Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe utatimuliwa ccm siku si nyingiKuna siku Mh.Rais atasifiwa kwa kuwa Mwanamke!
Huyu mama ni kiazi flani mchumia tumbo,kapata ubunge kimagumashi ukimsikie huko bungeni anaongea utumbo tuUkistaajabu ya Musa utayaona ya firauni, Mbunge wa Viti Maalum CCM, Neema Lugangira amempongeza Rais Samia kwenda Marekani kuhudhuria Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Sasa ndugu zangu wa Uvccm hili jambo nalo la kusifia kweli? Yaani sasa hivi kila jambo mnasifia kweli maisha bila unafki hayaendi! Enzi za JPM nae mlimsifia kwa kutokusafiri Ughaibuni!
Yaani maajabu hayajawahi kuisha huko CCM [emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1943839
@Pohamba ,tafadhali wafunze hawa vilaza wa UVCCM namna ya kupiga propaganda.Kuna siku Mh.Rais atasifiwa kwa kuwa Mwanamke!
Hata ukijamba watakupongezaUkistaajabu ya Musa utayaona ya firauni, Mbunge wa Viti Maalum CCM, Neema Lugangira amempongeza Rais Samia kwenda Marekani kuhudhuria Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Sasa ndugu zangu wa Uvccm hili jambo nalo la kusifia kweli? Yaani sasa hivi kila jambo mnasifia kweli maisha bila unafki hayaendi! Enzi za JPM nae mlimsifia kwa kutokusafiri Ughaibuni!
Yaani maajabu hayajawahi kuisha huko CCM 😂😂😂
View attachment 1943839
CCM hapo wao wanaona kwenda huko kapanda cheo hivo wanampongeza. Tuwe tunaombea akili zetu wapendwa.Sasa kuna haja gani ya kusifia hapo , sasa c kawaida kwa raisi kuhudhuria hivyo vikao , ajabu ulikua kwa mwenda zake tu
Nimecheka Sana aiseeeKuna siku Mh.Rais atasifiwa kwa kuwa Mwanamke!
Muombe Sa100 akuletee nywele bandia akirudi.Ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni, Mbunge wa Viti Maalum CCM, Neema Lugangira amempongeza Rais Samia kwenda Marekani kuhudhuria Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Sasa ndugu zangu wa Uvccm hili jambo nalo la kusifia kweli? Yaani sasa hivi kila jambo mnasifia kweli maisha bila unafki hayaendi! Enzi za JPM nae mlimsifia kwa kutokusafiri Ughaibuni!
Yaani maajabu hayajawahi kuisha huko CCM 😂😂😂
View attachment 1943839
😃😃😃😃😃😃😃hivi nchi za wenzetu rais akisafiri anapongezwa