Mbunge Mteule Arusha Mjini, Mrisho Gambo(CCM) awashukuru wapiga kura kijiwe cha kahawa soko kuu Arusha

Mbunge Mteule Arusha Mjini, Mrisho Gambo(CCM) awashukuru wapiga kura kijiwe cha kahawa soko kuu Arusha

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Tushukuru kwa kila jambo.
 

Attachments

  • FB_IMG_16047608094376388.jpg
    FB_IMG_16047608094376388.jpg
    27.8 KB · Views: 1
  • FB_IMG_16047608061732265.jpg
    FB_IMG_16047608061732265.jpg
    29 KB · Views: 1
  • FB_IMG_16047608019619175.jpg
    FB_IMG_16047608019619175.jpg
    28.4 KB · Views: 1
Hivyo vijiwe vya kahawa hapo soko kuu mjini Arusha ni kati ya vijiwe kongwe kabisa ninavyovifahamu na hukutanisha wadau wengi sana hapo mjini Ara Chuga.

Dooh, nimekumbuka sana nyumbani.
 
Hivyo vijiwe vya kahawa hapo soko kuu mjini Arusha ni kati ya vijiwe kongwe kabisa ninavyovifahamu na hukutanisha wadau wengi sana hapo mjini Ara Chuga.

Dooh, nimekumbuka sana nyumbani.
MI kijiwe changu ni kile cha pembeni yake, pale kwa mudi, napigaga kahawa yangu na tangawizi yangu hapo fresh kabisa nasepa mdogo mdogo home
 
MI kijiwe changu ni kile cha pembeni yake, pale kwa mudi, napigaga kahawa yangu na tangawizi yangu hapo fresh kabisa nasepa mdogo mdogo home
Kuna mtaa hapo karibia na soko kuu walikua maarufu kwa uuzaji wa uji wa ulezi na mtaa mwingine pilau mbuzi, Mambo ya Chuga bwana.
 
Miaka hiyo wajanja wa mjini walikua wanakutana pub inaitwa Sega, ipo jengo linalomilikiwa na Manyata kama unamfahamu.
Duh,aisee umenisaidia kukunbuka hilo jina, mara ya mwisho kuingia hapo tulikuwa na chalii angu mmoja wa unga,tukagonga mvinyo kidogo tujatawanyika,msela alikuwa na mnyama(pikipiki kubwa) basi mi naenda zangu njiro mara simu ikaita,msela mwingine ananiambia "unamjua joe? Nikamwambia yap" nikamuuliza kwani nini? Akaniambia Joe amegonga lorry kwa nyuma hapa NMC na amefariki!! Aisee,ndiyo ilikuwa mara yangu ya mwisho kuingia hapo,nikasahau na jina, Sega pub(club?)
 
Hicho kijiwe cha soko kuu mlango wa juu nilishaambiwa kuwa kimejaa "chawa"kwa hiyo ukienda pale achana na stori za ujanjajanja au za siasa, na pale metropole kwa shoe shine
 
Duh,aisee umenisaidia kukunbuka hilo jina, mara ya mwisho kuingia hapo tulikuwa na chalii angu mmoja wa unga,tukagonga mvinyo kidogo tujatawanyika,msela alikuwa na mnyama(pikipiki kubwa) basi mi naenda zangu njiro mara simu ikaita,msela mwingine ananiambia "unamjua joe? Nikamwambia yap" nikamuuliza kwani nini? Akaniambia Joe amegonga lorry kwa nyuma hapa NMC na amefariki!! Aisee,ndiyo ilikuwa mara yangu ya mwisho kuingia hapo,nikasahau na jina, Sega pub(club?)
Ndio Sega , maarufu miaka hiyo, ila mmiliki wa jengo aliyemkodishia mwenye pub is no more yeye na wife na mwanae wa kwanza yule aliyewahi kuwa ripota ITV.
 
Hicho kijiwe cha soko kuu mlango wa juu nilishaambiwa kuwa kimejaa "chawa"kwa hiyo ukienda pale achana na stori za ujanjajanja au za siasa, na pale metropole kwa shoe shine
Sana tu hicho kijiwe hakifai kabisa, kinajulikana chuga yote, mi mwenyewe sikaagi hapo nilikuwa nakaaga kile kinachoangalina na NMB
 
Hoy
Ndio Sega , maarufu miaka hiyo, ila mmiliki wa jengo aliyemkodishia mwenye pub is no more yeye na wife na mwanae wa kwanza yule aliyewahi kuwa ripota ITV.
Hiyo Sega ipo hadi leo?
 
Back
Top Bottom