Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Eti ajira? kiingereza mgogoro ata kiswahili haukijui...Shallow tina tina
umeanza kuweweseka sasa wewe kibaraka? endelea kukata mauno tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti ajira? kiingereza mgogoro ata kiswahili haukijui...Shallow tina tina
Unachukua huko sarakasi za weekend za kummaliza shemeji yangu siyo. Safi sana imarisha mahusiano.
pingamizi linaweza kuwekwa hata siku ya ndoa.Mmh siamini hiyo pingamizi ya Paroko inamaana tangu ndoa itangazwe kanisani na kuandikisha si inabidi alete cheti cha ubatizo mapema. Kama hakuwa nacho si huwa anafanya mafundisho ya ukatekumeni then abatizwe... Kipaimara sio issue maana kama hana angepewa siku ya harusi kabla ya agano la ndoa.
wewe unajuaje, acha ujingaDuh na wewe unadai mchango wakati ata Vick umjui hakujui...acha uswahili
Hata aibu huoni,hakuna cha harusi wala nini,kuna wageni walikuja toka Mwanza kwenye harusi na leo wamekuja kuniaga kesho wanarudi Mwanza,mambo yalianza kuharibika tangu juzi,na hata Hospital kaenda kuficha aibu tu lakini ukweli ni kwamba hakuna cha Ndoa,Bwana Harusi kaingia mitini
Mkuu matumbo hapo kwenye hizo sababu wanazo sema za sakramenti si za msingiMkuu mie kaniambia anaumwa..Swala la vikwazo kanisani siwezi kulikataa ila kama ni vyeti vya sakramenti ilo sio kikwazo kabisa vinaweza patikana na ndoa ikafungwa...Nachopinga hapa ni huu uswahili eti bwana harusi katapeli michango mara cjui kazaa sana cjui ujinga gani
Mkuu ni aibu ya mwaka kaipata,ni kweli ni mjamzito na Bwana harusi kaingia mitini.Muulizeni mjomba wake mkuu wa Mkoa mmoja kanda ya ziwa.
Aha dah nikajua umetingwa na majukumu binamu, aya bhana si tupo huku kwanza, tunajinoa kwanza
kumbe hata ugonjwa kasingizia mie leo nimeiona kwenye mwananchi kama sikosei
nikawaza hii ndoa ya mamilion kitu chali
qn of shebaMmh siamini hiyo pingamizi ya Paroko inamaana tangu ndoa itangazwe kanisani na kuandikisha si inabidi alete cheti cha ubatizo mapema. Kama hakuwa nacho si huwa anafanya mafundisho ya ukatekumeni then abatizwe... Kipaimara sio issue maana kama hana angepewa siku ya harusi kabla ya agano la ndoa.
ko alikua mama Kijacho........... aiseeeeeeeee
pingamizi linaweza kuwekwa hata siku ya ndoa.
qn of sheba
Ni wazi huyu paroko ana interest kwenye hili swala maa kwenye mafundisho ya ndoa lazima vyeti muhimu ka hivyo viletwe na lazima waulizwe,
Haiwezekani siku zote hizo alija tatuliwa na kimsingi hilo si pingamizi maana kuna uwezekano kupewa hiyo sakrameti siku hiyo hiyo ya kufunga ndoa.
Paroko hana hoja za msingi na ameonesha wazi udhaifu wake maana
Yeye alitakiwa kuhakisha mafundisho ya sakramenti yana kwenda sambamba na mafundisho ya ndoa!
NDO huyu binamu, ila ukimuona tu uson kakaa ki ujanja ujanja, yaan vicky simpatiii anavyoharisha ukoBinamu we endelea kutupa ubuyu
niwekee pic ya huyo handsome tapeli wa mapenzi aliemkimbia mheshimiwa viti maalum
Mi Nahisi kama Handsome kaingilia kati!!tatizo handsome ni mali ya umma. hamna mmiliki halali
Mkuu umeua. Halafu anaikimbiza 70 hivyo nguvu za mtungi hola. Huyu dada alipoteza step alipoangukia mkononi mwa handsome. Sema kamchongea mipango ya hela sana.