Mbunge wa Geita Mjini anatia mashaka. Anataka kusema Musukuma ni muongo?

Tusiwalaumu sana hawa madiwani waliopitisha, sifa ya kuwa diwani au mbunge ni k mbili tu, kujua kusoma na kuandika. Ni wakati muafaka kwa chama changu pamoja na vyama vingine vidogo vidogo, kulitazama upya hili japo tuongeze wagombea wajue kusoma, kuandika na uwezo wa kufanya tathmini kwa walichoandika na kusoma. Hili lita saidia maamzi kama haya ya kununua gari ml 400 kwa ajili ya Kiongozi yasiwepo.
 
Ni mjumbe wa baraza la madiwani la halmashuri ya Geita.
 
Mbunge wa Geita mjini ni Kanyasu huyo Msukuma anajitia kimbelembele tu. Wala haingii kwenye vikao vya Halmaahauri ya Geita mji. Kwa hiyo Kanyasu asikaumiwe maana yeye ndiyo mwenye Jimbo hilo.
Sio kweli,wote ni wajumbe wa halmashauri ya Geita.
 
Mbunge wa Geita mjini ni Kanyasu huyo Msukuma anajitia kimbelembele tu. Wala haingii kwenye vikao vya Halmaahauri ya Geita mji. Kwa hiyo Kanyasu asikaumiwe maana yeye ndiyo mwenye Jimbo hilo.
Ukiona mambo hayaendi sawa kwa maslahi mapana ya umma,,hupaswi kunyamaza,,ni jukumu la kila mzalendo kufichua uozo
 
Yeye si ni mjumbe kule halmashauri ya wilaya? Kwa maana ya Geita vijijini na siyo halmashauri ya mji ambayo inaundwa na jimbo la Geita mjini!
Geita vijijini sio wilaya ni jimbo la uchaguzi,mpaka sasa halmshauri ni moja tu
 
Wivu upo wapi hapa? Kubwa jinga usie na akili.
Unaweza kuwa wewe - hutaki mbunge aeleze hisia zake dhidi ya DED wake - hutaki kuelewa kuwa DED hakutoa fedha mfukoni na kununua gari isipokuwa vikao vilika na kubariki

RAS alibariki
TAMISEMI ilibariki, kisha
Wizara ya ujenzi ikabariki - sasa hapo wewe unawashwa nini?
 
Geita vijijini sio wilaya ni jimbo la uchaguzi,mpaka sasa halmshauri ni moja tu
Hapana mkuu utakuwa huna taarifa sahihi. Jimbo la Geita vijijini linaunda halmashauri ya wilaya ya Geita na makao makuu yako kwenye kijiji cha Nzera. Majengo yako tayari na Watumishi walishahamia ingawa walikuwa wabishi wabishi! Hivyo Msukuma anasumbuliwa na kukosa fungu la 10! Hiyo ni halmashauri ya Mh. Kanyasu!
 
Kwani kuna mkurugenzi wa Geita vijijini?
 
Mbona huyo Msukuma alisema kuwa budget ya hayo manunuzi ilipitishwa na madiwani ila walipitisha wakiwa kwenye stress za kuelekea uchaguzi mkuu.
 
Wivu upo wapi hapa? Kubwa jinga usie na akili.
Kwenye huu mjadala twendeni tu taratibu mkuu tusitukanane,, mimi niko upande wa DED na Mh. Kanyasu. DED hawezi kujiamulia mambo makubwa hivyo bila baraka za Full council, RAS, PM n.k ila hao wote kwa kumwogopa Magu... hawatafunua makopo yao kumtetea DED. Wamrudishe kazini aisee!
 
Inawezekana taratibu zilifutwa tu Kama mfumo,lakini nyuma ya pazia lilikua chezo,Sasa limegundulika!!
Taratibu za kununua gari ya mkurugenzi yenye thamani ya sh mil 400? Kweli hii nchi ina wenyewe. Bila kujali kama taratibu zilifuatwa au la, lakini kitendo tu cha mkurugenzi anayeongoza halmashauri yenye wakazi mafukara wa nchi ya dunia ya tatu kununua gari la kutembelea tu la sh mil. 400 kinaonyesha huyo mkurugenzi ni fisadi na hafai kuwa kiongozi.
 
Baraza la madiwani ndio linapaswa kumuelekeza mkurugenzi mahitaji ya halmashauri. Kama madawati,zahanati madarasa yanahitajika walipaswa wasipitishe pesa za kununua gari.
Kwa mujibu wa marlezo ya rais alishangaa kwanini wanakimbilia kununua gari wakati hakuna madawati ya kutosha
 
Huna akili wewe fala,wewe ni nani mpaka unipangie nini cha kupost? Kama vikao vilikaa na hao uliowataja kubariki ndio tusijadili kilichotokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…