Mbunge Vicky Kamata augua ghafla masaa machache kabla ya ndoa yake, Mume aingia mitini!

Mbunge Vicky Kamata augua ghafla masaa machache kabla ya ndoa yake, Mume aingia mitini!

Status
Not open for further replies.
SHOST HUKOMI?
ULIMCHUKUAGA NA MAREHEMU MPAKANJIA MPK AMINA CHIFUPA AKAKUTEKA. MAMA lini UTAFUTA WAKO,ACHA WAUME ZA WATU WATAKUTOA ROHO AU WATAENDELEA KUKUZALISHA TU.


ZAMAN TULISEMA UNATAFUTA HELA,HAYA SASA UNA HELA BDO UNATAFUTA NIN KWA WAUME ZA WATU? HAHAHA KWELI HELA SIO ISHU,WATOTO UNAO NA PESA UNAYO LKN BADO UNAHANGAIKA NA WANAUME? MNACHAGUA WANAUME WA KUWAOA MPK UMRI UNAENDA MNAANZA KUHANGAIKA UZEENI. WE LEA WANAO MAMA MAPENZI NAONA HAYAPO UPANDE WAKO.

From Magazeti:
Ile harusi ya the Century iliyokuwa ifanyike janq Kempisky Hotel baina ya Mbunge Maarufu wa Viti Maalum CCM Mh. Vicky Kamata imepiga mwamba
kutokana na ukweli kujulikana dakika ya mwisho juzi kwamba Mchumba wake Mheshimiwa Mbunge ni Tapeli wa ajabu hapa nchini ambaye amekuwa
akiwadanganya sana kina dada wenye utajiri na kwamba Mh. Vicky Kamata anakuwa ni Mbebez wa tatu kutapeliwa na Mchumba huyu pichani.

Ripoti inasema kwamba Juzi Mke wa kweli wa Mchumba huyo alijitokeza na hati zake Kanisani Catholic kwa Wachungaji waliomfahamisha mchumba kwamba hakutakuwa na tendo la kufunga Ndoa Kanisani ndipo Mvumba huyo bwana Charles akatimka na jumla ya pesa za mchango wa harusi hiyo Shillingi Millioni 40. Jumla zilikuwa zimeshachangwa Shillingi Millioni 100, tayari USD 15,000 zilikuwa zimeshalipiwa kwa ajili ya Ukumbi wa Kempisk

Hotel, tayari wageni waalikwa toka Geita walioshiriki kumchagua Mbunge huyo walishafika Dar wapo hapa, na cha kutisha zaidi ni kwamba Mheshimiwa Mbunge toka jana asubuhi ameshindwa kabisa kumpata mchumba huyo kwenye simu zake zote zimezimwa hazipatikani kabisa.

Inasemekana baadhi ya Wabunge waliomchangia kwa kiwango kikubwa sana wameanza kulalamika kwa pembeni kwamba wanataka sana kurudishiwa michango yao

MAPENZI NITIE WAZIMUUUU
 
SHOST HUKOMI?

Ripoti inasema kwamba Juzi Mke wa kweli wa
Mchumba huyo alijitokeza na hati zake Kanisani
Catholic kwa Wachungaji waliomfahamisha
mchumba kwamba hakutakuwa na tendo la
kufunga Ndoa Kanisani ndipo Mvumba huyo
bwana Charles akatimka na jumla ya pesa za
mchango wa harusi hiyo Shillingi Millioni 40.
Jumla zilikuwa zimeshachangwa Shillingi Millioni
100, tayari USD 15,000 zilikuwa zimeshalipiwa kwa
ajili ya Ukumbi wa Kempisk
Hotel, tayari wageni waalikwa toka Geita
walioshiriki kumchagua Mbunge huyo walishafika
Dar wapo hapa, na cha kutisha zaidi ni kwamba
Mheshimiwa Mbunge toka jana asubuhi
ameshindwa kabisa kumpata mchumba huyo
kwenye simu zake zote zimezimwa hazipatikani
kabisa.
Inasemekana baadhi ya Wabunge waliomchangia
kwa kiwango kikubwa sana wameanza kulalamika
kwa pembeni kwamba wanataka sana
kurudishiwa michango yao

MAPENZI NITIE WAZIMUUUU

Mjini Shule banah!
Ukizoe kula vya watu jiandae nawe zamu yako yaja!
 
Ni hivi, (hii kutoka chanzo cha ndani kabsaaa), misuguano ilianza kitambo kwa vijimambo vya hapa na pale including dharau na jeuri ya pesa basi mwanaume akawa anaonekana kama bendera fwata upepo tu. Soon baada ya shopping ya China ya harusi, bibie akawa anasisitiza bwana ahamie kwake (anakoishi mwanamke) maana haoni sababu kwa nini waendelee kukaa kila mtu kivyake huku ndoa ikaribu kufungwa!

Bwana alikuwa hataki hilo kwa sababu ya dharau za bibie pia bibie hapendi ndugu wa bwana! Sasa basi bila taarifa bibie akaenda hadi nyumba alopangwa bwana akaomba funguo kwa mama mwenye nyumba akatoa copy, siku ya siku akaenda na gari na nduguye mmoja wa kiume(mtoto wa mamake mdogo)wakafungua nyumba ya bwana wakabeba kila kilichokuwamo wakahamishia nyumbani kwa bibie. Bwana aliporejea kwake kutoka mishemishe zake (kazini) akakuta nyumba NYEUPEEEE! kuuliza mama mwenye nyumba kaelezwa bibie kaja hapa kahamisha kila kitu.

Ndo bwana kukasirika, akaamua kujificha wiki nzima akazima na simu. Bibie presha zinapanda zinashuka, dharau kwa ndugu atamuuliza nani? Naskia bwana akawa anawaeleza baadhi ya jamaa zake kuwa atamfanyia ushenzi atafunga nae ndoa Jumamosi kisha Jumapili atatoa talaka kumkomesha. (pia hakua na mapenzi ya dhati alipenda mkwanja. Ndo bwana kupatikana hewani majuzi kati hapa alipompigia bibie simu, akachaaambwa vya haja (kwa kuwa bibie alikwishatonywa juu ya mchongo wa kufunga ndoa na kesho yake talaka),

naskia akamweleza kama skendo alishapata kibao nini hii wala sio issue, akamwambia ndoa basi na yeye hataki tena na hili litapita. sasa ili kuiua sooo ikabidi mchongo uwekwe kuwa ana mimba inatishia kutoka anahitaji bed rest (ingawa kweli ana mimba changa)ili wadau waaminishwe hivyo. Kama mlisikia kipindi cha clouds cha leo tena Ijumaa Regina Mwalekwa alizungumza na daktari wake akadai kutoa maelezo hayo ya bed rest n. k. ingawa alipoulizwa ni mimba ya ngapi akachemsha eti ya kwanza!!!!!!!!!!!!!!! wakati bibie ana watoto wawili.
 
Hiyo Picha Uliyosema utaiweka Mbona Siajiona Mkuu!
 
Kweli nimekumbuka kisa cha Vicky Kamata na marehemu Med Mpakanjia!!! Kweli binti ni mtambo sana na umri umeshaenda!!! Sasa naunganisha marehemu Amina vs Vicky Kamata vs Baba Mkubwa Vs Liyumba vs ,.... yaani list ni kubwa!!! Na vinyongo vingi Vicky Kamata Vs Liyumba Vs Amina Chifupa VS Baba Mkubwa!!! Tutapona?? Mwacheni mama mkubwa alee wajukuu zake, sasa imetosha!!
 
I feel sorry for her, sioni jambo la kushangilia hapa
 
Mhhhhhηηη!!!!!!
harufu ya chuki za waziwazi zinaanza kuonekana siku baada ya wiki,wiki baada mwezi.
Hawajasema bado,tutaskia mengi kuliko zaidi.
kuwa na hela au watoto au vyoote kwa pamoja.
kama huna tulizo la moyo wako,basi hivyo vyoote kwako ni bure kabisa.
 
Ni hivi, (hii kutoka chanzo cha ndani kabsaaa), misuguano ilianza kitambo kwa vijimambo vya hapa na pale including dharau na jeuri ya pesa basi mwanaume akawa anaonekana kama bendera fwata upepo tu. Soon baada ya shopping ya China ya harusi, bibie akawa anasisitiza bwana ahamie kwake (anakoishi mwanamke) maana haoni sababu kwa nini waendelee kukaa kila mtu kivyake huku ndoa ikaribu kufungwa!

Bwana alikuwa hataki hilo kwa sababu ya dharau za bibie pia bibie hapendi ndugu wa bwana! Sasa basi bila taarifa bibie akaenda hadi nyumba alopangwa bwana akaomba funguo kwa mama mwenye nyumba akatoa copy, siku ya siku akaenda na gari na nduguye mmoja wa kiume(mtoto wa mamake mdogo)wakafungua nyumba ya bwana wakabeba kila kilichokuwamo wakahamishia nyumbani kwa bibie. Bwana aliporejea kwake kutoka mishemishe zake (kazini) akakuta nyumba NYEUPEEEE! kuuliza mama mwenye nyumba kaelezwa bibie kaja hapa kahamisha kila kitu.

Ndo bwana kukasirika, akaamua kujificha wiki nzima akazima na simu. Bibie presha zinapanda zinashuka, dharau kwa ndugu atamuuliza nani? Naskia bwana akawa anawaeleza baadhi ya jamaa zake kuwa atamfanyia ushenzi atafunga nae ndoa Jumamosi kisha Jumapili atatoa talaka kumkomesha. (pia hakua na mapenzi ya dhati alipenda mkwanja. Ndo bwana kupatikana hewani majuzi kati hapa alipompigia bibie simu, akachaaambwa vya haja (kwa kuwa bibie alikwishatonywa juu ya mchongo wa kufunga ndoa na kesho yake talaka),

naskia akamweleza kama skendo alishapata kibao nini hii wala sio issue, akamwambia ndoa basi na yeye hataki tena na hili litapita. sasa ili kuiua sooo ikabidi mchongo uwekwe kuwa ana mimba inatishia kutoka anahitaji bed rest (ingawa kweli ana mimba changa)ili wadau waaminishwe hivyo. Kama mlisikia kipindi cha clouds cha leo tena Ijumaa Regina Mwalekwa alizungumza na daktari wake akadai kutoa maelezo hayo ya bed rest n. k. ingawa alipoulizwa ni mimba ya ngapi akachemsha eti ya kwanza!!!!!!!!!!!!!!! wakati bibie ana watoto wawili.

Aiseeeeeeh......Sasa Kwanini Wasijiunge Na Kina Naniliu Pale Bongo Moviez.....Maana Hawa Watu Are Full Of Drama.....Thank You Kwa Ubuyu,Tusubiri Version Nyingine Maana Ishakuwa Series Nayo...
 
Te te te...akimKamata atamfanyaje????

Hakika amelewa madaraka...

Labda ashawishi bunge litunge sheria ya cheaters; tena ndani ya wiki moja.....(kama nusu ya wabunge hawajawa convicted)


Charles mpaka sasa hajulikan alipo kaingia mitini jumla

ila bibie kasema ama zake kama alizoea kutapeli wengine ni hao

hao yeye hatapeliwi.., ngoja niendelee kusikiliza "WANAWAKE NA MAENDELEO" HAPA
 
Wacha Movie Iendelee.....(wanasemaga wenyewe watoto wa kimujinimujini)
 
SHOST HUKOMI?
ULIMCHUKUAGA NA MAREHEMU MPAKANJIA MPK AMINA CHIFUPA AKAKUTEKA.
.MAMA lini UTAFUTA WAKO,ACHA WAUME ZA WATU WATAKUTOA ROHO AU WATAENDELEA KUKUZALISHA TU.

ZAMAN TULISEMA UNATAFUTA HELA,HAYA SASA UNA HELA BDO UNATAFUTA NIN KWA WAUME ZA WATU?
HAHAHA KWELI HELA SIO ISHU,WATOTO UNAO NA PESA UNAYO LKN BADO UNAHANGAIKA NA WANAUME?
MNACHAGUA WANAUME WA KUWAOA MPK UMRI UNAENDA MNAANZA KUHANGAIKA UZEENI
.
WE LEA WANAO MAMA MAPENZI NAONA HAYAPO UPANDE WAKO..

From Magazeti:
Ile harusi ya the Century iliyokuwa ifanyike janq
Kempisky Hotel baina ya Mbunge Maarufu wa Viti
Maalum CCM Mh. Vicky Kamata imepiga mwamba
kutokana na ukweli kujulikana dakika ya mwisho
juzi kwamba Mchumba wake Mheshimiwa
Mbunge
ni Tapeli wa ajabu hapa nchini ambaye amekuwa
akiwadanganya sana kina dada wenye utajiri na
kwamba Mh. Vicky Kamata anakuwa ni Mbebez
wa tatu kutapeliwa na Mchumba huyu
pichani.
Ripoti inasema kwamba Juzi Mke wa kweli wa
Mchumba huyo alijitokeza na hati zake Kanisani
Catholic kwa Wachungaji waliomfahamisha
mchumba kwamba hakutakuwa na tendo la
kufunga Ndoa Kanisani ndipo Mvumba huyo
bwana Charles akatimka na jumla ya pesa za
mchango wa harusi hiyo Shillingi Millioni 40.
Jumla zilikuwa zimeshachangwa Shillingi Millioni
100, tayari USD 15,000 zilikuwa zimeshalipiwa kwa
ajili ya Ukumbi wa Kempisk
Hotel, tayari wageni waalikwa toka Geita
walioshiriki kumchagua Mbunge huyo walishafika
Dar wapo hapa, na cha kutisha zaidi ni kwamba
Mheshimiwa Mbunge toka jana asubuhi
ameshindwa kabisa kumpata mchumba huyo
kwenye simu zake zote zimezimwa hazipatikani
kabisa.
Inasemekana baadhi ya Wabunge waliomchangia
kwa kiwango kikubwa sana wameanza kulalamika
kwa pembeni kwamba wanataka sana
kurudishiwa michango yao

MAPENZI NITIE WAZIMUUUU
Mdau alishakuchukulia wako nini sababu uandishi wako umetoka moyoni kabisa wanasema from the bottom/sakafu ya moyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom