toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
With a rotten system, Mwisho wa movie lazima ataachiwa huru tu. Manakumbuka Kigwangala aliwahi kutuhumiwa kumpiga mtu risasi ya mguu? Nini kiliendelea? Bashite na Sabaya wapo uraiani na kulikuwa na evidence za uhalifu hadi footage za CCTV camera. Msitarajie jipya hapo, baada ya Wiki moja hili sakata litasahaulika
awezi kuachiwa nchi yetu haipo hivyo linapo kuja swala la kunyoana wenyewe kwa wenyewe...huyo atanyolewa na chupa [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Ajui kwamba sheria ni kwa ajili ya watu masikiniUpo serious kabisa ? Unaongelea nchi gani ?
Ukiwa ccm upo juu ya sheriaZamu yake ya kuwekewa chupa imefika , Malipo ni hapahapa
Usaliti ni laana
Uoga wake tuAtoloke kwa kosa lipi
Kwani hizo ni zetu ama nyingine, huku nako yapo mafisi🤪Shida yenu mnatumia hisia zaidi lazima mahakama ipewe uthibitisho kuwa kitendo husika kilifanyika au kulikuwa na jinai sio hisia! Mahakamani hakuna kuoneana huruma kule ni ushahidi na vipengele vya sheria!
Kwa kumbukmbu zangu, ni Rais Hassan Mwinyi tu, aliyewahi kujiuzulu mapochopocho ya uongozi.Pauline Gekul ,atajijengea heshima akijiuzuru ubunge na nyadhifa zingine,ili kupisha Uchunguzi. Hii italeta heshima kwa Chama chake na Wapiga kura wake.Mtu mwenye busura nguo ikivuka una,chutama.tukio hili limempaka matope Pauline.Sijui yeye mwenyewe analichukuliaje?
Huyu mccm ana elimu gani kwani mbona muoga sana kwa kesi wenzake waliuwa,kuteka kupora uhalifu hadi kupigwa biti wasiingie USA wakatulia kimya Leo wamelamba teuzi na wengine wengine wapo nje wamefutiwa kesi