chikanu chikali
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 1,146
- 1,832
Hata wakat Wa mkoloni hayo yalifanyika ya baadhi ya waafrika kusaliti umma na kumuunga mkoloni sishangai hata wabunge wote wakihama poa tu but tunahitaji Tanzania mpya yenye kuheshimu misingi ya kisheria