Elections 2015 Mbunge wa Jimbo la Monduli, Julius Kalanga (CHADEMA), ajiuzulu na kuhamia CCM

Maajabu haya utayakuta Tz tu!!
 
Huko nape kila siku anaisema serekali na bado haitwi msaliti kikubwa chadema wanatakiwa watafute chanzo cha tatizo

Chanzo cha Tatizo ni Mikakati ya CCM Kutawala Milele ,hizo sababu nyingine hazipo ni kisingizio tu.
 
Wala c kweli ni kununuliwa na kurudishwa bungeni kwa nguvu lkn iko siku watajua nn maana yake ni sawa na mtu akiua nafsi yake humsuta mpaka mauti na wala hao c wapinzani bali wapinzani ni wale wapga Kula ila kwakuwa wameahdiwa iwe isiwe watarudishwa bungeni iwe kwa vyovyote vile lkn iko siku watajua nn maana yake.
 
Kama hawa bora wandetu maana hata bungeni sikuwai kumsikia
Siku wakihama hawa
(1) mboe
(2)Lisu
(3) heche
(4) msigwa
(5)Sugu
(6)selasini
(7)Lema
(8) mdee
(9)Silinde
(10)Nasari
Kati yahawa akihama mmoja wao hata mm nitahama .
 
Chadema ifanye kama mbeya, taarifa zikivuja tu jamaa anataka kuhama unafukuza mapema ili asipate umaarufu wa kisiasa. Huku kumwacha mtu hadi anaita waandishi wa habari ni kumpa mtu kiki. Labda kama wanafanya kusudi
Hakuna sababu ya kushindana na wajinga hawaondoki chadema bahati mbaya.huu ni mchezo mchafu wa ccm.
 
Sijui nani katuloga kwa kweli. Huu ni aina mpya ya ufisadi au upotezaji pesa za wananchi.
Sure my Brother.
By the way i am so happy to see you here again, uliadimika sana kaka.
 
Kweli hii ni Karne ya 21 miongoni mwa makabila yenye watu walio na misimamo isiyo yumba ni wamasai na wakulyaa lakini kinacho tokea kina waondolea heshima yao ya miaka mingi
Wamasai unawajua? Wanafiki kama wabena
 
Usije ukamuamini mwanasiasa hata siku moja yani hata kama akikwambia usiku mwema we toka nje kahakikishe kama kweli kuna giza
 
*BREAKING NEWS.*

Tarehe 30 Julai 2018

*CCM IMEFAGIA UPINZANI KWA LOWASSA*

Bwana Julius Kalanga Laizer Mbunge wa Jimbo la Monduli kupitia Chadema, leo amejivua uanachama wa Chadema, amejiuzulu nafasi yake ya Ubunge na vyeo vyake vyote ndani ya Chadema na Kujiunga na CCM.

Bwana Julius Kalanga Laizer amepokelewa na Kamaradi Humphrey Polepole Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi.

Imetolewa na,

*IDARA YA ITIKADI NA UENEZI*
CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM
 
Ndio sababu najiuliza mkuu,inawezekana kuna kitu wamefanyiwa,kuna nguvu nyuma ya kuhama kwao.

Ulishawahi kuona mtu anaambiwa fanya jambo fulani,kama hutaki nakuharibia.

Sio akili ya kawaida hii.

Ni kitu gani hicho Mkuu na ni kwa nini wawe na Uoga namna hiyo ?..Au hawakuwa wasafi wanaogopa kuharibiwa Biashara zao ?
 
Yanayoendelea sasa HV bongo,nayafananisha na matukio katika filamu ya COLONY,ambapo kuna viumbe viliivamia dunia(USA),vikaweka utawala wao,wale ambao walishirikiana navyo kutawala,wakawa salama,waliopingana navyo wakakiona cha mtema kuni,kupotezwa/kupelekwa kwenye forced labour,nk,
Sasa HV bongo ni kama vile imeingiliwa na roho Fulani,ukienda kinyume,unatwangwa,(Tundu lissu,Saanane,Mwandishi wa Mwananchi),na ukikubaliana nao,mambo yako yanakunyookea,mfano wabunge wanaojiuzuru na kujiunga CCM,
 
Tatizo sababu wanazozitoa kwa kuhama kwao huwa hazina mashiko yoyote yale na badala yake zinawavua nguo na kuonesha ni kwa vipi hawawezi kutumia baraka waliyopewa na Mwenyezi Mungu za kuwa binadamu badala ya Ng'ombe!!
.....wakirudi huku wanaitwa ng'ombe waliokatwa mkia ! Isikuumize kichwa saana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…