Mbunge Mstaafu na Mtu Maarufu anahitaji Mchango wa matibabu, wewe unadhani uta survive vipi?

Ruge alikuwa anapigwa 6M daily jamaa wakawa wamepiga kimya ilipofika mzigo umegonga 650M ilibidi wafunguke tu kuwa mziki mnene jamani tunaomba mlioguswa tusaidiane😂!

Hao ni Clouds Media Group pamoja na viburi vyao vyote.
We nae tumekuchoka sasa...

Kila comment umeshupalia "6M"

Utadhani ulikua personal accountant wake!
 
Hapo Mhimbili kuna wagonjwa wanapigwa kalenda mpaka wanakufa bila kupata matibabu, kisa hawana hela. Hospitali mikoani watu wana kufa kwa kukosa hela za matibabu na hakuna anaejali. Kumchangia Jay si kuonesha mshikamano, ni kuonesha uozo wa mfumo wa bima ya matibabu Tanzania.
 
Dah jamaa hakujiwekeza freshy kwa 5 yrs, bila shaka jamaa alikuwa ni mtumishi wa wananchi hasaaa
 
Ruge alikuwa anapigwa 6M daily jamaa wakawa wamepiga kimya ilipofika mzigo umegonga 650M ilibidi wafunguke tu kuwa mziki mnene jamani tunaomba mlioguswa tusaidiane😂!

Hao ni Clouds Media Group pamoja na viburi vyao vyote.
Mbaya zaidi, hata baada ya efforts zote hizo na gharama zote hizo, inatokea kumpoteza mgonjwa kama ilivyokuwa kwa mwenzetu. Hakuna guarantee ya maisha.
 
Mbaya zaidi, hata baada ya efforts zote hizo na gharama zote hizo, inatokea kumpoteza mgonjwa kama ilivyokuwa kwa mwenzetu. Hakuna guarantee ya maisha.
Yeah inaonesha hio treatment sio suluhisho! Ni ku prolong siku tu
 
KILA SIKU NASEMA HAPA.
TUNADANGANYWA SANA NA HAWA WASANII. SIKU MOJA DIAMOND AKIUMWA NDIO MTAJUA UTAJIRI WAKE.
UGONJWA/KIFO NDIO MWISHO WA UDANGANYIFU.
 
 

Familia ya Prof wala haikuomba Msaada na aliyeanzisha ni AYTz,
Lakin pia cha ajabu kipi Mbunge mstaafu kuchangiwa, Job alikuwa speaker na Bado serkali ndio ilitake over
 
Useless!!mshahara wa milioni 12 kwa mwezi, pensheni ya zaidi ya milioni 250, kwa miaka 5 unasema hauna maana?bado hizo nyingine posho wewe vipi?
1/3 zinakwenda kwenye mchango wa lazima kuchangia chama. Onother 1/3 inakwenda kwenye African extended family and friends.
 
Bima dialsisi mbna wanacover.
 
Acha kabisa hio moment ya kusomewa mkeka wanaitwa wazee kwenda kuchukua taarifa za deni! Lazma warudi mwengine mkono kiunoni mwengine anaongea na simu 😂huku akipuputa jasho!
Wewe unapajua Mloganzila . Badala ya furaha mgonjwa amepona, vinaanza vikao, na muafaka usipoatikana fasta Deni linaongezeka maana jamaa amezuia kitanda.
Usiku mmoja pale Mloganzila ni zaidi ya hoteli nyingi Dar
 
Haumwi malaria au UTI au mafua ambapo matibabu yake angeliweza kuyahimili...

Anaumwa ugonjwa ambao hata ukiwa na "pesa kama alizonazo", itafika mahali utarudisha tu mpira kwa kipa...

All in all umaarufu unasaidia nyakati kama hizi...
Ugonjwa gani huo?
 
Wewe unapajua Mloganzila . Badala ya furaha mgonjwa amepona, vinaanza vikao, na muafaka usipoatikana fasta Deni linaongezeka maana jamaa amezuia kitanda.
Usiku mmoja pale Mloganzila ni zaidi ya hoteli nyingi Dar
Hio moment naielewa vyema sana, aunt yangu alifariki last year mwezi March. Alikuwa kwenye comma from Sunday to Friday akakata kauli! All that time alikuwa VIP pale.

Kimbembe kilikuja ku organise taratibu za kupewa mwili. Washua jasho liliwatoka 😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…