Mali ya Muheshimiwa uwa aitaifishwi hivi hivi....!
Umequote stori nzima ya nini si kila mtu anatumia pc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mali ya Muheshimiwa uwa aitaifishwi hivi hivi....!
Nimesikia kwenye media kwamba wabunge wamefurahia ndoa hiyo kutofungwa.
Umequote stori nzima ya nini si kila mtu anatumia pc
Hatariii saaanaaa..mweshimiwa chaliiii..
Atafute wake sio wa wenzie ona aibu hii
Na hii habari iwe ni somo hasa kwa wanawake.Ndoa ina nafasi yake bila kujali elimu,cheo,pesa,umaharufu au uzuri. wanaokosa bahati hii uishia kusema ndoa vibaya;ndoa za siku hizi hazidumu,mara ndoa kitu gani,hakuna ndoa bongo.yote yote mtasema lakin NDOA ni zaidi ya vyote!hata wacameroon wanalilia ndoa
Kumbe watu wengi hawakuipenda hii ishu...! Mimi binafsi sikupendezwa na bajeti ya shughuli nzima.
huyu hata mimi kanikera, sasa una-quote habari yote hiyo halafu unaandika mistari miwili, mnatutesa tunaotumia simu.
c.c: mamakibunju
Mpwa ndoa imeota mbawa?
Umequote stori nzima ya nini si kila mtu anatumia pc
Mimi kanisababishia usumbufu mkubwa sana usio wa lazima
Ndio mpwa ndoa inasemekana imeota mbawa.Mpwa ndoa imeota mbawa?
huyu hata mimi kanikera, sasa una-quote habari yote hiyo halafu unaandika mistari miwili, mnatutesa tunaotumia simu.
C.c: mamakibunju
So What Do U Want? IDIOT .
jiandae kung'olewa meno na kucha.
ha ha haaa sasa hapo unahisi umenitukana au? Matusi kwetu arachuga ndo salamu tupia kama kuna toleo jipya, hilo neno "idiot" fanya km umenigea tano lakini ujumbe umeupata