Kwamba sugu ni super handsome!!!Ashakumu si matusi..kimtazamo huyu dada na sugu hawaendani!Kuna uwezekano sugu kachungulia fursa..Mtazamo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikupiga goti...Sikuweka mbwembwe eti ili watu waone ...niliangalia sana macho ya mvishwaji na nilikuwa kiimani zaidi..Ulishapiga goti kuvalisha pete mkuu?
We ni mdini sana,.Huu ujinga wa kumpigia magoti mwanamke wakati wa kumvalisha pete ya uchumba mmeutowa wapi?
Mtumwa haachi asili ya bwanake hata siku moja.
Huu ujinga wa kumpigia magoti mwanamke wakati wa kumvalisha pete ya uchumba mmeutowa wapi?
Mtumwa haachi asili ya bwanake hata siku moja.
Ok sawaSi kweli.
Mimi husahihisha sana sana kwenye makosa ya R na L tu.
Isitoshe, kuna uandishi mbaya na kuna "styles" za kuandika. Usichanganye,
Sugu alianza kwa kuweka jiwe la msingiTumbo vipi mbona halina ushirikiano na Pete!
Sure bro ..watu swala LA utandawazi linawagharimu sana ,kila kitu wanafanya show off. .Vijana mnapotea kuoa wake maonesho ase mtakufa mapema ombeni Mungu mpate wake sio wake maonesho
Mimi nilijua walishafunga ndoa, maana Faiza anavyo litolea povu penzi lao aisee kumbe hata ndoa bado huu uchumba sugu.Hivi kumbe hata pete walikuwa hawajavishana[emoji134][emoji134][emoji134]
Mi nilijua ni mume na mke.
HahahahahHuu ujinga wa kumpigia magoti mwanamke wakati wa kumvalisha pete ya uchumba mmeutowa wapi?
Mtumwa haachi asili ya bwanake hata siku moja.
Ameshatoa neno ngoja nililete hapaNi vizuri ila kazingua kupiga magoti.
Ngoja tusubirie maneno ya yule mropokaji na mkaa uchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo apo faiza katema checheNi vizuri ila kazingua kupiga magoti.
Ngoja tusubirie maneno ya yule mropokaji na mkaa uchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Faiza dishi limeyumbaHahahaha! Kumbe wehu wake wote na kujitoa ufahamu Kumbe bado anamtaka Sugu?
Nani aoe mwehu yule? Tena mbaya zaidi alishindwa kunyamaza kimya
Sent using Jamii Forums mobile app