Mbunge wa Masasi Mjini Geofrey Mwambe anusurika kifo akiwa na familia yake. Gari alilokuwa akisafiria lateketea kwa moto

Mbunge wa Masasi Mjini Geofrey Mwambe anusurika kifo akiwa na familia yake. Gari alilokuwa akisafiria lateketea kwa moto

Imezoeleka kila mwisho wa mwaka ndipo jeshi la polisi linakuja na hamsha hamsha kusimamia usalama barabarani, ikiwa ni pamoja na kufuatilia mabasi ambayo imeonekana ndiyo chanzo kikubwa cha ajali.

Miezi kadhaa sasa ajali zimeongozana na baadhi ya hizo zimeshuhudiwa zikitokana na maroli au waendesha pikipiki a.k.a bodaboda.

Kwa wiki hii iliyoisha mpaka leo jumatatu ni ajali kama nne zimetokea na kuleta madhira kwa jamii.

Najiuliza, kwa nini hali hii, nikikumbuka kipindi fulani huko nyuma wakati kama huu iliwahi kutokea ajali mbaya na watu kufa.
 
Pole yao sana...

Wakiambiwa watembee na fire extinguisher wanajiona wajuaji sana...
 
Back
Top Bottom