angelajustine
Member
- Feb 12, 2014
- 8
- 3
SHOST HUKOMI?
ULIMCHUKUAGA NA MAREHEMU MPAKANJIA MPK AMINA CHIFUPA AKAKUTEKA. MAMA lini UTAFUTA WAKO,ACHA WAUME ZA WATU WATAKUTOA ROHO AU WATAENDELEA KUKUZALISHA TU.
ZAMAN TULISEMA UNATAFUTA HELA,HAYA SASA UNA HELA BDO UNATAFUTA NIN KWA WAUME ZA WATU? HAHAHA KWELI HELA SIO ISHU,WATOTO UNAO NA PESA UNAYO LKN BADO UNAHANGAIKA NA WANAUME? MNACHAGUA WANAUME WA KUWAOA MPK UMRI UNAENDA MNAANZA KUHANGAIKA UZEENI. WE LEA WANAO MAMA MAPENZI NAONA HAYAPO UPANDE WAKO.
From Magazeti:
Ile harusi ya the Century iliyokuwa ifanyike janq Kempisky Hotel baina ya Mbunge Maarufu wa Viti Maalum CCM Mh. Vicky Kamata imepiga mwamba
kutokana na ukweli kujulikana dakika ya mwisho juzi kwamba Mchumba wake Mheshimiwa Mbunge ni Tapeli wa ajabu hapa nchini ambaye amekuwa
akiwadanganya sana kina dada wenye utajiri na kwamba Mh. Vicky Kamata anakuwa ni Mbebez wa tatu kutapeliwa na Mchumba huyu pichani.
Ripoti inasema kwamba Juzi Mke wa kweli wa Mchumba huyo alijitokeza na hati zake Kanisani Catholic kwa Wachungaji waliomfahamisha mchumba kwamba hakutakuwa na tendo la kufunga Ndoa Kanisani ndipo Mvumba huyo bwana Charles akatimka na jumla ya pesa za mchango wa harusi hiyo Shillingi Millioni 40. Jumla zilikuwa zimeshachangwa Shillingi Millioni 100, tayari USD 15,000 zilikuwa zimeshalipiwa kwa ajili ya Ukumbi wa Kempisk
Hotel, tayari wageni waalikwa toka Geita walioshiriki kumchagua Mbunge huyo walishafika Dar wapo hapa, na cha kutisha zaidi ni kwamba Mheshimiwa Mbunge toka jana asubuhi ameshindwa kabisa kumpata mchumba huyo kwenye simu zake zote zimezimwa hazipatikani kabisa.
Inasemekana baadhi ya Wabunge waliomchangia kwa kiwango kikubwa sana wameanza kulalamika kwa pembeni kwamba wanataka sana kurudishiwa michango yao
MAPENZI NITIE WAZIMUUUU
ULIMCHUKUAGA NA MAREHEMU MPAKANJIA MPK AMINA CHIFUPA AKAKUTEKA. MAMA lini UTAFUTA WAKO,ACHA WAUME ZA WATU WATAKUTOA ROHO AU WATAENDELEA KUKUZALISHA TU.
ZAMAN TULISEMA UNATAFUTA HELA,HAYA SASA UNA HELA BDO UNATAFUTA NIN KWA WAUME ZA WATU? HAHAHA KWELI HELA SIO ISHU,WATOTO UNAO NA PESA UNAYO LKN BADO UNAHANGAIKA NA WANAUME? MNACHAGUA WANAUME WA KUWAOA MPK UMRI UNAENDA MNAANZA KUHANGAIKA UZEENI. WE LEA WANAO MAMA MAPENZI NAONA HAYAPO UPANDE WAKO.
From Magazeti:
Ile harusi ya the Century iliyokuwa ifanyike janq Kempisky Hotel baina ya Mbunge Maarufu wa Viti Maalum CCM Mh. Vicky Kamata imepiga mwamba
kutokana na ukweli kujulikana dakika ya mwisho juzi kwamba Mchumba wake Mheshimiwa Mbunge ni Tapeli wa ajabu hapa nchini ambaye amekuwa
akiwadanganya sana kina dada wenye utajiri na kwamba Mh. Vicky Kamata anakuwa ni Mbebez wa tatu kutapeliwa na Mchumba huyu pichani.
Ripoti inasema kwamba Juzi Mke wa kweli wa Mchumba huyo alijitokeza na hati zake Kanisani Catholic kwa Wachungaji waliomfahamisha mchumba kwamba hakutakuwa na tendo la kufunga Ndoa Kanisani ndipo Mvumba huyo bwana Charles akatimka na jumla ya pesa za mchango wa harusi hiyo Shillingi Millioni 40. Jumla zilikuwa zimeshachangwa Shillingi Millioni 100, tayari USD 15,000 zilikuwa zimeshalipiwa kwa ajili ya Ukumbi wa Kempisk
Hotel, tayari wageni waalikwa toka Geita walioshiriki kumchagua Mbunge huyo walishafika Dar wapo hapa, na cha kutisha zaidi ni kwamba Mheshimiwa Mbunge toka jana asubuhi ameshindwa kabisa kumpata mchumba huyo kwenye simu zake zote zimezimwa hazipatikani kabisa.
Inasemekana baadhi ya Wabunge waliomchangia kwa kiwango kikubwa sana wameanza kulalamika kwa pembeni kwamba wanataka sana kurudishiwa michango yao
MAPENZI NITIE WAZIMUUUU