Mbunge Viti Maalum Neema Lugangira ampongeza Rais Samia kwenda Marekani

Akajibu na kusema, Babeli umeanguka, umeanguka; na sanamu zote za miungu yake zimevunjwa chini. —Isaya 21: 9

 

Akajibu na kusema, Babeli umeanguka, umeanguka; na sanamu zote za miungu yake zimevunjwa chini. —Isaya 21: 9

Baberi yuko jera analiwa na papasi muda huu

USSR
 
Baberi yuko jera analiwa na papasi muda huu

USSR
Pole sana,
Wewe ambae usemaye "ccm ndio dini yangu ,magufuri nabii wetu", ndie wa babeli. Enenda ukatubu kwanza macho yako yafumbuliwe.
 
Sifa za kinafiki chief Hangaya hapendi
 
Huyu dada anatafuta uteuzi kwa nguvu zake zote,

Amandla...
 
Mugambo wanaruka na kukanyagana
 
Jamani mbona tuna mambo ya kijinga sana? Tutapongeza hata watu Wakinya mavi
 
Shaka naye kampongeza rais kwa kuwaruhusu Chadema kuingia mahakamani na simu, wonders shall never end.
Yule Shaka kila kitu anasifia, ni dalili tosha kuwa hakutegemea kupata wadhifa alionao
 
Chawa kama hawa huwa wanaishi vichwani. 🤣 🤣 🤣
Humkuti kwenye Boxa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…