Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani nikimsikia mtu anaumwa Figo huwa nanyongea kabisa.... Familia Ina mtihani mgumu sana kwa Sasa, Mwenyezi Mungu awatie nguvu....Nahisi atakuwa anaisikia tu hio Dialysis! Ana kiburi cha uzima huyu hajui kuumwa inakuwaje!
Hata sijui tunaishi na binadamu wa aina gani.Kama unaweza kumchangia, basi mchangie, kama huwezi kausha. Hujafa hujaumbika
Kwa kweli yani figo ni mtihaniYaani nikimsikia mtu anaumwa Figo huwa nanyongea kabisa.... Familia Ina mtihani mgumu sana kwa Sasa, Mwenyezi Mungu awatie nguvu....
Mim nashangaa watu wanaropoka humu hv wanajua gharama za kisafisha figo kweli?Ruge alikuwa anapigwa 6M daily jamaa wakawa wamepiga kimya ilipofika mzigo umegonga 650M ilibidi wafunguke tu kuwa mziki mnene jamani tunaomba mlioguswa tusaidiane😂!
Hao ni Clouds Media Group pamoja na viburi vyao vyote.
Malaria inatibika hata kwa muarobaini tu, hawa ni majizi, frdha yetu wananunulia mishangingi wakati watu wanakufaMagonjwa yote critical na yanayohitaji care kama za Dialysis wameyaondoa sababu yana gharama kubwa ila wameacha malaria ambayo kila mtu ana mudu!
Kusafisha figo sio masihara aisee na ni zoezi la muda mrefu! Kaka tuombe uzima tu aisee hizi afya zinatupaga jeuri sana.Mim nashangaa watu wanaropoka humu hv wanajua gharama za kisafisha figo kweli?
Ungese2 watu wanakufa huku kwa kukosa 5000 mtu milionea achangiwe na nani?Umeongea ukweli mchungu ambao wengi hawapendi kuusikia, mtu aliyekuwa akilipwa 12M per month eti leo achangiwe matibabu, vipi walimu wanaolipwa laki 5 wakiumwa hawachangiwi?
Familia iache kujidhalilisha wakomae na matibabu ikishindikana basi Mungu kapanga ila sio kumchangia tajiri matibabu.
Hawa jamaa inafaa ifike stage tuwakatae kwa nguvu tu! Maana hata kukaa kimya haisaidii we will still die of poverty. Bora ufe unapambana tu.Malaria inatibika hata kwa muarobaini tu, hawa ni majizi, frdha yetu wananunulia mishangingi wakati watu wanakufa
Hilo neno liombee msamaha maana hata Kama unajiita roho mbaya hauijui kesho yakoMtu afanye starehe zake za kunya pombe kali figo zifeli tumchangie
Ukumbuke hata Ruge alichangiwa, mzee Majuto naye piaUmeongea ukweli mchungu ambao wengi hawapendi kuusikia, mtu aliyekuwa akilipwa 12M per month eti leo achangiwe matibabu, vipi walimu wanaolipwa laki 5 wakiumwa hawachangiwi?
Familia iache kujidhalilisha wakomae na matibabu ikishindikana basi Mungu kapanga ila sio kumchangia tajiri matibabu.
Familia haikuomba mchango Bali wadau waliomba kuisaidia familia.Umeongea ukweli mchungu ambao wengi hawapendi kuusikia, mtu aliyekuwa akilipwa 12M per month eti leo achangiwe matibabu, vipi walimu wanaolipwa laki 5 wakiumwa hawachangiwi?
Familia iache kujidhalilisha wakomae na matibabu ikishindikana basi Mungu kapanga ila sio kumchangia tajiri matibabu.
Nani atalipia bima ya kila mtuNdio sasa Wabunge wauone umuhimu wa bima ya afya kwa kila mtanzania
Ndo swali la kujiuliza. Bwavichwa wamezidiJe wabunge wastaafu hawana Bima?
Of course, Prof Jay Ni mwema kabisa.Kuna mwanasiasa na mwanasiasa! Binafsi ningezisikia ni yule mbunge chotara wa kuitwa Azan Zungu ningefungua nyuzi hata 50 kuhamasisha apambane na hali yake sababu ni mtu wa hovyo asiejali utu!
Ila kwa Prof. Jay huo utakuwa ni ukosefu wa utu maana jamaa hana baya kabisa! Hajawahi kuropoka utumbo na ni mtu asie na noma na wananchi!
Ouchhhhh..Kama bata nimekula zaidi yako, utaniambia nini
Changamoto zinatofautiana. Ndio maana inabidi tuishi kwa kuheshimiana. Hakuna aliye kamilika kwa kila kitu.Nimejiuliza hili swali sana si kwa nia mbaya. Kwa nia njema kabisa. Prof Jay. Joseph Haule amekuwa Mbunge kwa miaka 5 akilipwa mamimilioni ya pesa. Baada ya kumaliza kipindi chake amelipwa mamilioni mengine ya kiinuna mgongo.
Leo ameumwa na kulazwa kwa mwezi mmoja anadai achangiwe. Je yule mswahili ambaye anapata mshahara wa tsh 400,000 kwa mwezi ana mke na watoto. Hana malupulupu, hana mbele wala nyuma. akiumwa inakuaje?
Twende mbele na kurudi nyuma. Joseph Haule si mtu wa kuchangiwa pesa ya matibabu. ni kutaka kutumia umaarufu wake vibaya. sisi watanzania tufikie hatua tuwe makini na watu wenye kufikiri kwa kina. Huyu bwana alipokuwa Mbunge miaka 5 aliwahi fikiria nini kuhusiana na gharama za matibabu?
Kama wenzie sasa hivi hawajali maumivu wanayopata watanzania wa kipato cha chini pengine kwa kudhani hayawahusu. But ipo siku pia nao yanaweza kuwakuta ni vyema kujipanga kwa mambo ambayo ukiwa mbunge na usipokuwa mbunge yanaweza saidia taifa hili.
Tuchangini wenye mahitaji ya kweli kweli ndugu zanguni. Prof J ana weza hata uza moja ya nyumba zake au lake. Ila wewe mwenzangu ukiumwa hutoweza jitibia wala kuchangiwa na watu sababu hufahamiki na huna cha kuuza.