#COVID19 Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima asema kutokufanya social distancing wakati huu wa Covid-19 ni msimamo sahihi

#COVID19 Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima asema kutokufanya social distancing wakati huu wa Covid-19 ni msimamo sahihi

Halafu usisahau kuwa kwa huo mchango wake analipwa posho na nauli ya siku ambayo ni sawa na mishahara ya mwezi mzima ya baadhi ya watumishi wa umma. Kumbuka kuwa watumishi wa umma wanakatwa kodi lakini yeye mshahara wake wa milioni 10 mpaka 11 kwa mwezi haukatwi chochote...Halafu kumbuka pia, kodi yako ndio inamuwezesha kuzungumza yote hayo..

Rejea: Malipo ya Wabunge ni kufuru
 
Wakatia akichangia hoja Bungeni, leo tarehe 10 Februari, 2021, Mbunge huyo wa Jimbo la Kawe amesema:

"Kuna ugonjwa wa Covid-19 ambao umetikisa dunia na nchi yetu imechukua msimamo tofauti na nchi nyingine zozote.

Waheshimiwa Wabunge, natumia nafasi hii kuwatia moyo. Msiogope. Msiogope mnapoambiwa kwamba kuna phase ya pili ya Covid-19. Kilicho na nguvu nyuma ya Covid-19 ni woga uliotengenezwa juu ya Covid-19. The fear of Covid-19 is even [more] powerful than Covid-19 itself (Woga wa Covid-19 una nguvu zaidi ya ugonjwa wenyewe)

Watanzania wote na watu wote, tushinde woga. Tusiogope, tumeshinda na tusonge mbele. Na msimamo wetu wa kutokuchanjwa na msimamo wetu wa kutokufanya social distancing ni msimamo sahihi na utatufikisha mahala sahihi."


Hivi mtu kama huyu anaweza akawa ana akili timamu?
Pumbavu zake
 
Wakatia akichangia hoja Bungeni, leo tarehe 10 Februari, 2021, Mbunge huyo wa Jimbo la Kawe amesema:

"Kuna ugonjwa wa Covid-19 ambao umetikisa dunia na nchi yetu imechukua msimamo tofauti na nchi nyingine zozote.

Waheshimiwa Wabunge, natumia nafasi hii kuwatia moyo. Msiogope. Msiogope mnapoambiwa kwamba kuna phase ya pili ya Covid-19. Kilicho na nguvu nyuma ya Covid-19 ni woga uliotengenezwa juu ya Covid-19. The fear of Covid-19 is even [more] powerful than Covid-19 itself (Woga wa Covid-19 una nguvu zaidi ya ugonjwa wenyewe)

Watanzania wote na watu wote, tushinde woga. Tusiogope, tumeshinda na tusonge mbele. Na msimamo wetu wa kutokuchanjwa na msimamo wetu wa kutokufanya social distancing ni msimamo sahihi na utatufikisha mahala sahihi."


Hivi mtu kama huyu anaweza akawa ana akili timamu?
Kuna watu wanampatia na sadaka
 
Huyu ni brainless na kisomoless kabisa! Yaani mawakala wa kifo wanajitanabaisha waziwazi na huenda ameshawanyonya waumini wake vya kutosha na hahitaji zaka na sadaka zao Tena!

Yaani anajiita askofu huku akishindana na sayansi ambayo haijawahi kutoa majibu yasiyo sahihi! Ngoja nimuombee kwa Mungu wa kweli na haki ninayemuamini ili amchape nao kidogo some ulivyo mtamu na ikibidi aondoke nao! Tenda muujiza Mungu mtakatifu!
PhD uyo
 
Wakatia akichangia hoja Bungeni, leo tarehe 10 Februari, 2021, Mbunge huyo wa Jimbo la Kawe amesema:

"Kuna ugonjwa wa Covid-19 ambao umetikisa dunia na nchi yetu imechukua msimamo tofauti na nchi nyingine zozote.

Waheshimiwa Wabunge, natumia nafasi hii kuwatia moyo. Msiogope. Msiogope mnapoambiwa kwamba kuna phase ya pili ya Covid-19. Kilicho na nguvu nyuma ya Covid-19 ni woga uliotengenezwa juu ya Covid-19. The fear of Covid-19 is even [more] powerful than Covid-19 itself (Woga wa Covid-19 una nguvu zaidi ya ugonjwa wenyewe)

Watanzania wote na watu wote, tushinde woga. Tusiogope, tumeshinda na tusonge mbele. Na msimamo wetu wa kutokuchanjwa na msimamo wetu wa kutokufanya social distancing ni msimamo sahihi na utatufikisha mahala sahihi."


Hivi mtu kama huyu anaweza akawa ana akili timamu?

Yaani huyu jamaa akiongea tu, naiwaza ile video yake.
 
Ntamshangaa mtu ambaye anawasikiliza wabunge wa Tanzania wakiongea, halafu bado anajiuliza kwa nini hii nchi ipo kindezi ndezi.
 
Wakatia akichangia hoja Bungeni, leo tarehe 10 Februari, 2021, Mbunge huyo wa Jimbo la Kawe amesema:

"Kuna ugonjwa wa Covid-19 ambao umetikisa dunia na nchi yetu imechukua msimamo tofauti na nchi nyingine zozote.

Waheshimiwa Wabunge, natumia nafasi hii kuwatia moyo. Msiogope. Msiogope mnapoambiwa kwamba kuna phase ya pili ya Covid-19. Kilicho na nguvu nyuma ya Covid-19 ni woga uliotengenezwa juu ya Covid-19. The fear of Covid-19 is even [more] powerful than Covid-19 itself (Woga wa Covid-19 una nguvu zaidi ya ugonjwa wenyewe)

Watanzania wote na watu wote, tushinde woga. Tusiogope, tumeshinda na tusonge mbele. Na msimamo wetu wa kutokuchanjwa na msimamo wetu wa kutokufanya social distancing ni msimamo sahihi na utatufikisha mahala sahihi."


Hivi mtu kama huyu anaweza akawa ana akili timamu?
Ndo faida ya kupitisha wabunge bila kupingwa.Tunaishukuru NeK kwa kuchakachua kura halali za wananchi
 
Tanzania tumefika mbali sana, hata hatujui njia ya kurudia
Ignorance is a bliss
 
Bora nisiwe na dini kuliko kuhudhuria ibada ya Huyo mw,ehu,
Hapa Duniani kuna watu punguani hasa. Yaani na huyu tapeli eti ana kanisa, na kuna watu huwa wanaenda kumsikiliza!!

Huyu ni njia ya kuelekea jehanam.
 
Back
Top Bottom