Mbunge wa CCM (Tabora) amdhalilisha mkewe hadharani

Mbunge wa CCM (Tabora) amdhalilisha mkewe hadharani

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.

Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.

Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
 
Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.

Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.

Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Ndiyo ÇCM, huyu anauza nchi Kwa waarabu huyu anamtusi mama Mkwe.
Kitila kumbe mhaini , mla rushwa, Kikwete kimya as if haoni ubaya wowote katika mkataba huu.
Mwinyi huyo ananufaika na uuzwaji Tanganyika. Ndiyo CCM
 
Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.

Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.

Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Sijasikia tusi lolote hapo miye
 
Ndiyo ÇCM, huyu anauza nchi Kwa waarabu huyu anamtusi mama Mkwe.
Kitila kumbe mhaini , mla rushwa, Kikwete kimya as if haoni ubaya wowote katika mkataba huu.
Mwinyi huyo ananufaika na uuzwaji Tanganyika. Ndiyo CCM
Hahahahaha
 
Back
Top Bottom