Mbunge wa Karagwe aomba Rais Magufuli alipopigia push up ujengwe uwanja wa kumbukumbu!

Mbunge wa Karagwe aomba Rais Magufuli alipopigia push up ujengwe uwanja wa kumbukumbu!

kunawatu yafaa kuongoza mbuzi malishoni na wengine kuongoza watu kufikia maendeleo endelevu...lets not mix when choosing...
 
Bora nife kuliko kuwa mshabiki na mwanachama wa ccm.Kama huyo ndiye mwakilishi wa wananchi,hali ikoje kwa wanachama na wafuasi wa hicho "CHAMA CHA MWENDOKASI"(CCM)?

Badala ya kujenga mnara/uwanja ambao watakuwa wakiuona watu wa huko ulipojengwa,nafikiri waweke hizo picha katika noti(fedha)zetu ili kila mmojawetu azione,katika moja ya noti hizo wasisahau kuandika nukuu ya mh.kuwa Saddam Hussein ni Rais wa Kuwait.

Hapa ndipo ccm walipotufikisha,watu wanaongea upuuzi hadi kwenye mihimili ya dola,huu ni ujinga wa kiwango cha PhD na katika dunia hii unapatikana hapa Tanzania pekee.
 
Huyu mbunge kaamka asubuhi akanya, akapiga mswaki, akaoga, akavaa kisha akaiaga familia kuwa anaenda bungeni na mbaya zaidi akawaambia kuwa anaenda kuchangia bajeti hivyo WAMUOMBEE!
 
Najua Nape Nnauye, Mwigulu Nchemba, @Kigwangwala na Tibaijuka ni member hapa JF, kwa nini hawawaambi wabunge wao wanaonekanaje na jamii au hata kuwaonyesha wanavyojadiliwa?
Au na wao ndio walewale?

Mkongwe, Tibaijuka bado yuko hapa JF kweli? Aliingia kwa mbwembwe sana na baadhi ya watu wakamuonya lakini alionekana kuwa determined kulumbana kwa hoja katika jukwaa hili. Alivyokuja kutoweka hakuaga. Kwa kweli kama bado yupo, amekuwa kimya muda mrefu sana. Pendekezo: Uongozi wa JF upeleke ombi maalum kwake kumuomba aje kusalimu members hapa. Natuamaini nawasemea wengi hapa nikisema tumem-miss.
 
Ajabu sana pus-up na uwanja wa kumbukumbu. bora angekuwa amepiga danadana. hapa kazi tu ingetafsiriwa na mambo kama kushika jembe au hata kuendesha trekta. Nonsense!
 
Najua Nape Nnauye, Mwigulu Nchemba, @Kigwangwala na Tibaijuka ni member hapa JF, kwa nini hawawaambi wabunge wao wanaonekanaje na jamii au hata kuwaonyesha wanavyojadiliwa?
Au na wao ndio walewale?
Nape alionyesha upendo kwa hoja hii, naye akapigilia msumari wake hapo, kuwa LOWASSA hakuweza kupiga pushup.
Hatuwezi kuitegemea CCM itufikishe mahala fulani kimaendeleo, Tunaamini bila CCM kuondoka suala la Maendeleo halipo!
 
CCM Mataahira wengi I see, Luna yule Dada aliyetamani kulia , kuna Lusinde, kuna aliyetaka Sanamu ya sijui nani yule mwamziki, badala ya Askari Luna huyu anayetaka makumbusho ya kubong,oa maana niliziona hazikuwa hata push up. Yaani naona aibu utadhani inanihusu vile.

Kuna yule aliyesema tulia ni kama yesu
 
Watu wa bugene chonyonyo kayanga bushangaro omurushaka ihembe na vijj jiran tumelamba garasa kwa hili
 
Kumbukumbu na iwekwe sababu kitendo kile ni kuonyesha morali aliyonayo katka kuwashughulikia waliokuwa na nia ya kulizamisha Taifa hili. Hongera Mh. Rais
 
Nimesikiliza hii clip mpaka nikaona aibu.
Hivi hii nchi imelaaniwa au ndiyo imefika mwisho?
Mbunge feki, waziri feki Rais nae ndiyo huyo sasa tunakwenda wapi?
 
Wewe unafikiri kwanini hawataki bunge liwe live, mpaka wengine wanatamani kulia. Ila kuna kambunge Fulani kabinti kadogo sana nafikiri ni mtoto was Bakari bulembo, Mimi sins Unafiki mtoto yule kwa kujieleza mzima sana!
 
Safi sana huo uwanja lazma ujengwe, sasa nyie si mulikua mnazungusha mikono na viuno
Nina wasi wasi hujatoroka mirembe kweli? Km hujatoroka una kila dalili za kupelekwa mirembe kwa ndindindi!!!
 
WASISAHAU NA SANAMU AKIWA ANARUKA KUTOKA DIRISHA LA GARI KAMA JOHN CENA
 
Wapiga kura wa Karagwe wamepata hasara kubwa kuwa na mbunge kama huyo
WanaBushangaro Karagwe kumbe tulichagua mtambo wa nguvu!!!. Ameona hilo ndo wazo badala ya kuongelea barabara mbovu, njaa Kali, wananchi kuchangishwa madawati kwa nguvu n.k. Haya tutafika tuuuu!!!!!
 
Huu ni ujinga ambao hauna maelezo. Mwishowe hawa watadai hata vyoo ambavyo walikuwa wakiingia wagombea vijengewe kumbukumbu.
 
Back
Top Bottom