Huyo mpuuzi he is very arrogant kwa kusoma hiyo paragraphs ya mwisho.
Halafu kwanini analalamika kwa Tanzania wakati zuio ni la Interpol!? Kwanza HQ ya Interpol hapa EA iko kwao huko Nairobi angeenda kuuliza huko.
Huku Dar ni wamefata order tu. Akawaulize hao interpol atapata majibu yake.