Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
🤣🤣🤣🙌Maccm yanakulana yenyewe kwa yenyeweView attachment 1648827
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🙌Maccm yanakulana yenyewe kwa yenyeweView attachment 1648827
Who is telling the truth - Kanyasu and Msukuma? Anyway, there are no wonders. They are birds of the same feather.Nimemsikiliza mbunge wa Geita mjini ndugu Costantine Kanyasu kwa kweli anashangaza sana. Nini kimemfanya akurupuke kuanza kutoa maoni kama haya kabla ya uchunguzi?
Nilimsikiliza waziri Jaffo alipopewa kazi yake ya kwanza kuunda tume kuchunguza ubadhilifu halimashauri ya Geita,alisema pesa mil 400 zilizotumika hazikupitishwa na baraza la madiwani.
Nashangaa nimemsikiliza mbunge wa Geita anaongea na media na kudai kuwa amepitia document hapo halmashauri na amebaini kuwa pesa hizo zilipitishwa na baraza la madiwani,pia anasisitiza Gpsa walitumiwa kununua hilo gari la mil 400,kwa hiyo taratibu zote zilifuatwa maana Gpsa ndie wakala wa manunuzi wa serikali.
Mbali na hayo anasema mkurugenzi aliyesimamishwa ni muadilifu na amekuwa akipambana na ufisadi kwa muda mrefu. Je ina maana Mbunge wa Geita vijijini ni muongo? Anaropoka hovyo na kumdanganya rais,maana huyu ndie aliyemlipua mkurugenzi kuwa alifanya ubadhirifu wa mil 400.
Yes...tell chagu wa malundeSafari hii wabunge wa CCM watatoana macho wenyewe kwa wenyewe, wataishi kama "WAKE WENZA" huko bungeni.
Hebu badili hilo neno katika Paragraph Ya Tatu ulioandika "HALMADHAURI", andika "HALMASHAURI".
Mbona kwenye kampeini za mkulu misafara yake ilikuwa imesheeni magari hayo hayo ya bei mbaya,na hakuna aliyehoji.Tatizo we huelewi sababu zinazofanya wanunue magari ya mil 400.
Ni hivi!, sababu inayofanya wanunue magari ya bei kubwa ni kwa sababu yanadumu muda mrefu na hayaharibiki ovyo ovyo.
Ni bora kununua gari ya mil 400 itakayodumu kwa miaka 15 kuliko kununua gari ya milioni 70 itakayokuwa inahitaji matengenezo ya mara kwa mara na haiwezi kudumu kwa muda mrefu
Ni sababu za kiuchumi zaidi na sio kwamba walikaa wakakurupuka kwa matakwa yao binafsi, na hizi standard zimewekwa na serikali yenyewe na sio kwamba mkurugenzi kajiamulia tu!.
Who is?Yes...tell chagu wa malunde
Ni kawaida yao kudanganya. Wamedanganya hadi uchaguzi wakiwemo na viongozi wa dini. Acha dhambi iwatafune.Inawezekana taratibu zilifutwa tu Kama mfumo,lakini nyuma ya pazia lilikua chezo,Sasa limegundulika!!
Mbunge wa Geta Mjini anajikomba kwa mkuu maana huyo Mkurugenzi alosimamishwa kazi ana uhusiano na mkuuNimemsikiliza mbunge wa Geita mjini ndugu Costantine Kanyasu kwa kweli anashangaza sana. Nini kimemfanya akurupuke kuanza kutoa maoni kama haya kabla ya uchunguzi?
Nilimsikiliza waziri Jaffo alipopewa kazi yake ya kwanza kuunda tume kuchunguza ubadhilifu halimashauri ya Geita,alisema pesa mil 400 zilizotumika hazikupitishwa na baraza la madiwani.
Nashangaa nimemsikiliza mbunge wa Geita anaongea na media na kudai kuwa amepitia document hapo halmashauri na amebaini kuwa pesa hizo zilipitishwa na baraza la madiwani,pia anasisitiza Gpsa walitumiwa kununua hilo gari la mil 400,kwa hiyo taratibu zote zilifuatwa maana Gpsa ndie wakala wa manunuzi wa serikali.
Mbali na hayo anasema mkurugenzi aliyesimamishwa ni muadilifu na amekuwa akipambana na ufisadi kwa muda mrefu. Je ina maana Mbunge wa Geita vijijini ni muongo? Anaropoka hovyo na kumdanganya rais,maana huyu ndie aliyemlipua mkurugenzi kuwa alifanya ubadhirifu wa mil 400.
Jikite kwenye mada boss.Mbunge wa Geta Mjini anajikomba kwa mkuu maana huyo Mkurugenzi alosimamishwa kazi ana uhusiano na mkuu
Una maana gani boss? Yaani unabase upande wa Kanyasu kwa lipi? Ulikuwepo Kahangalala wakati anaombewa msamaha na JPM? Msukuma anakubalika sana tena usiulize,ukifika Nzera yote. Hapa hoja ya msingi ,je Msukuma ni Muongo?Yaani wanavyowafukuza muda si mrefu wakaanza kuwaumbua! Hata huyu Msukuma wanaenda kusema sasa hivi kwamba bila sisi Msukuma usingekuwa mbunge maana ulikuwa umeangushwa!
Unatutia aibu na wewe.anayebarika manunuzi si ni ofisi ya waziri mkuu???Ni fisadi tu anayeweza kuongea bila uoga kuwa zile sh 400m zilitoka kwenye fedha za ndani hivyo ilikuwa halali kununua gari hilo.
Kanyasu angekuwa China kwa utetezi aliotoa kitanzi kingemuhusu!
Geita mji sio Geita district council ambayo mkurugenzi alinunua gari la mil 400.
Kwani kuna mkurugenzi wa Geita vijijini?
Are you sure?Geita mji ndio kuna huo mzozo. Msukuma siyo mbunge wao
Hili swala tunaomba litchunguzwe vizuri kwa sababu kama taratibu zote zilifuatwa za kununua hiyo gari basi mkurugenzi huyo asionewe na kama ni mtendaji mzuri apate haki yake.Mh. Msukuma ni muongeaji mwenye maneno mengi na matam na kwa mara ya kwanza kumsikiliza unaweza ukamuamini.Nimemsikiliza mbunge wa Geita mjini ndugu Costantine Kanyasu kwa kweli anashangaza sana. Nini kimemfanya akurupuke kuanza kutoa maoni kama haya kabla ya uchunguzi?
Nilimsikiliza waziri Jaffo alipopewa kazi yake ya kwanza kuunda tume kuchunguza ubadhilifu halimashauri ya Geita,alisema pesa mil 400 zilizotumika hazikupitishwa na baraza la madiwani.
Nashangaa nimemsikiliza mbunge wa Geita anaongea na media na kudai kuwa amepitia document hapo halmashauri na amebaini kuwa pesa hizo zilipitishwa na baraza la madiwani,pia anasisitiza Gpsa walitumiwa kununua hilo gari la mil 400,kwa hiyo taratibu zote zilifuatwa maana Gpsa ndie wakala wa manunuzi wa serikali.
Mbali na hayo anasema mkurugenzi aliyesimamishwa ni muadilifu na amekuwa akipambana na ufisadi kwa muda mrefu. Je ina maana Mbunge wa Geita vijijini ni muongo? Anaropoka hovyo na kumdanganya rais,maana huyu ndie aliyemlipua mkurugenzi kuwa alifanya ubadhirifu wa mil 400.
Kwahiyo Kanyasu na Msukuma ni madiwani wa mabaraza tofauti?
Kamanda mkuu wa Cdm,hawa wote ni ni madiwani wa Geita district council.
Hapana tunazungumzia mambo yenye ushahidi,,hili la wabunge kununuliwa mimi sina hakika,,labda utuletee uthibitishoCha ajabu hela zilipokuwa zinatumika kununua wapinzani na chaguzi kurudiwa kwa mabilioni ya hela hatukuskia izi kelele zenu
Huu uzalendo wa kinafiki mi ndio ninaoukataa.
Halmashauri ya Geita? Imeanza kazi lini? Mimi najua kuna mchakato wa kuanzisha halmashauri ya Nzera.Hapana Kanyasu ni diwani wa halmashauri ya Geita mji wakati Msukuma ni diwani wa Halmashauri ya Geita yenye makao makuu yake Nzera.
Uchaguzi huwa unarudiwa kwa mujibu wa sheria,je bajeti ya kurudia uchaguzi mdogo huwa ni sh ngapi? Je huwa zinachachuliwa?Cha ajabu hela zilipokuwa zinatumika kununua wapinzani na chaguzi kurudiwa kwa mabilioni ya hela hatukuskia izi kelele zenu
Huu uzalendo wa kinafiki mi ndio ninaoukataa.
Kama kweli PM aliidhinisha ununuzi wa gari hili,alisahau nini kuwa gharama yake ni kubwa kuliko inavyotakiwa kwa gari la mkurugenzi? Is this one type of SACRIFICIAL PROTECTION?Huyo mbunge ajichunge saana, hata kama walifuata utaratibu halali, je kuna meantiki gani mkurugenzi kutaka kutumia gari la ghalama kwa kiwango cha waziri wakati halimashauli yake shida hazijaisha?
Huyo niniiongozi anayejijari zaidi ya wananchi,
Je alikosa gari la milioni 150 mpaka anunue la 400? Na ni wakurugenzi wangapi wana magari hayo? Kanyansu ajichunge pia isijekuwa nae ana hisa humo kwenye milioni 400