Mbunge Vicky Kamata augua ghafla masaa machache kabla ya ndoa yake, Mume aingia mitini!

Mbunge Vicky Kamata augua ghafla masaa machache kabla ya ndoa yake, Mume aingia mitini!

Status
Not open for further replies.
Kijana mwenye suti nyeusi na miwani ndio first born wake,na hicho kibinti kidogo ni mtoto wake wa pili.
 
Taratibu naanza kuingiwa na wasiwasi mwingi, yale makuzi na utamaduni wetu wa kujaaliana na kufarijiana umeishia wapi? Tukiweka mbali mambo ya vyeo, Vicky Kamata ni Mwanamke/Mwanadada kama walivyo wapenzi, madada zetu wengi wenye kupata maumivu extras kwenye medani ya kimapenzi na mahusiano! itoshe kusema Vicky anastahili Pole nyingi na faraja nyingi kutoka kwa Jamii ya kitanzania kwa nafasi yake kama Mwanamama mwanaharakati wa haki za wanawake na pia kiongozi wa watu wake...Pole sana Dada Vicky, pole sana Mama mzazi wa Vicky kwa uchungu wa Mwana anaujua mzazi...Tujitahidi kuwa na staha kwenye majanga Jamani! Sisi ni Watanzania tu, ID yetu haitabadilika hata siku moja! Makuzi yetu, hayakutufunza haya ya kuzodoana na kusherehekea matatizo ya wenzetu ...

Unamuonea huruma pekee kwa vile ni mbunge je na huyo mke wa bwana harusi mtarajiwa na watoto wake hawastahili kuonewa huruma na kufarijiwa???!
 
pole Vick kamata' kwa kukamatwa na kidume cha mutu.
 
Unamuonea huruma pekee kwa vile ni mbunge je na huyo mke wa bwans harusi mtarajiwa na watoto wake hawastahili kuonewa huruma na kufarijiwa???!
Inashangaza,aonewe huruma ailekuwa tayari kuvuruga ndoa ya mwenzie,ona hivyo vitoto vilivyo innocent,malipo ni hapa hapa Duniani,hili tukio liwe fundisho si kwake tu bali na kwa wale wote waliotayari kuumiza wenzao kwa ubinafsi wao.
 
Hakuna Faraja Ya Kiunafiki Hapo! Kwa Vile Yeye Ni Mbunge? Mbona Hautaki Kumpa Faraja Huyo Mama Na Wtt, Ambao Walikuwa Na Waendelea Kudhurumiwa Haki Zao, Kama Family!! Sasa Leo Tumpongeze Na Kumfariji Aliyetaka Na Aliyefanya Dhuruma? Eti Mwanamke Mwanaharakati!! Wakushukuriwa Ni Mungu, Kwa Kufichua Udhalimu Huo Mchafu!! Pia Kwa Family Nzima!! Pole Sanaa!!
 
daaah mapenzi hayana adabu hadi mbunge kaingizwa Choo cha kiume na mbaya zaidi chooni kakutana na undertaker
 
Kijana mwenye suti nyeusi na miwani ndio first born wake,na hicho kibinti kidogo ni mtoto wake wa pili.

hihiiii huyo ndio wa mkulu?????? kama kafanana na ridhwani tehe teheeee natania msinitoe macho:der::der::der::der::der::der::der::der::der:
 
Kwel mume wa mtu sumu

Mmmh...na hizi ID zetu za JF.......nikimuangalia Mh Ummy alivyoketi hapo pembeni nahisi kichwani anatamka/ameandika vivyo hivyo.....ila yeye atakuwa ameongeza neno shoga....."mume wa mtu sumu shoga".
 
Mmmh...na hizi ID zetu za JF.......nikimuangalia Mh Ummy alivyoketi hapo pembeni nahisi kichwani anatamka/ameandika vivyo hivyo.....ila yeye atakuwa ameongeza neno shoga....."mume wa mtu sumu shoga".

Hahaaaa mkuu umenifanya niongeze siku kwa kucheka asubuh
 
Unampa pole mwizi kisa amekamatwa!!! Na aliyeibiwa je, apewe nini.
 
huyu jamaa nimemfahamu kipindi anafanya kazi sasatel miaka ya 2009.

alikua meneja kitengo cha customer care...

ni mtu mmoja mjanja mjanja sana na muongo wa kile anachokizungumza,anapenda sifa na ana sura ya kulazimisha ukubali anachokwambia.....kwa sasa sifahamu anafanyia wapi kazi japo nimepata tetesi yupo tiGo.

aliwahi kutengeneza madai ya kuumwa sana akiwa sasatel (ugonjwa kapuni) na kudai anatakiwa akatibiwe India...wengi walichanga na inasemekana alikwenda lakini ilikua janja ya nyani....

kwa yaliyotokea kwa asilimia kubwa aliyajua before ila ni mtu asiejali.......kwa kifupi ni mtu wa habari za mujini na m-kitonga hasa!!!

wengine watajazia!!
 
Saaaafi kabisa!wera weraweraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
huyu jamaa nimemfahamu kipindi anafanya kazi sasatel miaka ya 2009.

alikua meneja kitengo cha customer care...

ni mtu mmoja mjanja mjanja sana na muongo wa kile anachokizungumza,anapenda sifa na ana sura ya kulazimisha ukubali anachokwambia.....kwa sasa sifahamu anafanyia wapi kazi japo nimepata tetesi yupo tiGo.

aliwahi kutengeneza madai ya kuumwa sana akiwa sasatel (ugonjwa kapuni) na kudai anatakiwa akatibiwe India...wengi walichanga na inasemekana alikwenda lakini ilikua janja ya nyani....

kwa yaliyotokea kwa asilimia kubwa aliyajua before ila ni mtu asiejali.......kwa kifupi ni mtu wa habari za mujini na m-kitonga hasa!!!

wengine watajazia!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom