Elections 2015 Mbunge wa Jimbo la Monduli, Julius Kalanga (CHADEMA), ajiuzulu na kuhamia CCM

Human beings by nature are selfish or egoistic and if left free to pursue their will they can use all resources at their disposal to satisfy their egoistic tendencies to the point that the world can be become the most unpleasant place to live. Let it be a special duty for all of us to dissolve our animal nature and transmute it into divine nature- the ultimate goal of creation.
 
Sijawahi kumsikia hata mara moja popote, let him go!
 
Good news kwa CCM
Bad News kwa Chadema
 
Sidhani kama kuna usahihi maana yule mlezi wake ni Lowassa. Hawezi kuhama hivi hivi maana Lowassa ataonekana ameshindwa kisiasa.

Yaani hiyo ndio itakuwa pigilia msumari kabisa kwa uhai wa kisiasa wa Mzee Lowassa. Yaani amekufa kisiasa; maanake hakuna lolote analoonekana kulifanya aonekane bado yungali hai kisiasa. Hakuna lolote alilofanya kuleta ushawishi ndani ya chama au kwake binafsi aonekane yungali hai. Pole yake.
 
Wamewatenga Lowasa na Sumaye kwenye maandalizi ya mapokezi ya Lissu, wafuasi wao ndani ya chama wameona isiwe nongwa.
 
CCM kwisha kazi na bado mtanunua sana tu. Watanzania tumeshawachoka.
 
Pumba. Unataka kutuambia ******** ndio menye akili kuliko wote hapo ccm? Acheni upumbavu nyie majitu ya ccm
 
Maendeleo hayana Chama,hii kauli ya Mheshimiwa naona ipo kisiasa.
 
Tumeshindwa kupata Ushahidi wa zilipo elekea 1.5 Trillion ,wenye Mamlaka na Pesa wanaamua tu sasa kutu geuza geuza kama Samaki.
 
HAPO NDIPO UNAPOONA MASLAHI BINAFSI YANAHUSIKA
 
VYAMA VINGEWEKEZA KWA WANANCHI.. WABUNGE HAWAZIDI 400...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…