Najua Nape Nnauye, Mwigulu Nchemba, @Kigwangwala na Tibaijuka ni member hapa JF, kwa nini hawawaambi wabunge wao wanaonekanaje na jamii au hata kuwaonyesha wanavyojadiliwa?
Au na wao ndio walewale?
Sasa si mlikua mnapropose mh asipoongea kitu mjengoni akatwe posho!Dah kweli ndiyo maana Kagera ni moja ya mikoa masikini kabisa Tanzania. Mkoa umetoka kuwa wenye kuzalisha wasomi wa hali juu mpaka kuwa mkoa wa kuzalisha wajinga na masikini. Haishangazi ndiyo maana wamemchagua huyu kuwa mbunge wao. Wazee wao watakuwa wanashtuka ndani ya makaburi yao wakisikia ujinga aliozungumza huyu mbunge
Atapigiwa tu kwani wakati wa kumpigia salute wataanza kupima IQ yake?Sasa si mlikua mnapropose mh asipoongea kitu mjengoni akatwe posho!
Ndo washaanza kufuka moshi sasa. Eti ndo uyo anataka apigiwe saluti!
Alafu eti wapigiwe salutiNNi balaa mkuu........sijui mtu kama huyo familia yake inajisikiaje wanapomsikia mzazi anaongea kama hivyo?
Mbowe alisema hata maraika akija Ccm ndani ya siku 1 anageuka shetaniCha kushangaza zaidi aliyejibu ni zaidi ya muuliza swali kwa upoyoyo na zaidi wabunge wengine walipiga meza wa wa wa wa wa! Kweli ukiwa ccm hata kama ni professor Huna tofauti na mtoto wa vidudu!
Mungu sio mwizi was kura Na Zanzibar pia Mungu alihusika? Kwa hiyo tukiomba ulinzi juu ya nyumba zetu, Likaja jambazi likavunja kwa kuwa tuliomba tutaamini kuwa jambazi lililetwa na Mungu? Watu wasiomaarifa wanadhani kila Rais analetwa na Mungu. Sio kweli.Mlaumu na mangu pia alichangia
Aongee nini wakati huo ndio upeo wa ufahamu wake?Hii kali sasa yaani mp wa ccm hana kingine cha kuongea?
Umefanya vema kabisa kuwatenganisha wana kagera na huyo mbunge hasiye jitambuaHapana mkubwa,wapo Wanakagera wengi sana wanaojitambua,kuwaweka wote kwenye kapu moja kwa sababu ya "uhalo" wa mtu mmoja ni kuwakosea heshima Wanakagera makini.
Jambo la msingi ambalo tunaweza kujifunza kupitia hoja mfu za wanaCCM ni namna wanavyojionesha jinsi walivyo watupu kifikra.Huwa nasema mara kadhaa,hivi hao viongozi wa ccm wanajisikiaje kama nafasi walizonazo wamezipata baada ya kuchaguliwa na watu wasiojitambua?Hivi zile kura milioni 8 alizopata mheshimiwa ndiyo alizipata toka kwa watu wa aina hiyo?Kama ndivyo,basi sina sababu ya kuhoji nchi inavyoendeshwa,ngoja tuburuzwe tu Maana hakuna namna.
Tunapofikia hatua ya kupokea kofia,kanga t-shirts,chumvi na viberiti,kisha tukakubali kusombwa kwa maroli na mikokoteni ya punda kwenda mikutanoni,halafu tukashangilia push-ups na ahadi za kuleta Kilimo cha umwagiliaji wa ubuyu,unatarajia nini toka kwa watu wa aina hiyo?
Jamii iliyoparaganyika kifikra haiwezi kuwa serious kwenye mambo ya msingi.Tutaishia kuwa nashabiki wa upuuzi na kuishia kutumiwa kama wanasesere.Wako wapi wanaCCM makini,je kati ya hao milioni 8, waliyoichagua CCM,hakuna Mwenye uthubutu wa kukemea futuhi hizi zinazokidharirisha chama,au wote ni mapoyoyo na wanakubaliana na huu utumbo unaoendelea huko mjengoni?
Sasa tumefahamu kwa nini ilikuwa ni lazima bunge lisionekane live,Kidumu CHAMA CHA MWENDOKASI(CCM).
Waambie kamandaMungu sio mwizi was kura Na Zanzibar pia Mungu alihusika? Kwa hiyo tukiomba ulinzi juu ya nyumba zetu, Likaja jambazi likavunja kwa kuwa tuliomba tutaamini kuwa jambazi lililetwa na Mungu? Watu wasiomaarifa wanadhani kila Rais analetwa na Mungu. Sio kweli.