Kwanza unafahamu kuwa petrol huwa inawekewagwa rangi? Au unakalishaga tu tako hapo lumumba huku nchi ikipigwa?Ndiyo anasemaje kuhusu petrol? Kuna watu humu wanaishi kwa kufuata mawazo ya vibaraka wa mabeberu - Lissu, Mbowe, et al. bila hao hawawezi kuwa na msimamo.
Hahahhahaa kweli Jiwe alikuwa tishio kudadadadeki zakeTutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tuljikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Kalemani ni vimelea vya mwendazake ambavyo vilikua vinashirikiana kuifyonza hii nchi.Kalemani akamatwe haraka sana
CCM Ni Chama Cha Mafisadi.Mbunge wa Gairo mh Shabiby amesema kuna kampuni inalipwa kati ya sh bilioni 5 hadi 7 kila mwezi kwa kazi ya kuweka rangi kwenye mafuta yanayotumika nchini.
Shabiby amesema fee hizo ni nyingi mno kulinganisha na kazi ndogo sana inayofanywa na kwamba kazi hiyo ingeweza kufanywa bure na TBS
Shabiby kasema kazi hiyo wamepewa kampuni binafsi ambayo inatupiga haswa.
Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini mh Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiende!ea na kazi hiyo ya kitapeli
Source: ITV habari
Ramadhan Kareem!
Dada LIZABONI Yuko wapi?Tutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tuljikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Miss u Grandma..Tutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tuljikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Shikamoo faizaTutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tuljikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Mbunge wa Gairo mh Shabiby amesema kuna kampuni inalipwa kati ya sh bilioni 5 hadi 7 kila mwezi kwa kazi ya kuweka rangi kwenye mafuta yanayotumika nchini.
Shabiby amesema fee hizo ni nyingi mno kulinganisha na kazi ndogo sana inayofanywa na kwamba kazi hiyo ingeweza kufanywa bure na TBS
Shabiby kasema kazi hiyo wamepewa kampuni binafsi ambayo inatupiga haswa.
Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini mh Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiende!ea na kazi hiyo ya kitapeli
Source: ITV habari
Ramadhan Kareem!
Anasema piga ua lazima kiongozi wa malaika mkuu atake asitake ataongezewa muda mpk 2030.Dalali wa AstraZeneca anasemaje?
Kifo cha marehemu dikiteta magufuli happened for a good purpose.Tutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tuljikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Mh. Shabiby apewe ulinzi haraka...😊
Kufa kufaana.Kifo cha marehemu dikiteta magufuli happened for a good purpose.
Bibi shikamoo ulipotea Sana .Nikutakie mfungo mwemaKufa kufaana.
Kalemani kweli unatetea ufisadi!Jitathmini.Mbunge wa Gairo mh Shabiby amesema kuna kampuni inalipwa kati ya sh bilioni 5 hadi 7 kila mwezi kwa kazi ya kuweka rangi kwenye mafuta yanayotumika nchini.
Shabiby amesema fee hizo ni nyingi mno kulinganisha na kazi ndogo sana inayofanywa na kwamba kazi hiyo ingeweza kufanywa bure na TBS
Shabiby kasema kazi hiyo wamepewa kampuni binafsi ambayo inatupiga haswa.
Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini mh Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiende!ea na kazi hiyo ya kitapeli
Source: ITV habari
Ramadhan Kareem!
Karibu tena jukwaani uwa napenda sana michango yako.Tutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tuljikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Lakini Shabiby angeeleza ili watanzania wajue kama kampuni hiyo ya kitapeli ilikuepo tangia enzi za MWENDAZAKE au baada yake. Kama ilikua ikitapeli tangu wakati huo, basi hilo nalo ni kaburi lingineMbunge wa Gairo mh Shabiby amesema kuna kampuni inalipwa kati ya sh bilioni 5 hadi 7 kila mwezi kwa kazi ya kuweka rangi kwenye mafuta yanayotumika nchini.
Shabiby amesema fee hizo ni nyingi mno kulinganisha na kazi ndogo sana inayofanywa na kwamba kazi hiyo ingeweza kufanywa bure na TBS
Shabiby kasema kazi hiyo wamepewa kampuni binafsi ambayo inatupiga haswa.
Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini mh Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiende!ea na kazi hiyo ya kitapeli
Source: ITV habari
Ramadhan Kareem!