Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha sheria ifuate mkondo wake...Mh...
Hivi ndiye mmiliki wa mabus ya nchambis?Oooh huyo nae hafai hata kuwa mbunge ni zero
Hakuna maendeleo yoyote aliyofanya Wilaya ya kishapu ,mpaka leo barabara ya vumbi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasanii wa CCM kesi zao nyingi zinasikika zinapoanza tu,kusikia mwendelezo wake siyo jambo rahisi.Nyingi huwa haziendi mahakamani zinaishia kwa DPP.Ana maneno ya shombo huyu Jamaa balaa.Kumbe gaidi jangili.Ccm ndo zao.Yule wa mbalali iliishia wap?naye hivi hiv
Sent using Jamii Forums mobile app
ataongea lugha ya nyumbani ataachiwaHii ya lini tena?
Huyu alishawahi kukamatwa kwa ujangili!
Hivi ndiye mmiliki wa mabus ya nchambis?
"corona ipo tuchukue tahadhari"
Amekua addicted na sifa mwingine jion anamwita Yesu
Uyo Kigwangala huwa anapata mgao kutoka kwa majangiri ndo mana anatulia tuWapi waziri wa maliasili na utaliii ulimmaindi diwani kupost picha ya chatu aya sikia jangili kuuu risasi 536 si tembo 500 hao.
Ruge ni chadema eeh? Na Sioi?Huyu ni mwenzetu hivyo hii kesi itakuwa nyepesi sana... Tutakachofanya ni kusubiri kelele za mitandaoni zipoe
Jr[emoji769]
Serikali haina chama umeona sasa Mbunge wa CCM amekatwa na kutangazwa mbele ya vyombo vya habariAna maneno ya shombo huyu Jamaa balaa.Kumbe gaidi jangili.Ccm ndo zao.Yule wa mbalali iliishia wap?naye hivi hiv
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole dada naskia ndio amemaliza kufumuliwa rinda la mwisho kwenye kijambioAngekuwa wa Chadema ,bavicha wangelalama sana kuwa hizo ni hujuma tu za kisiasa.
Sent using Jamii Forums mobile app