Mbunge Vicky Kamata augua ghafla masaa machache kabla ya ndoa yake, Mume aingia mitini!

Mbunge Vicky Kamata augua ghafla masaa machache kabla ya ndoa yake, Mume aingia mitini!

Status
Not open for further replies.
Mmh siamini hiyo pingamizi ya Paroko inamaana tangu ndoa itangazwe kanisani na kuandikisha si inabidi alete cheti cha ubatizo mapema. Kama hakuwa nacho si huwa anafanya mafundisho ya ukatekumeni then abatizwe... Kipaimara sio issue maana kama hana angepewa siku ya harusi kabla ya agano la ndoa.
pingamizi linaweza kuwekwa hata siku ya ndoa.
 
Hata aibu huoni,hakuna cha harusi wala nini,kuna wageni walikuja toka Mwanza kwenye harusi na leo wamekuja kuniaga kesho wanarudi Mwanza,mambo yalianza kuharibika tangu juzi,na hata Hospital kaenda kuficha aibu tu lakini ukweli ni kwamba hakuna cha Ndoa,Bwana Harusi kaingia mitini

kumbe hata ugonjwa kasingizia mie leo nimeiona kwenye mwananchi kama sikosei

nikawaza hii ndoa ya mamilion kitu chali
 
Mkuu mie kaniambia anaumwa..Swala la vikwazo kanisani siwezi kulikataa ila kama ni vyeti vya sakramenti ilo sio kikwazo kabisa vinaweza patikana na ndoa ikafungwa...Nachopinga hapa ni huu uswahili eti bwana harusi katapeli michango mara cjui kazaa sana cjui ujinga gani
Mkuu matumbo hapo kwenye hizo sababu wanazo sema za sakramenti si za msingi
Kwa sababu kulikuwa kwanza na muda wa pingamizi kwanini huo muda haukutumiwa kuleta hayo yote? Na walipo kuwa wanaenda kwenye mafunzo ya ndoa kwa nini paroko alikuwa ana waandaa watu hasiyo jua kama wamepata sakramenti au lah?huu ni udhaifu wa paroko!
Pia sababu ya kusema amezaa nje ya ndoa haiwezi kubatilisha ndoa au kuzuia ndoa hiyo ni sababu ya kijinga!
Kuna sababu ambazo zinaweza sababisha ndoa yake hisifungwe mfano kama hitathibitika pasi shaka kuwa alishafunga ndoa na bado haijavunjwa kisheria!
 
Last edited by a moderator:
kumbe hata ugonjwa kasingizia mie leo nimeiona kwenye mwananchi kama sikosei

nikawaza hii ndoa ya mamilion kitu chali

Hakuna cha pressure kushuka wala nini,Bwana Harusi majuzi hapatikani kwenye simu,alipopatikana akampa live kuwa hayuko tayari kufunga ndoa,ndio mpango ukasukwa wa yeye kwenda Hospital kusingizia ni mgonjwa,lakini familia ilishajua siku 4 kabla kuwa mambo si mambo tena.
 
Mmh siamini hiyo pingamizi ya Paroko inamaana tangu ndoa itangazwe kanisani na kuandikisha si inabidi alete cheti cha ubatizo mapema. Kama hakuwa nacho si huwa anafanya mafundisho ya ukatekumeni then abatizwe... Kipaimara sio issue maana kama hana angepewa siku ya harusi kabla ya agano la ndoa.
qn of sheba

Ni wazi huyu paroko ana interest kwenye hili swala maa kwenye mafundisho ya ndoa lazima vyeti muhimu ka hivyo viletwe na lazima waulizwe,
Haiwezekani siku zote hizo alija tatuliwa na kimsingi hilo si pingamizi maana kuna uwezekano kupewa hiyo sakrameti siku hiyo hiyo ya kufunga ndoa.
Paroko hana hoja za msingi na ameonesha wazi udhaifu wake maana
Yeye alitakiwa kuhakisha mafundisho ya sakramenti yana kwenda sambamba na mafundisho ya ndoa!
 
Last edited by a moderator:
pingamizi linaweza kuwekwa hata siku ya ndoa.

Ndio linaweza, ila nauliza issue ya cheti cha ubatizo siku zote hizo walikuwa wapi wakati vinapokelewa wakati wa kujiandikisha then mnapewa go ahead kuitangaza kanisani. Na kama hakuwa nacho inamaana hakubatizwa si wangempa mafundisho ya ukatekumeni ili abatizwe kwanza.
 
sina cha kuchangia hapo but marriage lazima steps zote zifatwe. tuwekeeni picha ya huyo tapeli tusaidie upelelezi
 
qn of sheba

Ni wazi huyu paroko ana interest kwenye hili swala maa kwenye mafundisho ya ndoa lazima vyeti muhimu ka hivyo viletwe na lazima waulizwe,
Haiwezekani siku zote hizo alija tatuliwa na kimsingi hilo si pingamizi maana kuna uwezekano kupewa hiyo sakrameti siku hiyo hiyo ya kufunga ndoa.
Paroko hana hoja za msingi na ameonesha wazi udhaifu wake maana
Yeye alitakiwa kuhakisha mafundisho ya sakramenti yana kwenda sambamba na mafundisho ya ndoa!

Yeah hapo ndio nime doubt wqliandikishwaje ndoa bila hivyo vyeti wakati RC hata komunio kama hauna cheti cha ubatizo huandikishwi sembuse harusi..
Na kama hakuwa nacho kabisa na hakubatizwa si angebatizwa kwanza, then siku ya harusi yake akapewa kipaimara.
 
Last edited by a moderator:
Binamu we endelea kutupa ubuyu

niwekee pic ya huyo handsome tapeli wa mapenzi aliemkimbia mheshimiwa viti maalum
NDO huyu binamu, ila ukimuona tu uson kakaa ki ujanja ujanja, yaan vicky simpatiii anavyoharisha uko
 

Attachments

  • 1400949608249.jpg
    1400949608249.jpg
    100.6 KB · Views: 786
basi akae tu na ubunge wake ndoa imeingia ruba mechi za hapa na pale hawezi kukosa.
Mkuu umeua. Halafu anaikimbiza 70 hivyo nguvu za mtungi hola. Huyu dada alipoteza step alipoangukia mkononi mwa handsome. Sema kamchongea mipango ya hela sana.
 
Mbona sielewi hii mada? Itakuwaje kuwe na mipango ya arusi ya mtu mashuhuri kama huyu halafu mambo yaende kimya kimya. Mleta mada kumbuka leo siyo April mosi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom