We ni kiraka hujitambui hata kidogoKuna mahali nimelazimisha mtu kujikinga.? acha Kuharisha kwa kupitia mdomoni.
Pumbavu zakeWakatia akichangia hoja Bungeni, leo tarehe 10 Februari, 2021, Mbunge huyo wa Jimbo la Kawe amesema:
"Kuna ugonjwa wa Covid-19 ambao umetikisa dunia na nchi yetu imechukua msimamo tofauti na nchi nyingine zozote.
Waheshimiwa Wabunge, natumia nafasi hii kuwatia moyo. Msiogope. Msiogope mnapoambiwa kwamba kuna phase ya pili ya Covid-19. Kilicho na nguvu nyuma ya Covid-19 ni woga uliotengenezwa juu ya Covid-19. The fear of Covid-19 is even [more] powerful than Covid-19 itself (Woga wa Covid-19 una nguvu zaidi ya ugonjwa wenyewe)
Watanzania wote na watu wote, tushinde woga. Tusiogope, tumeshinda na tusonge mbele. Na msimamo wetu wa kutokuchanjwa na msimamo wetu wa kutokufanya social distancing ni msimamo sahihi na utatufikisha mahala sahihi."
Hivi mtu kama huyu anaweza akawa ana akili timamu?
Sawa Nyundo, endelea kushikwaWe ni kiraka hujitambui hata kidogo
π€£π€£π€£π€£π€£Halafu bhana huu ugonjwa ulivyo ukiuponda tuu unaanza na wewe ulieuponda hivyo msishangae ukapita nae
Dua la kuku hilo mzee alimpati mwewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna watu wanampatia na sadakaWakatia akichangia hoja Bungeni, leo tarehe 10 Februari, 2021, Mbunge huyo wa Jimbo la Kawe amesema:
"Kuna ugonjwa wa Covid-19 ambao umetikisa dunia na nchi yetu imechukua msimamo tofauti na nchi nyingine zozote.
Waheshimiwa Wabunge, natumia nafasi hii kuwatia moyo. Msiogope. Msiogope mnapoambiwa kwamba kuna phase ya pili ya Covid-19. Kilicho na nguvu nyuma ya Covid-19 ni woga uliotengenezwa juu ya Covid-19. The fear of Covid-19 is even [more] powerful than Covid-19 itself (Woga wa Covid-19 una nguvu zaidi ya ugonjwa wenyewe)
Watanzania wote na watu wote, tushinde woga. Tusiogope, tumeshinda na tusonge mbele. Na msimamo wetu wa kutokuchanjwa na msimamo wetu wa kutokufanya social distancing ni msimamo sahihi na utatufikisha mahala sahihi."
Hivi mtu kama huyu anaweza akawa ana akili timamu?
PhD uyoHuyu ni brainless na kisomoless kabisa! Yaani mawakala wa kifo wanajitanabaisha waziwazi na huenda ameshawanyonya waumini wake vya kutosha na hahitaji zaka na sadaka zao Tena!
Yaani anajiita askofu huku akishindana na sayansi ambayo haijawahi kutoa majibu yasiyo sahihi! Ngoja nimuombee kwa Mungu wa kweli na haki ninayemuamini ili amchape nao kidogo some ulivyo mtamu na ikibidi aondoke nao! Tenda muujiza Mungu mtakatifu!
Wakatia akichangia hoja Bungeni, leo tarehe 10 Februari, 2021, Mbunge huyo wa Jimbo la Kawe amesema:
"Kuna ugonjwa wa Covid-19 ambao umetikisa dunia na nchi yetu imechukua msimamo tofauti na nchi nyingine zozote.
Waheshimiwa Wabunge, natumia nafasi hii kuwatia moyo. Msiogope. Msiogope mnapoambiwa kwamba kuna phase ya pili ya Covid-19. Kilicho na nguvu nyuma ya Covid-19 ni woga uliotengenezwa juu ya Covid-19. The fear of Covid-19 is even [more] powerful than Covid-19 itself (Woga wa Covid-19 una nguvu zaidi ya ugonjwa wenyewe)
Watanzania wote na watu wote, tushinde woga. Tusiogope, tumeshinda na tusonge mbele. Na msimamo wetu wa kutokuchanjwa na msimamo wetu wa kutokufanya social distancing ni msimamo sahihi na utatufikisha mahala sahihi."
Hivi mtu kama huyu anaweza akawa ana akili timamu?
Bora nisiwe na dini kuliko kuhudhuria ibada ya Huyo mw,ehu,Kuna watu wanampatia na sadaka
Ndo faida ya kupitisha wabunge bila kupingwa.Tunaishukuru NeK kwa kuchakachua kura halali za wananchiWakatia akichangia hoja Bungeni, leo tarehe 10 Februari, 2021, Mbunge huyo wa Jimbo la Kawe amesema:
"Kuna ugonjwa wa Covid-19 ambao umetikisa dunia na nchi yetu imechukua msimamo tofauti na nchi nyingine zozote.
Waheshimiwa Wabunge, natumia nafasi hii kuwatia moyo. Msiogope. Msiogope mnapoambiwa kwamba kuna phase ya pili ya Covid-19. Kilicho na nguvu nyuma ya Covid-19 ni woga uliotengenezwa juu ya Covid-19. The fear of Covid-19 is even [more] powerful than Covid-19 itself (Woga wa Covid-19 una nguvu zaidi ya ugonjwa wenyewe)
Watanzania wote na watu wote, tushinde woga. Tusiogope, tumeshinda na tusonge mbele. Na msimamo wetu wa kutokuchanjwa na msimamo wetu wa kutokufanya social distancing ni msimamo sahihi na utatufikisha mahala sahihi."
Hivi mtu kama huyu anaweza akawa ana akili timamu?
Huyu si ndiye anafufua watu?Akawaambie waumini wa Kanisa lake!
Hiyo PhD yake kazawadiwa na mkuu wa mashetani?PhD uyo
Unasema?? π π ongeza sauti!Nireteeeeni Gwajima
Nireteeeeeeeeeeeni Gwajima
Nireteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeni Gwajima
Hapa Duniani kuna watu punguani hasa. Yaani na huyu tapeli eti ana kanisa, na kuna watu huwa wanaenda kumsikiliza!!Bora nisiwe na dini kuliko kuhudhuria ibada ya Huyo mw,ehu,