mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,297
- 13,678
Na angekuwa wa upinzani wangesema kaonewaMimi nilidhani Wabunge wanaoonekana hawafai ni wa Upinzani pekee na CCM wote ni Malaika kumbe hata Kwao kuna Vitimbi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na angekuwa wa upinzani wangesema kaonewaMimi nilidhani Wabunge wanaoonekana hawafai ni wa Upinzani pekee na CCM wote ni Malaika kumbe hata Kwao kuna Vitimbi?
atikanaje kama si kuwinda mijimapHuyu ni mwenzetu hivyo hii kesi itakuwa nyepesi sana... Tutakachofanya ni kusubiri kelele za mitandaoni zipoe
Jr[emoji769]ori
Kesi itayeyuka muda si mrefu.
CCM ndo zao ujambazi.Angekuwa wa Chadema ,bavicha wangelalama sana kuwa hizo ni hujuma tu za kisiasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli ana kazi kubwa..Hawa wanaomsifu Magufuli wengi wameozaJuzi tu alikua anapiga mapambio kuwa jpm mkombozi wa tanzania kwenye bajeti ya madini.Maccm bwana