Mbunge Mstaafu na Mtu Maarufu anahitaji Mchango wa matibabu, wewe unadhani uta survive vipi?

Mbunge Mstaafu na Mtu Maarufu anahitaji Mchango wa matibabu, wewe unadhani uta survive vipi?

Duh!!, Umasikini kitu Kibaya Sana.Wengi wanakufa kutokana na kushindwa kumudu gharama za matibabu.
Naonaga pale Mloganzila mgonjwa anaporuhusiwa ndugu wanavyofanya vikao pale chini vya michango ya kulipa bili ndio mgonjwa atoke.
Hao ndugu wenyewe ukiwaangalia wengi hata nauli ya mwendo Kasi ya kimara ni shida, wamekauka midomoo.. Sasa Kuna huyo mkuu wa msafara yeye anapiga simu kwa ndugu wa mbali na kile kitecno triple line.
Kuna binti mmoja aliambiwa akalipie elfu kumi na sita ili apigwe x Ray.
Aliruka hatua kumi na sita huku akilalamika ashamchungulia daktari kwa elfu ishirini bado alipie x-ray ndio alipie dawa? Kwani waganga wa jadi wameisha?
 
Nimejiuliza hili swali sana si kwa nia mbaya. Kwa nia njema kabisa. Prof Jay. Joseph Haule amekuwa Mbunge kwa miaka 5 akilipwa mamimilioni ya pesa. Baada ya kumaliza kipindi chake amelipwa mamilioni mengine ya kiinuna mgongo.

Leo ameumwa na kulazwa kwa mwezi mmoja anadai achangiwe. Je yule mswahili ambaye anapata mshahara wa tsh 400,000 kwa mwezi ana mke na watoto. Hana malupulupu, hana mbele wala nyuma. akiumwa inakuaje?

Twende mbele na kurudi nyuma. Joseph Haule si mtu wa kuchangiwa pesa ya matibabu. ni kutaka kutumia umaarufu wake vibaya. sisi watanzania tufikie hatua tuwe makini na watu wenye kufikiri kwa kina. Huyu bwana alipokuwa Mbunge miaka 5 aliwahi fikiria nini kuhusiana na gharama za matibabu?

Kama wenzie sasa hivi hawajali maumivu wanayopata watanzania wa kipato cha chini pengine kwa kudhani hayawahusu. But ipo siku pia nao yanaweza kuwakuta ni vyema kujipanga kwa mambo ambayo ukiwa mbunge na usipokuwa mbunge yanaweza saidia taifa hili.

Tuchangini wenye mahitaji ya kweli kweli ndugu zanguni. Prof J ana weza hata uza moja ya nyumba zake au lake. Ila wewe mwenzangu ukiumwa hutoweza jitibia wala kuchangiwa na watu sababu hufahamiki na huna cha kuuza.
kamanda una uhuru wa maoni ila figo ni habari nyingine mungu atupe huruma yake naogopa sana sana. Huku africa hatuwezi hakika Mungu atusimamie, Professor Jay Mungu akuponye uwe mfano wa shuhuda ya mfano. Zaburi 86 ikawa neno la uzima.
 
Kuna kijana toka Tanga alivunjika mkono akaletwa Muhimbili ili kufanyiwa operation alitakiwa laki nne na nusu tu. Familia haikua na hiyo hela. Alisota pale Muhimbili kulala chini wodi inanuka vidonda vya majeruhi wa bodaboda hata maji huwezi kunywea mle ndani.
Baada ya kukaa zaidi ya mwezi Alaina liwalo na liwe naenda kutibiwa nyumbani na waganga wa kienyeji. Kweli alittoroka Muhimbili na sasa mkono umepona japo sio kivile. Aliumia kipindi Cha serikali ya wanyonge.
Acha uongo wewe.. muhimbili mgonjwa awezi lazwa chini..Moi tupo mara nyingi tu
 
Naonaga pale Mloganzila mgonjwa anaporuhusiwa ndugu wanavyofanya vikao pale chini vya michango ya kulipa bili ndio mgonjwa atoke.
Hao ndugu wenyewe ukiwaangalia wengi hata nauli ya mwendo Kasi ya kimara ni shida, wamekauka midomoo.. Sasa Kuna huyo mkuu wa msafara yeye anapiga simu kwa ndugu wa mbali na kile kitecno triple line.
Kuna binti mmoja aliambiwa akalipie elfu kumi na sita ili apigwe x Ray.
Aliruka hatua kumi na sita huku akilalamika ashamchungulia daktari kwa elfu ishirini bado alipie x-ray ndio alipie dawa? Kwani waganga wa jadi wameisha?
Dah!!!, Inasikitisha sana.
 
Dawa zinaua sana figo, sasa na magonjwa yanavyotuandama kuziepuka ni mtihani.

Use Antibiotic when necessary and let it be the last options bro…

Pia unaweza kuwa na good lifestyle ila unakuta vyakula tunavyokula hasa hawa broilers, mayai, maziwa unakuta yana antibiotic residues kama zote…

Sidhani kuna mfugaji ambaye yuko tayari ku discard maziwa, mayai kisa ametoka kutibu mifugo yake..

Public health is still a big proble kwetu waafrika kwa ufupi tumejawa na ubinafsi sana kutokujali afya za walaji.
 
Nimejiuliza hili swali sana si kwa nia mbaya. Kwa nia njema kabisa. Prof Jay. Joseph Haule amekuwa Mbunge kwa miaka 5 akilipwa mamimilioni ya pesa. Baada ya kumaliza kipindi chake amelipwa mamilioni mengine ya kiinuna mgongo.

Leo ameumwa na kulazwa kwa mwezi mmoja anadai achangiwe. Je yule mswahili ambaye anapata mshahara wa tsh 400,000 kwa mwezi ana mke na watoto. Hana malupulupu, hana mbele wala nyuma. akiumwa inakuaje?

Twende mbele na kurudi nyuma. Joseph Haule si mtu wa kuchangiwa pesa ya matibabu. ni kutaka kutumia umaarufu wake vibaya. sisi watanzania tufikie hatua tuwe makini na watu wenye kufikiri kwa kina. Huyu bwana alipokuwa Mbunge miaka 5 aliwahi fikiria nini kuhusiana na gharama za matibabu?

Kama wenzie sasa hivi hawajali maumivu wanayopata watanzania wa kipato cha chini pengine kwa kudhani hayawahusu. But ipo siku pia nao yanaweza kuwakuta ni vyema kujipanga kwa mambo ambayo ukiwa mbunge na usipokuwa mbunge yanaweza saidia taifa hili.

Tuchangini wenye mahitaji ya kweli kweli ndugu zanguni. Prof J ana weza hata uza moja ya nyumba zake au lake. Ila wewe mwenzangu ukiumwa hutoweza jitibia wala kuchangiwa na watu sababu hufahamiki na huna cha kuuza.
Ngoja siku figo ifeli ndy akili ikukae sawa

Unamkumbuka Ruge mtahaba? Bakuli zilivyo pitishwa?
 
Ngoja siku figo ifeli ndy akili ikukae sawa

Unamkumbuka Ruge mtahaba? Bakuli zilivyo pitishwa?
Nakumbuka kulikuwa na ofc nafanya Kaz moja Kati ya maboss wa hyo kampuni aliuguwa figo michango ikachagwa na jama Ni doni tu nae siku moja nikasikia majungu kutoka kwa kijna wa boss akisema tunamchangia mtu ambae anajenga nyumba dsm tegeta .. kweli watu wanachangishana
 
Ole wetu watu wa chini tunaobeba mzigo wa umeme na tozo kibao.

Hii inaonesha utofauti uliopo,

Je huko muhimbili hawapo wagonjwa wenye shida na wanaugua kuliko huyu.
 
Nakumbuka kulikuwa na ofc nafanya Kaz moja Kati ya maboss wa hyo kampuni aliuguwa figo michango ikachagwa na jama Ni doni tu nae siku moja nikasikia majungu kutoka kwa kijna wa boss akisema tunamchangia mtu ambae anajenga nyumba dsm tegeta .. kweli watu wanachangishana
Watu wanafanya masikhara sana na maradhi
 
Nchi yetu bado ni masikini sana hatuwezi kuacha kuishi kwa kuchangiana. Hata hao mnaodhani wana pesa nyingi kimsingi ni za kawaida tu. Watu walioyapatia maisha ni wachache sana, ni familia fulani fulani tu. Wengi tunawaona wametoboa lakini nyuma yao kuna utitiri wa majukumu yanayotokana na familia ndugu jamaa na marafiki ambao bado ni masikini.

Ukiona nchi ambayo unahitaji kuwa na mipesa mingi ili upate huduma nzuri za kijamii jua hiyo nchi bado masikini wa kutupwa. Acha tuchangiane ndugu. Yeyote akiletwa mbele ya jamii na ikathibitika anahitaji msaada wanaoguswa acheni wachange.
Umenifikirisha sana...
 
Hiki ni kiwanda cha uongo. Prof hahitaji michango bali michango ndo inakuhitaji Prof. Sio wakati wote tunamchangia mtu kwa sababu hana uwezo bali ni kuonyesha mshikamano wakati wa shida
Kwanza alivunjiwa nyumba,, ikabidi ajenge ingine
Pili hela ikatumika kwenye kampeni na ubunge hakupata,
Tatu ameugua kila wiki cost milioni 4,,
Lazima atepete tu
 
Umeongea ukweli mchungu ambao wengi hawapendi kuusikia, mtu aliyekuwa akilipwa 12M per month eti leo achangiwe matibabu, vipi walimu wanaolipwa laki 5 wakiumwa hawachangiwi?

Familia iache kujidhalilisha wakomae na matibabu ikishindikana basi Mungu kapanga ila sio kumchangia tajiri matibabu.
Ushawahi jiuliza Jasiri muongoza njia ambaye alisifika kwa kupiga dili zote zamoto za 600M mpaka 1B ilikuwaje ikafikia akaanza kuombewa michango ijapokuwa alikuwa mkurugenzi wa Clouds na anashea zake pamoja na mtonyo wake?

Hebu acha kiburi cha uzima ndugu yangu, hakuna utajiri unaozidi afya hebu rudia kusoma nachosema.

Unaweza ukapata ugonjwa unaokutaka ubadilishiwe damu kila baada ya week which costs millions. Ruge alipigwa 6M kila siku akiwa kwenye matibabu watu walijivunga kimya ila ilienda ikafikia wakati sasa wakaona hela inakaribia kukata wakanyoosha mikono juu watu wachangie.

Hakuna ambaye alitegemea mtu kama Ruge jinsi ana uwezo wa kutengeneza pesa ingefikia wakati angetembeza bakuli!
 
Back
Top Bottom