Mbunge Vicky Kamata augua ghafla masaa machache kabla ya ndoa yake, Mume aingia mitini!

Mbunge Vicky Kamata augua ghafla masaa machache kabla ya ndoa yake, Mume aingia mitini!

Status
Not open for further replies.
Hapo hakuna sababu ya kubatilisha ndoa labda kama mwanaume au mwanamke mmoja wao alisha funga ndoa na
haijavunjwa!
 
Hoya hoya. Mzee mkubwa mwenye mali atakuwa amechimba biti. Mwanaume mwenye roho ngumu kama ya nyau ndiye atathubutu oa hii madam

Huyo Mzee Mkubwa anawanawake wangapi Jamani vingine Uzushi ! kwanza kwa Nguvu gani za kupanda mitungi yote hiyo jama si kazi rahisi Handling all these Womens..🙄

We mzee mkubwa unajua ni nani? Unacholalamika ni nini?
 
Huyu vicky haumwi wala nini naskia jamaa alikua hataki ndoa cz ana ndoa still anampenda mkewe,vicky ndio alikua anaforce ndoa mda mrefu cz jamaa alikua n matatizo na mkewe.

Kuna dogo wangu yuko ofisi moja na jamaa pia jamaa alikataa ndoa kabisa so vicky kafake kua kalazwa kuficha aibu instead ya kutoa gundu la kuolewa yeye kaliongeza gundu full
 
Watu inaonekana km wamefurahia vile jambo hili litokee but to be honest mi nimesikitika sana coz nahisi atakuwa anajisikia vibaya sana na aibu isiyo na kifani na hasa hasa sipati picha siku atapokanyaga mjengoni ataiweka wapi sura yke maskini namuonea huruma ila mungu atakutia nguvu
 
Watu inaonekana km wamefurahia vile jambo hili litokee but to be honest mi nimesikitika sana coz nahisi atakuwa anajisikia vibaya sana na aibu isiyo na kifani na hasa hasa sipati picha siku atapokanyaga mjengoni ataiweka wapi sura yke maskini namuonea huruma ila mungu atakutia nguvu
Kwani wabunge wa chama pendwa wana aibu?
 
Na hii habari iwe ni somo hasa kwa wanawake.Ndoa ina nafasi yake bila kujali elimu,cheo,pesa,umaharufu au uzuri. wanaokosa bahati hii uishia kusema ndoa vibaya;ndoa za siku hizi hazidumu,mara ndoa kitu gani,hakuna ndoa bongo.yote yote mtasema lakin NDOA ni zaidi ya vyote!hata wacameroon wanalilia ndoa
 
duhhhhhh afadhali mambo yangefanyika kimya kimya pole yake bidada
 
Watu inaonekana km wamefurahia vile jambo hili litokee but to be honest mi nimesikitika sana coz nahisi atakuwa anajisikia vibaya sana na aibu isiyo na kifani na hasa hasa sipati picha siku atapokanyaga mjengoni ataiweka wapi sura yke maskini namuonea huruma ila mungu atakutia nguvu

Huruma ya nini kwa kutaka kuolewa na mme wa mtu? Mbona humuonei huruma mke wa jamaa aliyekuwa anaibiwa mme wake? Acha kubariki dhambi!
 
Huyu jamaa namfahamu toka akiwa Vodacom! ameoa kwa kina Mzena pale ada Estate zamani kulikuwa kuna club ya Mamaz. siyo tapeli kihivyo japo anapenda "U~KITONGA"
 
Nimesikia kwenye media kwamba wabunge wamefurahia ndoa hiyo kutofungwa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom