Mbunge Musukuma aambiwe kuwa pesa sio mbadala wa elimu

Mbunge Musukuma aambiwe kuwa pesa sio mbadala wa elimu

Ut
Kwa akili kama zako itachukua miaka mingi sana Tanzania kuendelea.
amwanisha vp mzazi aliyeuza mashamba ili kjana wake asome aje kumsaidia kesho na sasa hivi yupo mtaani tu ata Hana uhakika wa kula na alchobaki nacho n vyeti tu aelewe hzo ngonjera zenu za elimu ni urithi wa maisha?
 
Inasikitisha sana kuona mbunge wa bunge la JMT akiibeza elimu kwa kudhani kuwa na pesa ni mbadala wa elimu. Hizi kauli za mtu kama Kasheku zinafifisha kabisa malengo ya watanzania kujikomboa kupitia elimu. Kasheku na baadhi ya watu hudhani kuwa na hela nyingi ndo tayari unakuwa umepata mbadala wa elimu kitu ambacho sio kabisa. Kasheku hajui kwamba serikali inaweza kununua vifaa tiba vya kila aina ila bila wataalamu wa kuvitumia vikaishia kukaa stoo?

Taifa haliwezi kuendelea kwa kudhani hawa matajiri uchwara wa biashara za uchuuzi wa bidhaa za China ndo wataleta maendeleo. Maendeleo ya kweli yataletwa kwa kuzalisha na kuuza zaidi nje bidhaa na huduma. Hilo haliwezi kufanikiwa kama hatutakuwa na wataalamu wetu wa kufanikisha hayo.

Mbunge Kasheku anapaswa kupuuzwa na kushauriwa kurudi shule. Kuwabeza wasomi ni laana kwa taifa.
UWE NA ELIMU ALAFU UKOSE PESA ILI UJE UFUTE HUU UZI WAKO HAPA.
 
Inasikitisha sana kuona mbunge wa bunge la JMT akiibeza elimu kwa kudhani kuwa na pesa ni mbadala wa elimu. Hizi kauli za mtu kama Kasheku zinafifisha kabisa malengo ya watanzania kujikomboa kupitia elimu. Kasheku na baadhi ya watu hudhani kuwa na hela nyingi ndo tayari unakuwa umepata mbadala wa elimu kitu ambacho sio kabisa. Kasheku hajui kwamba serikali inaweza kununua vifaa tiba vya kila aina ila bila wataalamu wa kuvitumia vikaishia kukaa stoo?

Taifa haliwezi kuendelea kwa kudhani hawa matajiri uchwara wa biashara za uchuuzi wa bidhaa za China ndo wataleta maendeleo. Maendeleo ya kweli yataletwa kwa kuzalisha na kuuza zaidi nje bidhaa na huduma. Hilo haliwezi kufanikiwa kama hatutakuwa na wataalamu wetu wa kufanikisha hayo.

Mbunge Kasheku anapaswa kupuuzwa na kushauriwa kurudi shule. Kuwabeza wasomi ni laana kwa taifa.
Sasa kama unataka uheshumike kwa sababu ya elimu.. basi dhihilisha ujuzi wako kwa kufanya jambo lenye Friday kwa Jamie yako.... sio kuongea kingereza na kuchambua siasa na mpira,,,, gundua na uzalishe... sio kuja humu jf kulalama
 
Inasikitisha sana kuona mbunge wa bunge la JMT akiibeza elimu kwa kudhani kuwa na pesa ni mbadala wa elimu. Hizi kauli za mtu kama Kasheku zinafifisha kabisa malengo ya watanzania kujikomboa kupitia elimu. Kasheku na baadhi ya watu hudhani kuwa na hela nyingi ndo tayari unakuwa umepata mbadala wa elimu kitu ambacho sio kabisa. Kasheku hajui kwamba serikali inaweza kununua vifaa tiba vya kila aina ila bila wataalamu wa kuvitumia vikaishia kukaa stoo?

Taifa haliwezi kuendelea kwa kudhani hawa matajiri uchwara wa biashara za uchuuzi wa bidhaa za China ndo wataleta maendeleo. Maendeleo ya kweli yataletwa kwa kuzalisha na kuuza zaidi nje bidhaa na huduma. Hilo haliwezi kufanikiwa kama hatutakuwa na wataalamu wetu wa kufanikisha hayo.

Mbunge Kasheku anapaswa kupuuzwa na kushauriwa kurudi shule. Kuwabeza wasomi ni laana kwa taifa.
Sasa kama unataka uheshumike kwa sababu ya elimu.. basi dhihilisha ujuzi wako kwa kufanya jambo lenye Friday kwa Jamie yako.... sio kuongea kingereza na kuchambua siasa na mpira,,,, gundua na uzalishe... sio kuja humu jf
 
Sasa kama unataka uheshumike kwa sababu ya elimu.. basi dhihilisha ujuzi wako kwa kufanya jambo lenye Friday kwa Jamie yako.... sio kuongea kingereza na kuchambua siasa na mpira,,,, gundua na uzalishe... sio kuja humu jf
Uheshumike, dhihilisha, jamie ❌. Wewe mrundi acha kiherehere ninapoongelea mambo yanayohusu Tanzania. Pumbavu.
 
Ut

amwanisha vp mzazi aliyeuza mashamba ili kjana wake asome aje kumsaidia kesho na sasa hivi yupo mtaani tu ata Hana uhakika wa kula na alchobaki nacho n vyeti tu aelewe hzo ngonjera zenu za elimu ni urithi wa maisha?
Huyo ni mzazi mpumbavu sana sina cha kumwaminisha zaidi ya kumwona ni mpumbavu.
 
Huyo dawa yake mbona ipo, yaani siku akiugua let say hata akipata ajali au siku akiwa na issue TRA ndipo atajua umuhimu wa elimu. Anasubiliwa kwa hamu
Elimu haiwezi kukusaidia pale panapohitajika pesa....ukiumwa ukaenda Aghakan hawataulizia kiwango chako cha elimu Bali watakuhitaji ulipie huduma watakayokupatia....TRA hawahitaji kujua kiwango chako cha elimu wanahitaji ulipe kodi ambayo ni pesa.
 
Mimi nilidhani unatupa mbadala wa pesa kama pesa sio mbadala wa elimu basi mbadala wa pesa ni nini?
Aache makasiliko ,kama wengine wanavojivunia kwamba mimi nimesoma uutaniambia nini,na yeye muacheni ajivunie.

Dunia ya sasa hatuangalii process ,tunangalia matokeo ,so tufuate nini dunia inataka.


Elimu sio sawa na madarasa .........MSUKUMA ANAELIMU SIO VIDATO AU VYETI. tubadilishe title iwe vyeti
 
Akili ndio suluhisho la kila kitu,,,kama umejaaliwa kuwa na akili kubwa ni rahisi kupata pesa na elimu,,,,ukiona una elimu na umeshindwa kupata pesa kuna shida kwenye akili yako,,, kwahiyo elimu inabaki kwenye vyeti ulivyonavyo.....na wewe unabaki na akili yako ndogo iliyokuwezesha kupata vyeti vizuri lakini haitoshi kuitumia kupata pesa...
 
Uheshumike, dhihilisha, jamie ❌. Wewe mrundi acha kiherehere ninapoongelea mambo yanayohusu Tanzania. Pumbavu.
Nimekuwa mrundi tena? Kwahiyo mtu akisema ukweli anaabadilishwa uraia nakuwa mrundi.... duuh! Sawa msomi mwenye kuongea kingereza swaaafi kabisa
 
Ulevi wa daraja...kama ana weza mwambie aache ubunge aje kwetu huku tusake tonge wote Kwa pamoja
 
Back
Top Bottom