Mbunge wa Kishapu, Suleiman Nchambi (CCM) mbaroni kwa kukutwa na Silaha 16 na risasi 536

To hide their gross incompetence in handling covid 19 pandemic na kuficha takwimu… they'll do anything to change the narrative kuanzia Mwigulu kuteuliwa tena, kelele za Bungeni, kiazi kukamatwa na bunduki na marisasi zote hizi ni mbinu za kuficha uzembe na kukwepa uwajibikaji.
 
Eti wa chama gani huyu??
Kadoji bunge, anawinda nyara za Kigwa??😀😀
Daah tumeipenda wenyewe, wacha tuisome namba eeh......mbele kwa mbele, atalipa faini keshi ya kama milioni 250...

Tukumbushane kwann Rostam aliunga juhudi mkono..

Jela za wezi wa kuku siyo hao...

Everyday is Saturday.........................😎
 
Oooh huyo nae hafai hata kuwa mbunge ni zero
Hakuna maendeleo yoyote aliyofanya Wilaya ya kishapu ,mpaka leo barabara ya vumbi tu



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kumbe bado Kuna majimbo yenye wabunge wa ccm na bado hayana barabara za lami? Huku penye wabunge wa upinzani tunaambiwa tulikosea kuchagua,je na huko kwenu shida ni Nini au unaweza ukachagua ccm na bado ukawa umekosea kuchagua?
 
sasa hii ndio sabotage..,unaeza kuta wamegombana kidogo kwenye lichama lao huko wameamua kupandikiziana silaha majumbani na kupeana kesi maccm hayaaminiki hata kidogo


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hakuna kesi hapo Hizo nyama Bunduki ataziruka atakana hazijui na kusingizia anaishi Dsm hajui ni nani alipeleka Bunduki kwake
 


Waniletee mimi huyu kijana.
 
Amini nawaambia Huu Ni mchezo wa CCM na Jeshi la polisi kuondoa watu kwenye issue ya covid na Chadema kutoka Bungeni. Kumbukeni Leo pia imeachiwa clip ya makonda akitaka wabunge wa upinzani kurudi Bungeni ...



Watanzania acheni kuchezewa na x
" cheap politics".. Endeleeni na mapambano ya corona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
6 May 2020
Shinyanga, Tanzania

Polisi wanamshikilia Mbunge wa Kishapu (CCM)

Polisi mkoani Shinyanga wanamshikilia Mbunge wa Kishapu (CCM) Suleiman Nchambi kwa tuhuma za kukutwa na silaha 16, risasi 536 pamoja na nyara za Serikali. Mbunge huyo alionekana akifanya ujangili kufuatana na taarifa za kiintelejensia na hivyo Jumapili tarehe 3, May 2020 kikosi kazi maalum kilikwenda nyumbani kwa mbunge na kumkuta akiwa na silaha hizo na nyara chumbani kwake hivyo akakamatwa na kutiwa nguvuni.


Source : Mwananchi digital
Hiki chama cha CCM hakiachi asili yake ya ujangili wa kila namna.
 
Hii itakuwa ni mtego,kama siyo njama wasingemtangaza kwenye vyombo vya habari maana hata tbc wamemtangaza
Huyu ni mwenzetu hivyo hii kesi itakuwa nyepesi sana... Tutakachofanya ni kusubiri kelele za mitandaoni zipoe

Jr[emoji769]
 
Toka maktaba/ archives online
6 Aug 2018
Biharamulo, Kagera
Tanzania

Mbunge wa CCM Suleiman Nchambi na wenzake 10 mahakamani kwa tuhuma za rushwa


Mbunge wa Kishapu kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM Suleiman Nchambi pamoja na wenzake kumi wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Biharamuro Mkoani Kagera wakikabiliwa kwa kosa la kujihusisha na vitendo vya rushwa.
Source : Azam TV

Soma zaidi : https://www.mwananchi.co.tz/habari/...1597578-4699380-view-asAMP-cnve5gz/index.html

Mbunge CCM anaswa kwa tuhuma za rushwa - KUSAGA NEWS
6 Aug 2018 · Mbunge wa Kishapu (CCM), Suleiman Nchambi na viongozi watatu wa mgodi wa Stamigold ulioko Tulawaka wilayani Biharamulo mkoani
 
Kishapu Mwaka huu mbuge itakuwa sura mpya kabisa
 
Hivi ni vijimambo,huyu mwenzetu tutamaliza ndani ya chama dola.
 
Hakuna kesi hapo Hizo nyama Bunduki ataziruka atakana hazijui na kusingizia anaishi Dsm hajui ni nani alipeleka Bunduki kwake
Angekuwa ni wa upinzani nadhani msajili angeshakifuta chama chake long huku mhusika ashakabidhiwa wasiojulikana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…