Mbunge wa Geita Mjini anatia mashaka. Anataka kusema Musukuma ni muongo?

Mbunge wa Geita Mjini anatia mashaka. Anataka kusema Musukuma ni muongo?

Nimemsikiliza mbunge wa Geita mjini ndugu Costantine Kanyasu kwa kweli anashangaza sana. Nini kimemfanya akurupuke kuanza kutoa maoni kama haya kabla ya uchunguzi?

Nilimsikiliza waziri Jaffo alipopewa kazi yake ya kwanza kuunda tume kuchunguza ubadhilifu halimashauri ya Geita,alisema pesa mil 400 zilizotumika hazikupitishwa na baraza la madiwani.

Nashangaa nimemsikiliza mbunge wa Geita anaongea na media na kudai kuwa amepitia document hapo halmashauri na amebaini kuwa pesa hizo zilipitishwa na baraza la madiwani,pia anasisitiza Gpsa walitumiwa kununua hilo gari la mil 400,kwa hiyo taratibu zote zilifuatwa maana Gpsa ndie wakala wa manunuzi wa serikali.

Mbali na hayo anasema mkurugenzi aliyesimamishwa ni muadilifu na amekuwa akipambana na ufisadi kwa muda mrefu. Je ina maana Mbunge wa Geita vijijini ni muongo? Anaropoka hovyo na kumdanganya rais,maana huyu ndie aliyemlipua mkurugenzi kuwa alifanya ubadhirifu wa mil 400.
Who is telling the truth - Kanyasu and Msukuma? Anyway, there are no wonders. They are birds of the same feather.
 
Tatizo we huelewi sababu zinazofanya wanunue magari ya mil 400.

Ni hivi!, sababu inayofanya wanunue magari ya bei kubwa ni kwa sababu yanadumu muda mrefu na hayaharibiki ovyo ovyo.

Ni bora kununua gari ya mil 400 itakayodumu kwa miaka 15 kuliko kununua gari ya milioni 70 itakayokuwa inahitaji matengenezo ya mara kwa mara na haiwezi kudumu kwa muda mrefu

Ni sababu za kiuchumi zaidi na sio kwamba walikaa wakakurupuka kwa matakwa yao binafsi, na hizi standard zimewekwa na serikali yenyewe na sio kwamba mkurugenzi kajiamulia tu!.
Mbona kwenye kampeini za mkulu misafara yake ilikuwa imesheeni magari hayo hayo ya bei mbaya,na hakuna aliyehoji.
Au Geita ndiyo halmashauri pekee yenye gari la aina hiyo nchini?.
Acheni kumtoa kafara mkurugenzi wa watu.
 
Inawezekana taratibu zilifutwa tu Kama mfumo,lakini nyuma ya pazia lilikua chezo,Sasa limegundulika!!
Ni kawaida yao kudanganya. Wamedanganya hadi uchaguzi wakiwemo na viongozi wa dini. Acha dhambi iwatafune.
 
Nimemsikiliza mbunge wa Geita mjini ndugu Costantine Kanyasu kwa kweli anashangaza sana. Nini kimemfanya akurupuke kuanza kutoa maoni kama haya kabla ya uchunguzi?

Nilimsikiliza waziri Jaffo alipopewa kazi yake ya kwanza kuunda tume kuchunguza ubadhilifu halimashauri ya Geita,alisema pesa mil 400 zilizotumika hazikupitishwa na baraza la madiwani.

Nashangaa nimemsikiliza mbunge wa Geita anaongea na media na kudai kuwa amepitia document hapo halmashauri na amebaini kuwa pesa hizo zilipitishwa na baraza la madiwani,pia anasisitiza Gpsa walitumiwa kununua hilo gari la mil 400,kwa hiyo taratibu zote zilifuatwa maana Gpsa ndie wakala wa manunuzi wa serikali.

Mbali na hayo anasema mkurugenzi aliyesimamishwa ni muadilifu na amekuwa akipambana na ufisadi kwa muda mrefu. Je ina maana Mbunge wa Geita vijijini ni muongo? Anaropoka hovyo na kumdanganya rais,maana huyu ndie aliyemlipua mkurugenzi kuwa alifanya ubadhirifu wa mil 400.
Mbunge wa Geta Mjini anajikomba kwa mkuu maana huyo Mkurugenzi alosimamishwa kazi ana uhusiano na mkuu
 
Yaani wanavyowafukuza muda si mrefu wakaanza kuwaumbua! Hata huyu Msukuma wanaenda kusema sasa hivi kwamba bila sisi Msukuma usingekuwa mbunge maana ulikuwa umeangushwa!
Una maana gani boss? Yaani unabase upande wa Kanyasu kwa lipi? Ulikuwepo Kahangalala wakati anaombewa msamaha na JPM? Msukuma anakubalika sana tena usiulize,ukifika Nzera yote. Hapa hoja ya msingi ,je Msukuma ni Muongo?
 
Ni fisadi tu anayeweza kuongea bila uoga kuwa zile sh 400m zilitoka kwenye fedha za ndani hivyo ilikuwa halali kununua gari hilo.

Kanyasu angekuwa China kwa utetezi aliotoa kitanzi kingemuhusu!
Unatutia aibu na wewe.anayebarika manunuzi si ni ofisi ya waziri mkuu???
 
Nimemsikiliza mbunge wa Geita mjini ndugu Costantine Kanyasu kwa kweli anashangaza sana. Nini kimemfanya akurupuke kuanza kutoa maoni kama haya kabla ya uchunguzi?

Nilimsikiliza waziri Jaffo alipopewa kazi yake ya kwanza kuunda tume kuchunguza ubadhilifu halimashauri ya Geita,alisema pesa mil 400 zilizotumika hazikupitishwa na baraza la madiwani.

Nashangaa nimemsikiliza mbunge wa Geita anaongea na media na kudai kuwa amepitia document hapo halmashauri na amebaini kuwa pesa hizo zilipitishwa na baraza la madiwani,pia anasisitiza Gpsa walitumiwa kununua hilo gari la mil 400,kwa hiyo taratibu zote zilifuatwa maana Gpsa ndie wakala wa manunuzi wa serikali.

Mbali na hayo anasema mkurugenzi aliyesimamishwa ni muadilifu na amekuwa akipambana na ufisadi kwa muda mrefu. Je ina maana Mbunge wa Geita vijijini ni muongo? Anaropoka hovyo na kumdanganya rais,maana huyu ndie aliyemlipua mkurugenzi kuwa alifanya ubadhirifu wa mil 400.
Hili swala tunaomba litchunguzwe vizuri kwa sababu kama taratibu zote zilifuatwa za kununua hiyo gari basi mkurugenzi huyo asionewe na kama ni mtendaji mzuri apate haki yake.Mh. Msukuma ni muongeaji mwenye maneno mengi na matam na kwa mara ya kwanza kumsikiliza unaweza ukamuamini.
Nilimsikiliza kidodo Mkurugenzi anayetajwa na kwa maelezo yake nadhani panatakiwa uchunguzi wa kina ili ukweli upatikane.
Labda swala liwe ni kwa nini ataembelee gari la gharama kiasi hicho ambalo hata viongozi waliopo juu yake hawana.
 
Cha ajabu hela zilipokuwa zinatumika kununua wapinzani na chaguzi kurudiwa kwa mabilioni ya hela hatukuskia izi kelele zenu

Huu uzalendo wa kinafiki mi ndio ninaoukataa.
Hapana tunazungumzia mambo yenye ushahidi,,hili la wabunge kununuliwa mimi sina hakika,,labda utuletee uthibitisho
 
Hapana Kanyasu ni diwani wa halmashauri ya Geita mji wakati Msukuma ni diwani wa Halmashauri ya Geita yenye makao makuu yake Nzera.
Halmashauri ya Geita? Imeanza kazi lini? Mimi najua kuna mchakato wa kuanzisha halmashauri ya Nzera.
 
Cha ajabu hela zilipokuwa zinatumika kununua wapinzani na chaguzi kurudiwa kwa mabilioni ya hela hatukuskia izi kelele zenu

Huu uzalendo wa kinafiki mi ndio ninaoukataa.
Uchaguzi huwa unarudiwa kwa mujibu wa sheria,je bajeti ya kurudia uchaguzi mdogo huwa ni sh ngapi? Je huwa zinachachuliwa?
 
Huyo mbunge ajichunge saana, hata kama walifuata utaratibu halali, je kuna meantiki gani mkurugenzi kutaka kutumia gari la ghalama kwa kiwango cha waziri wakati halimashauli yake shida hazijaisha?
Huyo niniiongozi anayejijari zaidi ya wananchi,
Je alikosa gari la milioni 150 mpaka anunue la 400? Na ni wakurugenzi wangapi wana magari hayo? Kanyansu ajichunge pia isijekuwa nae ana hisa humo kwenye milioni 400
Kama kweli PM aliidhinisha ununuzi wa gari hili,alisahau nini kuwa gharama yake ni kubwa kuliko inavyotakiwa kwa gari la mkurugenzi? Is this one type of SACRIFICIAL PROTECTION?
 
Back
Top Bottom