Mbunge Viti Maalum Neema Lugangira ampongeza Rais Samia kwenda Marekani

Mbunge Viti Maalum Neema Lugangira ampongeza Rais Samia kwenda Marekani

Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni, Mbunge wa Viti Maalum CCM, Neema Lugangira amempongeza Rais Samia kwenda Marekani kuhudhuria Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.

Sasa ndugu zangu wa Uvccm hili jambo nalo la kusifia kweli? Yaani sasa hivi kila jambo mnasifia kweli maisha bila unafki hayaendi! Enzi za JPM nae mlimsifia kwa kutokusafiri Ughaibuni!

Yaani maajabu hayajawahi kuisha huko CCM [emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 1943839
Huyu mama ni kiazi flani mchumia tumbo,kapata ubunge kimagumashi ukimsikie huko bungeni anaongea utumbo tu
 
Nampongeza Ndugu Rais kwa kutoa pesa zake 50bn kwaajili ya NRF kununua mahindi yetu wakulima kwa Tsh 500 kwa kilo.
 
Huu upumbavu ndio unaofanya nchi nyingi za kiafrika zisiendelee na msingi wake ni katiba mbovu.Raisi anarundikiwa madaraka anakuwa mungu mtu,Rais yuko pale kutumikia watu na siyo matakwa yako, hizi kenge zinavyosifiasifia kutetea matumbo hazioni aibu kabisa
 
Eti hawa ndioo watunga sheria zetu, ni vilaza hawana mfanowe, ni walamba miguu hatari, magufuli kachangia kuukuza huu ugonjwa.
 
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni, Mbunge wa Viti Maalum CCM, Neema Lugangira amempongeza Rais Samia kwenda Marekani kuhudhuria Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.

Sasa ndugu zangu wa Uvccm hili jambo nalo la kusifia kweli? Yaani sasa hivi kila jambo mnasifia kweli maisha bila unafki hayaendi! Enzi za JPM nae mlimsifia kwa kutokusafiri Ughaibuni!

Yaani maajabu hayajawahi kuisha huko CCM 😂😂😂

View attachment 1943839
Hata ukijamba watakupongeza
 
Sasa kuna haja gani ya kusifia hapo , sasa c kawaida kwa raisi kuhudhuria hivyo vikao , ajabu ulikua kwa mwenda zake tu
CCM hapo wao wanaona kwenda huko kapanda cheo hivo wanampongeza. Tuwe tunaombea akili zetu wapendwa.
 
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni, Mbunge wa Viti Maalum CCM, Neema Lugangira amempongeza Rais Samia kwenda Marekani kuhudhuria Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.

Sasa ndugu zangu wa Uvccm hili jambo nalo la kusifia kweli? Yaani sasa hivi kila jambo mnasifia kweli maisha bila unafki hayaendi! Enzi za JPM nae mlimsifia kwa kutokusafiri Ughaibuni!

Yaani maajabu hayajawahi kuisha huko CCM 😂😂😂

View attachment 1943839
Muombe Sa100 akuletee nywele bandia akirudi.
 
Aisee na analipwa kwa kodi zetu kupongeza safari za marekani??
 
Viti maalum ndiyo nini? Wanawake wanajitapa kila siku wanaweza/maana yake wanalingana na wanaume, Sasa hivo viti ni vya nini? Kama majimbo yana wenyewe Hawa kazi yao bungeni nini? Nchi haina hela huko juu wanatapanya hata kidogo kilichopo! Aliyeanzisha wazo hili naomba mola amuondoe na familia yake maana kashaiingizia nchi hasara kubwa kwa hayo mawazo mgando. Tangu viti maalum vianze Hadi leo ni trioni ngapi zimepotea? Poor tz.
 
Back
Top Bottom