Hapana. Relevancy ya wasomi unaowafikiria siyo tu anavyokusemesha ukikutana naye au akichangia Bungeni. Kwao hiyo ni ziada na kwetu ni bonus. Ukitaka kujua faida zao, soma maandishi yao. Yamejaa maktaba na serikalini na yanatumika sana kwa taarifa yako. Sana tu. Kisha, kwa ambao ni walimu, hebu angalia mchango wao wa kuelimisha taifa! Kwa upande wa michango kwa taifa, wa Musukuma ni kichuguu na wa Muhongo au wenzake kama Kimei ni Mlima Kilimanjaro!