Mbunge Mstaafu na Mtu Maarufu anahitaji Mchango wa matibabu, wewe unadhani uta survive vipi?

Mbunge Mstaafu na Mtu Maarufu anahitaji Mchango wa matibabu, wewe unadhani uta survive vipi?

Umeongea ukweli mchungu ambao wengi hawapendi kuusikia, mtu aliyekuwa akilipwa 12M per month eti leo achangiwe matibabu, vipi walimu wanaolipwa laki 5 wakiumwa hawachangiwi?

Familia iache kujidhalilisha wakomae na matibabu ikishindikana basi Mungu kapanga ila sio kumchangia tajiri matibabu.
Ungese2 watu wanakufa huku kwa kukosa 5000 mtu milionea achangiwe na nani?
 
Malaria inatibika hata kwa muarobaini tu, hawa ni majizi, frdha yetu wananunulia mishangingi wakati watu wanakufa
Hawa jamaa inafaa ifike stage tuwakatae kwa nguvu tu! Maana hata kukaa kimya haisaidii we will still die of poverty. Bora ufe unapambana tu.

Ikitokea siku kuwa hizo V8 ni zamoto haziendesheki popote ni machafuko ndio tutaheshimiana.
 
Umeongea ukweli mchungu ambao wengi hawapendi kuusikia, mtu aliyekuwa akilipwa 12M per month eti leo achangiwe matibabu, vipi walimu wanaolipwa laki 5 wakiumwa hawachangiwi?

Familia iache kujidhalilisha wakomae na matibabu ikishindikana basi Mungu kapanga ila sio kumchangia tajiri matibabu.
Ukumbuke hata Ruge alichangiwa, mzee Majuto naye pia
 
Umeongea ukweli mchungu ambao wengi hawapendi kuusikia, mtu aliyekuwa akilipwa 12M per month eti leo achangiwe matibabu, vipi walimu wanaolipwa laki 5 wakiumwa hawachangiwi?

Familia iache kujidhalilisha wakomae na matibabu ikishindikana basi Mungu kapanga ila sio kumchangia tajiri matibabu.
Familia haikuomba mchango Bali wadau waliomba kuisaidia familia.
 
Kuna mwanasiasa na mwanasiasa! Binafsi ningezisikia ni yule mbunge chotara wa kuitwa Azan Zungu ningefungua nyuzi hata 50 kuhamasisha apambane na hali yake sababu ni mtu wa hovyo asiejali utu!

Ila kwa Prof. Jay huo utakuwa ni ukosefu wa utu maana jamaa hana baya kabisa! Hajawahi kuropoka utumbo na ni mtu asie na noma na wananchi!
Of course, Prof Jay Ni mwema kabisa.
 
Nimejiuliza hili swali sana si kwa nia mbaya. Kwa nia njema kabisa. Prof Jay. Joseph Haule amekuwa Mbunge kwa miaka 5 akilipwa mamimilioni ya pesa. Baada ya kumaliza kipindi chake amelipwa mamilioni mengine ya kiinuna mgongo.

Leo ameumwa na kulazwa kwa mwezi mmoja anadai achangiwe. Je yule mswahili ambaye anapata mshahara wa tsh 400,000 kwa mwezi ana mke na watoto. Hana malupulupu, hana mbele wala nyuma. akiumwa inakuaje?

Twende mbele na kurudi nyuma. Joseph Haule si mtu wa kuchangiwa pesa ya matibabu. ni kutaka kutumia umaarufu wake vibaya. sisi watanzania tufikie hatua tuwe makini na watu wenye kufikiri kwa kina. Huyu bwana alipokuwa Mbunge miaka 5 aliwahi fikiria nini kuhusiana na gharama za matibabu?

Kama wenzie sasa hivi hawajali maumivu wanayopata watanzania wa kipato cha chini pengine kwa kudhani hayawahusu. But ipo siku pia nao yanaweza kuwakuta ni vyema kujipanga kwa mambo ambayo ukiwa mbunge na usipokuwa mbunge yanaweza saidia taifa hili.

Tuchangini wenye mahitaji ya kweli kweli ndugu zanguni. Prof J ana weza hata uza moja ya nyumba zake au lake. Ila wewe mwenzangu ukiumwa hutoweza jitibia wala kuchangiwa na watu sababu hufahamiki na huna cha kuuza.
Changamoto zinatofautiana. Ndio maana inabidi tuishi kwa kuheshimiana. Hakuna aliye kamilika kwa kila kitu.
 
Back
Top Bottom