Mbunge wa Geita Mjini anatia mashaka. Anataka kusema Musukuma ni muongo?

Mbunge wa Geita Mjini anatia mashaka. Anataka kusema Musukuma ni muongo?

Mpaka likamilike bro,sasa tunajadili kilichopo mezani,ndio maana amemlipua mkurugenzi.
Likamilike gani mkuu tayari kule Nzera sasa kuna watumishi? Na DED yupo kabisa! Juzi tu Msukuma mwenyewe kafanya ziara ya kushtukiza maana kama watumishi walikuwa wameweka kamgomo fulani hivi ka kuhamia huko! Msukuma anafanyakazi kwa mihemko na hapo ataanzisha ugomvi na Mh. Kanyasu usiokuwa na mwisho!
 
Kanyasu anatetea ufisadi!
Waziri mkuu alitowa kibali, msipende kuonea watu.

Mkurugenzi wa Temeke amenunua V8 kwa Million 400 pia, hiyo kamati ikitoka Geita iende Temeke.

Mimi nafurahi tu hawa wakurugenzi kutiwa adabu kwa sababu ndio mitambo ya wizi wa kura, wao ndio wanajuwa jinsi walivyoiba uchaguzi muwaache kabla hawajaanza kuwavuwa nguo.
 
Lakini wakati gari linanunuliwa baraza lilikuwa moja?
Hapo uko sawa kabisa mkuu! Ingawa labda tuseme mchakato wakati unapitishwa baraza lilikuwa moja! Lakini Msukuma anajitoa ufahamu tu wakati wanapitisha na yeye alikuwamo!
 
Likamilike gani mkuu tayari kule Nzera sasa kuna watumishi? Na DED yupo kabisa! Juzi tu Msukuma mwenyewe kafanya ziara ya kushtukiza maana kama watumishi walikuwa wameweka kamgomo fulani hivi ka kuhamia huko! Msukuma anafanyakazi kwa mihemko na hapo ataanzisha ugomvi na Mh. Kanyasu usiokuwa na mwisho!
Kwa hiyo baraza la madiwani limezinduliwa? Au wapo kwenye hatua za kuanzisha halmashauri?
 
Waziri mkuu alitowa kibali, msipende kuonea watu.

Mkurugenzi wa Temeke amenunua V8 kwa Million 400 pia, hiyo kamati ikitoka Geita iende Temeke.

Mimi nafurahi tu hawa wakurugenzi kutiwa adabu kwa sababu ndio mitambo ya wizi wa kura, wao ndio wanajuwa jinsi walivyoiba uchaguzi muwaache kabla hawajaanza kuwavuwa nguo.
Yaani wanavyowafukuza muda si mrefu wakaanza kuwaumbua! Hata huyu Msukuma wanaenda kusema sasa hivi kwamba bila sisi Msukuma usingekuwa mbunge maana ulikuwa umeangushwa!
 
Huyo mkurugenzi akapumzike, hamna namna.. sijaona mtu anayeweza kupimana nguvu na joseph kasheku Msukuma.
Mkurugenzi ndiye anayejuwa siri yote ya uratibu wa kuiba kura.

Huyo msukuma amewekwa hapo na mkurugenzi.
 
Fisi wakikosa kitoweo huwa wanakulana wao kwa wao
Maccm yanakulana yenyewe kwa yenyewe
IMG-20191216-WA0001.jpg
 
Mkurugenzi hakujua nguvu ya mbunge..kifupi walikuwa wanamchukulia poa msukuma..msukuma alipomfuata alitakiwa amueleweshe na kama hahusiki na ununuzi alitakiwa aweke documents..kinyume na hapo anamuambia kwanza tunanunua manne tena.
Kimsingi Mkurugenzi ndio mwenye nguvu kama akijitambuwa na kuzitumia nguvu zake.

Wakurugenzi nchi nzima ndio waliosimamia na kuratibu wizi wa kura.

Tatizo la Watanzania wengi ni wanafki na waoga, Membe angekuwa ndio mkurugenzi asingeguswa na mtu, angewaambia tu niguse unuke.
 
Bwashee naona mnaparurana tu
Ni fisadi tu anayeweza kuongea bila uoga kuwa zile sh 400m zilitoka kwenye fedha za ndani hivyo ilikuwa halali kununua gari hilo.

Kanyasu angekuwa China kwa utetezi aliotoa kitanzi kingemuhusu!
 
Ofcoz ni mali ya halmashauri husika,,,,lakini hoja ya msingi ni kwamba matumizi ya fedha nyingi wakati kuna uwezekano wa kununu gari hata la 200 mili.na fedha nyingine ingesaidia masuala mengine ya kijamii,,kama elimu au afya.

Kuhusu halmshauri nyinginezo sina hakika kama wanatumia gari zenye thamani hiyo,,maana wa kwetu huku niliko anatumia hilux double cabin
Cha ajabu hela zilipokuwa zinatumika kununua wapinzani na chaguzi kurudiwa kwa mabilioni ya hela hatukuskia izi kelele zenu

Huu uzalendo wa kinafiki mi ndio ninaoukataa.
 
Yaani wanavyowafukuza muda si mrefu wakaanza kuwaumbua! Hata huyu Msukuma wanaenda kusema sasa hivi kwamba bila sisi Msukuma usingekuwa mbunge maana ulikuwa umeangushwa!
Mkurugenzi wa Temeke amenunuwa V8 kwa Million 400 Meya akaleta mdomo akampa lile gari akaagiza V8 nyingine ya million 400 ndani ya miaka hii mitano ya hiki kishindo cha awamu ya tano, ni unafki mtupu.
 
Taratibu za kununua gari ya mkurugenzi yenye thamani ya sh mil 400? Kweli hii nchi ina wenyewe. Bila kujali kama taratibu zilifuatwa au la, lakini kitendo tu cha mkurugenzi anayeongoza halmashauri yenye wakazi mafukara wa nchi ya dunia ya tatu kununua gari la kutembelea tu la sh mil. 400 kinaonyesha huyo mkurugenzi ni fisadi na hafai kuwa kiongozi.
Mbona chaguzi za maigizo za waunga juhudi zilitumia mabilioni ya shiling, lakini hatukuskia izi kelele za matumizi mabaya ya pesa?

Ifikie kipindi watanzania tuache unafiki, haya yote ni kwa sababu rais kaongelea hili suala. na tunachokiona hapa ni unafikk wa baadhi ya watu kujifanya wana uchungu wa fedha za kodi za watanzania .....cha ajabu wanachagua fedha gani wawe na uchungu nazo!.
 
Huwezi kuwa msafi,mwadilifu,mchapakazi na mcha Mungu halafu ukawa CCM.
Fisi kala fisi.
Mbwa kala mbwa.
 
Kama huu ndiyo utaratibu basi tunatawaliwa na mashetani na siyo binadamu. Mbona kuna magari ya bei rahisi mengi na yenye kufaa kwa hiyo kazi.
Tatizo we huelewi sababu zinazofanya wanunue magari ya mil 400.

Ni hivi!, sababu inayofanya wanunue magari ya bei kubwa ni kwa sababu yanadumu muda mrefu na hayaharibiki ovyo ovyo.

Ni bora kununua gari ya mil 400 itakayodumu kwa miaka 15 kuliko kununua gari ya milioni 70 itakayokuwa inahitaji matengenezo ya mara kwa mara na haiwezi kudumu kwa muda mrefu

Ni sababu za kiuchumi zaidi na sio kwamba walikaa wakakurupuka kwa matakwa yao binafsi, na hizi standard zimewekwa na serikali yenyewe na sio kwamba mkurugenzi kajiamulia tu!.
 
Waziri mkuu alitowa kibali, msipende kuonea watu.

Mkurugenzi wa Temeke amenunua V8 kwa Million 400 pia, hiyo kamati ikitoka Geita iende Temeke.

Mimi nafurahi tu hawa wakurugenzi kutiwa adabu kwa sababu ndio mitambo ya wizi wa kura, wao ndio wanajuwa jinsi walivyoiba uchaguzi muwaache kabla hawajaanza kuwavuwa nguo.
Kwahiyo mkurugenzi ni mzalendo?!
 
Hawa wasukuma Bwana Naona wanashida vichwani mwai.Infact ulimsikiliza yule mkurugenzi inaonekana taratibu zote zilifuatwa Kama mpaka ofisi ya waziri mkuu ilitia nataka then Naona yule mkurugenzi Hana kosa na ninachokiona Hapo kuna hidden agenda.Mgao.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
We jamaa una simu Kama yangu Tecno F1
 
Hawa wasukuma Bwana Naona wanashida vichwani mwai.Infact ulimsikiliza yule mkurugenzi inaonekana taratibu zote zilifuatwa Kama mpaka ofisi ya waziri mkuu ilitia nataka then Naona yule mkurugenzi Hana kosa na ninachokiona Hapo kuna hidden agenda.Mgao.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mkuu kosa si kutokufata utaratibu ama ufisadi katika gharama za kununua gari.

Shida na mtafaruku uliopo ni je gari hilo ni kipaumbele cha kwanza kabla ya mathalani ununuzi wa madawati kwa wanafunzi wanaokaa chini?
 
Back
Top Bottom