Dola ya kiislam na kutishia security ya Tanganyika.isingekuwa sabab za kiusalama muungano usingekuwepo
Nawasilisha
Tunaitaji serikali tatu ili kua na usawaUzuri ni kwamba ukiishavuka maji kuja kuishi huku na akili zinafunguka,huwezi kuwa na akili ndogo kama huyo kunguni.
Kwa nini tuzidi kumpakata katoto kanakotunyea?Tungefurahi sana wakirudisha utaratibu wa Passport! Tena ikiwezekana wiki ijayo
Yote sawa ila la TV sidhani kama mtu ana zawadi yake na mzigo wake tu kama sanduku moja unaweza kumuuliza kodiZanzibar inatumika kama uchochoro wa kukwepa kodi. Hizo TV unazosema zikiingia kwa mamia zinaua soko la TV za Tanganyika, kukosesha mapato na tunalipa kodi zaid. Fikiri vijana 50 kila mmoja analeta TV kila siku, kwa siku 5 ni sawa na 250. Huyu mfanyabishara wa Tanganyika aliyeagiza anauza wapi na kwa bei gani!
Kuingiza ndizi Zanzibar ni tatizo wana sheria zao, kwanini iwe nongwa kulipisha bidhaa kodi.
Hili la Passport naunga mkono, waweke hata kesho lakini nao waje na passport! period.
Halimuathiri Mtanganyika yoyote maana unaowano katika meli ni wao wanarudi kwao!
Yaani umekuwa na wazo kama langu,wanazunguka sana wakati ni kitendo tu cha kuvunja huu muungano fakeKwanini wasiombe tu muungano uvunjwe.
Haitakiwi kuachwa,ishu hapa ni kuvunja muungano na kuifanya nchi moja bil ya kuwa na serikali mbili,kwani tunashindwa wapi? Tukiwa serious kabisa hata kesho tu tunatangaza kuondoa hichi kiraka cha Muungano na kutangaza kuwa ni nchi moja na wakileta fyoko fyoko ni kichapoNasemaje...! Zanzibar asiachwe, hiyo ndoa akae akijua ni ya hadi dahari!
Na ikiwezekana, Zanzibar iachwe kuwa huru kwa siku tatu halafu itekwe na kulazimishwa kuwa nchi moja ambayo itakuwa na Rais mmoja tu
Hakuna tena sjui cha serikali ya wapi na wapi
Itakuaje tena mwanangu angali nishakutafutia mchumba wa huko?Sijui kwanini tunawang'ang'ania hao waminywa vichogo...!🚮
Simtaki mie🤣Itakuaje tena mwanangu angali nishakutafutia mchumba wa huko?
Wanatuonaje hawa waznzNi jambo zuri na wao wakija bara waje na PASSPORT na VISA JUU
Viko vingi ila viko mbali na pwani ya Afrika masharikiKuna visiwa vingapi ukanda wa Indian ocean?
Wewe kichwani uko Sawa kweli? Kisiwa kinakuwaje mbali na Bahari?Viko vingi ila viko mbali na pwani ya Afrika mashariki