Mbunge Vicky Kamata augua ghafla masaa machache kabla ya ndoa yake, Mume aingia mitini!

Status
Not open for further replies.
Mtu alinusurika kwenda kupiga story na akina Papi Kocha na Nguza Vicking..... Its painful story. Shukuru Mungu kwa kuKunusuru. Segerea noma mzee wetu amesahau hata kuongea kikongoman..... Chakula ya muzee ilikuwa inajitafutia uhuru, uhuru umeota mbawa. Sad stories always cant be forgotten that easily..... MV 96M has been sunk lol.
 
Maskini Vicky..,aje kwangu niko singo

Unabip Segerea muzee....ohoo....hutapata hata nafasi ya kuingia humu kwa Great Thinkers.... And U will never dare to talk freely...... Watch out......hahahaha....
 
ukiusubili umbea hapa utachelewa, kwa mara ya kwanza nitatembelea website ya global kesho jumatatu na kusoma soft copy ya ijumaa wikienda.

Hahahahha... thanks Sana itabidi niufuate huko huko...dah
 
Uckute hiyo mimba ni sababu imewekwa ili mume mtarajiwa arudishe mizimu
 

haahaaaaaaaaaaa!
 
Hii kitu iko very serious....pole yake miss kamata
 
".....2008 hadi mwanzoni mwa 2010. Nikiwa nafanya post doc Glasgow, nilijikuta ninamahusiano mabaya na Vicky K. Yes alikuwa Southampton Solent University akifanya Masters ambayo alifail. Kila Wiki alikuwa akija Glasgow. Nilimweleza nimeowa hapa tunapashana moto. Bint alichanganyikiwa mno ... mara kadhaa Kikwete alimpigia simu tumemchezea sana raisi ndiye aliyelipa fees. Mara nyingi tulimweka kwa spika. Alirudi bongo akawa mbunge. Nilijichomoa kwake nilirudi bongo 2011 mwishoni yeye akawa na mahusiano bado na Kikwete na Eliakim Maswi. Alikuwa na pesa nyingi mno amewahi kunikutanisha na Chenge, Ngereja, Cheyo sehemu fulani Dar wakanisihi nikiwa na kadi ya CCM nitapewa ukatibu mkuu. Niliwajibu kisukuma nafsi yangu itanihukumu. VK amejitahidi nivunje ndoa niligoma nampenda mama mch yeye mchepuko. Tukakubaliana tuwe 2012 marafiki alinichukia mno mno. Ndoa kwake ni kitu anachokithamini sana. Anawatoto 2 Levo 16 yrs na Glory 5 yrs huyu ni wa Kikwete. Hii harusi amenitahidi mno Pinda hata Makinda wamelazimisha paroko nusu aingie kingi uongozi wa juu ulipozinasa ndoa isifunginge. Vicky nilimpima ngoma ndiyo maana nawaambiaga JK liko lizima..."
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…