Drifter
JF-Expert Member
- Jan 4, 2010
- 5,122
- 5,104
Kuna siku Mh.Rais atasifiwa kwa kuwa Mwanamke!
Mbona tayari. Rais wa kwanza wa JMT kuwa mwanamke tangia uhuru kwa kudura.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna siku Mh.Rais atasifiwa kwa kuwa Mwanamke!
CCM is somewhat dead. Imekusanya watoto na watu ambao hawajui nchi inataka nini. Unfortunately, CCM inafanya huu utoto utoto wakati ndiyo ilitegemewa kutoa strategic direction ya nchi in few decades to come. Katibu mwenezi ni yale yale. Dan naye naona kama amezidiwa hivi. Hawa wabunge ndiyo kabisaa hawana hata msaada. Mama kabaki mwenyewe akilaumu gazeti la chama kumshambulia!
Mbona wewe ni gunguni kwa gaid mboweTatizo wanaosifiwa nao hawakemei hizi tabia za uchawa means wanafurahia kuwa na chawa.
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Baberi yuko jera analiwa na papasi muda huuAkajibu na kusema, Babeli umeanguka, umeanguka; na sanamu zote za miungu yake zimevunjwa chini. —Isaya 21: 9
Wanahabudu mpaka inakera yaani [emoji16][emoji16]Enzi za awamu ya 5 kusifia na kuhabudu zinarudi tena kwa kasi
Pole sana,Baberi yuko jera analiwa na papasi muda huu
USSR
Sifa za kinafiki chief Hangaya hapendiUkistaajabu ya Musa utayaona ya firauni, Mbunge wa Viti Maalum CCM, Neema Lugangira amempongeza Rais Samia kwenda Marekani kuhudhuria Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Sasa ndugu zangu wa Uvccm hili jambo nalo la kusifia kweli? Yaani sasa hivi kila jambo mnasifia kweli maisha bila unafki hayaendi! Enzi za JPM nae mlimsifia kwa kutokusafiri Ughaibuni!
Yaani maajabu hayajawahi kuisha huko CCM 😂😂😂
View attachment 1943839
Huyu dada anatafuta uteuzi kwa nguvu zake zote,Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni, Mbunge wa Viti Maalum CCM, Neema Lugangira amempongeza Rais Samia kwenda Marekani kuhudhuria Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Sasa ndugu zangu wa Uvccm hili jambo nalo la kusifia kweli? Yaani sasa hivi kila jambo mnasifia kweli maisha bila unafki hayaendi! Enzi za JPM nae mlimsifia kwa kutokusafiri Ughaibuni!
Yaani maajabu hayajawahi kuisha huko CCM 😂😂😂
View attachment 1943839
Siku hizi anazikubali maana hazikemei,Sifa za kinafiki chief Hangaya hapendi
Mugambo wanaruka na kukanyaganaCCM is somewhat dead. Imekusanya watoto na watu ambao hawajui nchi inataka nini. Unfortunately, CCM inafanya huu utoto utoto wakati ndiyo ilitegemewa kutoa strategic direction ya nchi in few decades to come. Katibu mwenezi ni yale yale. Dan naye naona kama amezidiwa hivi. Hawa wabunge ndiyo kabisaa hawana hata msaada. Mama kabaki mwenyewe akilaumu gazeti la chama kumshambulia!