Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka mwenye nacho ataongezewa na asiye kuwa nacho hata kile kidogo atanyanga'anywa, akifariki mtu maarufu kila mtu atajua hadi wengine wanaitwa hayati, mvimba macho akifa ni ndugu zako tu na utaitwa marehemu.Nchi yetu bado ni masikini sana hatuwezi kuacha kuishi kwa kuchangiana. Hata hao mnaodhani wana pesa nyingi kimsingi ni za kawaida tu. Watu walioyapatia maisha ni wachache sana, ni familia fulani fulani tu. Wengi tunawaona wametoboa lakini nyuma yao kuna utitiri wa majukumu yanayotokana na familia ndugu jamaa na marafiki ambao bado ni masikini.
Ukiona nchi ambayo unahitaji kuwa na mipesa mingi ili upate huduma nzuri za kijamii jua hiyo nchi bado masikini wa kutupwa. Acha tuchangiane ndugu. Yeyote akiletwa mbele ya jamii na ikathibitika anahitaji msaada wanaoguswa acheni wachange.
Laiti wengi munge jua maisha ya hao watu mnao fikili kwamba ni matajiri wengi musinge jibeza.......imagine mtu ana nyumba tatu lakini zote hati zimeshikiliwa na benki, na kuna arrears za madeni kibao, hamna mtu anae mpa chochote kwa sabb wote wanajua anazo....mimi sitamani hayo maisha kabisa, ni kweli hana, sio masiharaNimejiuliza hili swali sana si kwa nia mbaya. Kwa nia njema kabisa. Prof Jay. Joseph Haule amekuwa Mbunge kwa miaka 5 akilipwa mamimilioni ya pesa. Baada ya kumaliza kipindi chake amelipwa mamilioni mengine ya kiinuna mgongo.
Leo ameumwa na kulazwa kwa mwezi mmoja anadai achangiwe. Je yule mswahili ambaye anapata mshahara wa tsh 400,000 kwa mwezi ana mke na watoto. Hana malupulupu, hana mbele wala nyuma. akiumwa inakuaje?
Twende mbele na kurudi nyuma. Joseph Haule si mtu wa kuchangiwa pesa ya matibabu. ni kutaka kutumia umaarufu wake vibaya. sisi watanzania tufikie hatua tuwe makini na watu wenye kufikiri kwa kina. Huyu bwana alipokuwa Mbunge miaka 5 aliwahi fikiria nini kuhusiana na gharama za matibabu?
Kama wenzie sasa hivi hawajali maumivu wanayopata watanzania wa kipato cha chini pengine kwa kudhani hayawahusu. But ipo siku pia nao yanaweza kuwakuta ni vyema kujipanga kwa mambo ambayo ukiwa mbunge na usipokuwa mbunge yanaweza saidia taifa hili.
Tuchangini wenye mahitaji ya kweli kweli ndugu zanguni. Prof J ana weza hata uza moja ya nyumba zake au lake. Ila wewe mwenzangu ukiumwa hutoweza jitibia wala kuchangiwa na watu sababu hufahamiki na huna cha kuuza.
Nadhani sheria nyingi zinatungwa kuwakandamiza wasio na pakusemeaJe wabunge wastaafu hawana Bima?
Hizi bima zimekaa kiwiziwizi tu, mimi nadhani kila mtu angekuwa na akaunti yake ya bima ambako fedha anayokatwa iingizwe huko na the only way anaweza kuitumia ni kwenye matibabu tu, kwa maana ya kwamba mtu anaweza ku accumulate fedha ikamfaa siku akiwa na uhitaji wa matibabu ya gharama ya juu kabisa kuliko hii ya kupimiwa kiwango cha tiba wakati fedha ni yako mwenyeweJambo la ugonjwa halitabiriki kama ilivyo kwa kifo. Yawezekana mzee wa mitulinga ana bima nzuri tu lakini kumbuka vigezo na masharti ya bima. Bima zingine zinataja kwamba kwa ugonjwa X kiwango cha juu tutalipa Tsh kadhaa na ziada ya hapo mteja utalipia mwenyewe. Kuna baadhi ya magonjwa bima zinaweka wazi kwamba hili hatulipii. Unaweza ukute malaria, typhoid na UTI wametenga 20M kwa mwaka lakini magonjwa mengine wameweka 3,00,000 zaidi ya hapo utalipia mwenyewe. Na kama figo zimedhoofika unadhani bima inanunua figo? Au kama moyo una tundu?
Tukienda kwenye kipato ndo hivyo labda kawekeza kwenye hotel ambayo inaingiza faida ya 100,000 kwa siku. Kwa magonjwa yasiyoambukizwa nakwambia hela hiyo haitoshi.
Hivyo tubakize maneno maana mifumo yetu ya kiuchumi inachechemea watu wanaishi kwenye nyumba na kuendesha magari huku wakibeba mikopo ya mamilioni kwenye taasisi za fedha mbalimbali.
Mlienda kuwasaidia hao wanyonge mkanyimwa na badala yake mkaambiwa mchangieni Pro J kwanza? Na hao waliokosa hiyo 20k walikatazwa kuomba msaada? Kuomba msaada na kutoa msaada ni maamuzi ya mtu. Kama prof J ugonjwa wake unahitaji matibabu ya gharama kubwa ana haki ya kuomba. Na hao wanyonge walioko Moi nao wana haki ya kuomba.kabisa, wengi wanapoteza maisha kwakua tu hana 20k ya matibabu, hao ndiyo wakusaidiwa kwa hali na mali na wapo wengi kweli, nenda MOI Muhimbili pale au vitengo vingine
wako daily kwenye media: tv,nk, ila hupuuzwa, ila mwenye 500m+ kwa account ndiyo wa kwanza kujaziwa bakuli20k walikatazwa kuomba msaada?
Mawazo yako ni mfu, nani aliyekuambia tajiri achangiwi panapo matatizo?, ingekuwa hivyo matajiri wangejizika wao na familia yao.Nimejiuliza hili swali sana si kwa nia mbaya. Kwa nia njema kabisa. Prof Jay. Joseph Haule amekuwa Mbunge kwa miaka 5 akilipwa mamimilioni ya pesa. Baada ya kumaliza kipindi chake amelipwa mamilioni mengine ya kiinuna mgongo.
Leo ameumwa na kulazwa kwa mwezi mmoja anadai achangiwe. Je yule mswahili ambaye anapata mshahara wa tsh 400,000 kwa mwezi ana mke na watoto. Hana malupulupu, hana mbele wala nyuma. akiumwa inakuaje?
Twende mbele na kurudi nyuma. Joseph Haule si mtu wa kuchangiwa pesa ya matibabu. ni kutaka kutumia umaarufu wake vibaya. sisi watanzania tufikie hatua tuwe makini na watu wenye kufikiri kwa kina. Huyu bwana alipokuwa Mbunge miaka 5 aliwahi fikiria nini kuhusiana na gharama za matibabu?
Kama wenzie sasa hivi hawajali maumivu wanayopata watanzania wa kipato cha chini pengine kwa kudhani hayawahusu. But ipo siku pia nao yanaweza kuwakuta ni vyema kujipanga kwa mambo ambayo ukiwa mbunge na usipokuwa mbunge yanaweza saidia taifa hili.
Tuchangini wenye mahitaji ya kweli kweli ndugu zanguni. Prof J ana weza hata uza moja ya nyumba zake au lake. Ila wewe mwenzangu ukiumwa hutoweza jitibia wala kuchangiwa na watu sababu hufahamiki na huna cha kuuza.
Acha umbea usiokusaidia, mange ndio kakuharibu ubongo namna hiyo.? Shame!!Mtu afanye starehe zake za kunya pombe kali figo zifeli tumchangie
Wewe umesema. Huyu analalamikia mbunge aliyestaafu anasahau speaker aliyetumia mamilioni wakati yupo kazini na marupurupu kibao.Mkuu unayakumbuka yale matibabu ya mstaafu ndugai
Ishazama hadi kwa account yake?wako daily kwenye media: tv,nk, ila hupuuzwa, ila mwenye 500m+ kwa account ndiyo wa kwanza kujaziwa bakuli
upuuzi wa hali ya juu
Mkuu dunia hailingani.Nimejiuliza hili swali sana si kwa nia mbaya. Kwa nia njema kabisa. Prof Jay. Joseph Haule amekuwa Mbunge kwa miaka 5 akilipwa mamimilioni ya pesa. Baada ya kumaliza kipindi chake amelipwa mamilioni mengine ya kiinuna mgongo.
Leo ameumwa na kulazwa kwa mwezi mmoja anadai achangiwe. Je yule mswahili ambaye anapata mshahara wa tsh 400,000 kwa mwezi ana mke na watoto. Hana malupulupu, hana mbele wala nyuma. akiumwa inakuaje?
Twende mbele na kurudi nyuma. Joseph Haule si mtu wa kuchangiwa pesa ya matibabu. ni kutaka kutumia umaarufu wake vibaya. sisi watanzania tufikie hatua tuwe makini na watu wenye kufikiri kwa kina. Huyu bwana alipokuwa Mbunge miaka 5 aliwahi fikiria nini kuhusiana na gharama za matibabu?
Kama wenzie sasa hivi hawajali maumivu wanayopata watanzania wa kipato cha chini pengine kwa kudhani hayawahusu. But ipo siku pia nao yanaweza kuwakuta ni vyema kujipanga kwa mambo ambayo ukiwa mbunge na usipokuwa mbunge yanaweza saidia taifa hili.
Tuchangini wenye mahitaji ya kweli kweli ndugu zanguni. Prof J ana weza hata uza moja ya nyumba zake au lake. Ila wewe mwenzangu ukiumwa hutoweza jitibia wala kuchangiwa na watu sababu hufahamiki na huna cha kuuza.
Komeo la chumaa ni aina ya mtu mpumbavu, asiyejua nini anachotakiwa kuwajibika kwa jamii yake!Wewe umesema. Huyu analalamikia mbunge aliyestaafu anasahau speaker aliyetumia mamilioni wakati yupo kazini na marupurupu kibao.
Inategemea na aina ya ugonjwa nagharama zake.
Komeo la chuma kama una hela mchangie na kama huna usiwakatishe tamaa wenye moyo wa kutoa
Acha Roho MbayaMtu afanye starehe zake za kunya pombe kali figo zifeli tumchangie
Shida ni ubunge au shida ni mtu??ubunge wa kibongo useles tu