Mbunge Neema Lugangira(Viti Maalum) ashauri Biashara za Mtandaoni kuanza kutozwa Kodi

Mbunge Neema Lugangira(Viti Maalum) ashauri Biashara za Mtandaoni kuanza kutozwa Kodi

Huyu mbunge kwa umaalum wake anatokea mkoa gani? Maana anaongoza kwa pumba huko bungeni
 
Yuko sahihi kabisa; Marekani siku hizi majimbo mengi yanatoza kodi mauzo yote ya mitandaoni. Kampuni kama Amazon, maduka yake ni ya mtandanoni na ndiyo yenye mauzo mengi kuliko kampuni yoyote. Sasa iwapo wa offline mwenye mauzo kidogo analipa kodi, iweje online mwenye mauzo mengi asilipe kodi.

Tatizo sasa litakuwa kwenye uhakiki wa hizo biashara za mtandaoni
Sio kila kitu cha marekani tuige si huku kwetu ndo kwanza biashara mtandaoni ni changa kwann usisubiri ikue??
Kwakua we unanafuu hutaki huyu mdogo anayejikuza akue kisha ndo aliwe?? Achani dagaa zikue mle minofu
 
Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi Mheshimiwa Neema amehoji kwa nini biashara za mtandaoni hazitozwi kodi kama biashara nyingine zinazofanyika nje ya mtandao. Mbunge huyo amenukuliwa akisema "Biashara ikifikia mauzo ya 4m, TRA wanatoza Kodi ya 100k/mwaka.

Biashara ikifikia mauzo ya 100m wanasajiliwa VAT na wanatozwa Kodi kulingana na Faida. Kwanini biashara za mtandaoni zisitozwe Kodi hata zikifikia mauzo stahiki? TUJADILI Online vs Offline [emoji871]".

View attachment 2145753
 
Sio kila kitu cha marekani tuige si huku kwetu ndo kwanza biashara mtandaoni ni changa kwann usisubiri ikue??
Kwakua we unanafuu hutaki huyu mdogo anayejikuza akue kisha ndo aliwe?? Achani dagaa zikue mle minofu
Sababu hafifu sana hiyo. Mbona unalipishwa tozo wakati bado ni taifa changa wala huduma za kibenki hazijasambaa sana huko vijijini na unalipa.
 
Yuko sahihi kabisa; Marekani siku hizi majimbo mengi yanatoza kodi mauzo yote ya mitandaoni. Kampuni kama Amazon, maduka yake ni ya mtandanoni na ndiyo yenye mauzo mengi kuliko kampuni yoyote. Sasa iwapo wa offline mwenye mauzo kidogo analipa kodi, iweje online mwenye mauzo mengi asilipe kodi.

Tatizo sasa litakuwa kwenye uhakiki wa hizo biashara za mtandaoni
Tatizo jinsi mnavyo wakilisha maoni yenu mnafanya watu wadhani kodi ni adhabu na hizi iwapo iwapo zenu
 
haya mambo yenye kuh. mahesabu yanawapaga watu shida. anajiona kamaliza kwa kuchanganya maneno ya kibiashara ya kingereza na kiswahili bila kujua anachanganya mambo.

angetutofautishia promotion na mauzo kwanza badala ya kusema tu "online business" kwa ujumla.

najua wafanyi biashara wanalipa kwa kuwa kwenye bei kuna gharama zote pamoja na kodi, VAT na faida. nionavyo mm, kutumia mitandao ni njia tu ya kufikia mteja (promotion), bado mauzo. hata hivyo mitandao hiyo bado ina tozo zake, ni kodi.

when you live in a glass house don't throw stones. kashiba, anasahau kuna wenye njaa
 
Ubunge wa michongo
haya mambo yenye kuh. mahesabu yanawapaga watu shida. anajiona kamaliza kwa kuchanganya maneno ya kibiashara ya kingereza na kiswahili bila kujua anachanganya mambo.
angetutofautishia promotion na mauzo kwanza badala ya kusema tu "online business" kwa ujumla.
najua wafanyi biashara wanalipa kwa kuwa kwenye bei kuna gharama zote pamoja na kodi, VAT na faida. nionavyo mm, kutumia mitandao ni njia tu ya kufikia mteja (promotion), bado mauzo. hata hivyo mitandao hiyo bado ina tozo zake, ni kodi.
when you live in a glass house don't throw stones. kashiba, anasahau kuna wenye njaa
 
Machinga siyo biashara kwani haina leseni na hivyo haikatwi kodi, ni vivyo hivyo kutangaziana instagram na kuuziana mtu na mtu siyo biashara kwa vile haina leseni.

Baadhi yake ni kama ifuatavyo

Hawa wamekwambia hawalipi Kodi ? , Binafsi sijafanya due dilligence, ila kwa mfano mdogo tu hawa Naona Address yao hio hapo
Shop No. 13, Ground Floor, Dar Free Market Mall, Ali Hassan Mwinyi Road, Oysterbay, Dar es Salaam, Tanzania.

Na mtu akinunua kitu hapa huenda ni different medium ya mtu kununulia hapa ila mauzo yote yapo na yanaweza yakawa tracked na TRA sasa hapo hawalipi Kodi kivipi ? Ni kama nilivyokwambia hata hao LIPA kwa MPESA kabla hawajakupa hio API ili uweke kwenye site yako lazima uwe a registered Business, Na mauzo yote yanajulikana na TRA inaweza ikatrack na kama hata hujachagiwa siku ya siku usishangae wanabacktrack mauzo yako na unaambiwa unadaiwa trillion kadhaa
Again Una uhakika hawalipi ?
 
Wengi katika mitandao yetu hutafuta wateja na sio (online buy and sell platform)
 
Hiyo ya wabunge kutokulipa kodi au kulipwa posho juu ya mishahara kwa kazi waliyoomba nimewahi kuilalamikia sana pia kuwa siyo sahihi. Anapogombea awe anajua mashahara wa kazi hiyo ni upi na apokee mshahara huo huo hadi anamaliza kipindi chake. Nyongeza ya mishahara ya wabunge inapofanywa isiwe effective mpaka baada ya uchaguzi. Kwa kosa la wabunge kutokulipa kodi haina maana kuwa kodi nyingine pia zisilipwe. Ni afadhali kudai wabunge pia walipe kodi, lakini siyo kukataza wengine wasilipe kodi kwa vile wabunge hawalipi kodi.
Kama wabunge hawalipi kodi na wengine nao wasilipe na kinyume chake.
Hiyo ndo misingi ya usawa.
Tusipende kuwanufaisha wanasiasa wachache wanaolipwa kufuru!
 
Ningemwona wa maana kama angekuja na hoja chanya ya kubuni na kuibua fursa zaidi za ajira ila nasikitika kwa aina hii ya wabunge kama huyu na wote wale wa kijani kufikia maendeleo tunayotamani itatuchukua miaka 100 ijayo
 
Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi Mheshimiwa Neema amehoji kwa nini biashara za mtandaoni hazitozwi kodi kama biashara nyingine zinazofanyika nje ya mtandao. Mbunge huyo amenukuliwa akisema "Biashara ikifikia mauzo ya 4m, TRA wanatoza Kodi ya 100k/mwaka.

Biashara ikifikia mauzo ya 100m wanasajiliwa VAT na wanatozwa Kodi kulingana na Faida. Kwanini biashara za mtandaoni zisitozwe Kodi hata zikifikia mauzo stahiki? TUJADILI Online vs Offline ✍".

Pia, soma:

1). Dkt. Ndugulile: Kutoza kodi Mapema kwenye Biashara za mitandaoni kutaua ajira za Vijana wengi na kudumaza e-Commerce

View attachment 2145753
Tupunguze marupurupu ya viongozi wote, kwa kuwa mishahara yao ni mikubwa wasipewe usafiri, entertainment allowance, kodi ya nyumba na mengine mengi wawape wananchi ahueni. Kuwatoza wananchi kodi kubwa ni kuwaongezea matatizo. Ni kupunguza au kuondoa stahili zote wanazopata viongozi ndio solution
 
Hiyo ya wabunge kutokulipa kodi au kulipwa posho juu ya mishahara kwa kazi waliyoomba nimewahi kuilalamikia sana pia kuwa siyo sahihi. Anapogombea awe anajua mashahara wa kazi hiyo ni upi na apokee mshahara huo huo hadi anamaliza kipindi chake. Nyongeza ya mishahara ya wabunge inapofanywa isiwe effective mpaka baada ya uchaguzi. Kwa kosa la wabunge kutokulipa kodi haina maana kuwa kodi nyingine pia zisilipwe. Ni afadhali kudai wabunge pia walipe kodi, lakini siyo kukataza wengine wasilipe kodi kwa vile wabunge hawalipi kodi.
Screenshot_20220311-184449.png
 
Haka kabunge huwa kanajiona kanajua sana mambo kumbe seti tupu. Magu alitukosea sana Watanzania kutujazia ngumbaru bungeni.
Si kasingle maza sugu,kazi yake bungeni kuongea pumba tupu kalisema wanaume wameishiwa nguvu za kiume...kumbe kenyewe mbususu bwawa la mtera
 
Nimemwelewa hivyo; angalia juzi nilinunua kitu amazon.com, bado nililipia tax. Vile vile, kwa Amazon kuniuzia kitu mtaani kwangu, serikali ya mtaa nayo inapata kodi ya biashara kutoka Amazon.

Kwa hiyo serikali inapata kodi mbile: ile ya mauzo kutoka kwangu mnunuzi, na kodi ya biashara kutoka Amazon muuzaji, ingawa ile % ya kodi ya biashara ni ndogo sana kwa biashara za online kulinganisha na zile za offline, lakini bado wanalipa.

View attachment 2145767
Taja platform ya Tanzania inayofanana na ebay, amazon, pia hapo hapo kwenye shipping ukiweka postcode ya Tanzania hio tax yote inapotea..kwaio wewe unalipa sababu shippong destination ni within united states...
 
Back
Top Bottom