Mbunge Mpembenwe: Jimbo la Kibiti Mpaka Juni 2023 Lilipokea Bilioni 31 za Miradi ya Maendeleo Kutoka kwa Rais Samia

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MBUNGE MPEMBENWE: JIMBO LA KIBITI LILIPOKEA BILIONI 31 ZA MIRADI YA MAENDELEO KUTOKA KWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

"Katika Jimbo la Kibiti, Rais Samia Suluhu Hassan ametupatia fedha nyingi za maendeleo. Juni 2023 nilisoma utekelezaji wa Ilani, tulipewa Shilingi 31,634,560,924.43. Sekta ya Elimu ni Bilioni 8.1, Maji ni Milioni 8.2, Miundombinu ni Bilioni 10.1, Afya ni Bilioni 4.1, Nishati ni Milioni 637" - Mhe. Twaha Ally Mpembenwe, Mbunge wa Jimbo la Kibiti

"Wazee Niwaombe sana tukiwa tunakaa kwenye sala zetu tumuombee sana Mama Samia Suluhu Hassan. Rais amefanya mambo makubwa sana, Afrika inajua, Dunia inajua, Watanzania wanamuelewa na sisi watu wa Kibiti tunamuelewa" - Mhe. Twaha Ally Mpembenwe, Mbunge wa Jimbo la Kibiti.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…