Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchongo!Inashangaza sana hiiView attachment 2468595
Ni Advanved Diploma naona kuna error kwa aliyeandika hii CV ,miaka ya nyuma IFM walikuwa wanatoa Advanced Diploma ambayo ni Equivalent na Degree ya sasa ambao nao kwa sasa IFM wanatoa degree wameachana na Advanced diplomaInashangaza sana hiiView attachment 2468595
Ni advanced diploma hio maana inaonesha alikaa miaka mitatu darasani toka 2004-2007!Inawezekana hiyo Ni advanced diploma ambayo ni equivalent to Bachelor degree. Huwenda Kuna error kwenye uandishi wa CV yake
Well, thanksNi advanced diploma hio maana inaonesha alikaa miaka mitatu darasani toka 2004-2007!
Huyu sio mteuleHuwa hatuchunguzi kwa umakini hawa wateule ila wengi wana makando makando ya history zao za kitaaluma na hata kiutendaji.
No Wonder wapo so incompetent katika kushika na kuzitendea haki nafasi zao za kiutendaji.
Ni magumashi tu. Kaunga ifm certificate na ordinary diploma. Ilibidi awe na first degree kusoma masters.Inashangaza sana hiiView attachment 2468595
Hivi huwa kuna watu wanajitoaga akili kama wewe?fuatilia mjadala wa nyuma utapata majibuNi magumashi tu. Kaunga ifm certificate na ordinary diploma. Ilibidi awe na first degree kusoma masters.
Na hiyo university aliyosoma masters sijui ina acreditation gani.
Ni magumashi [emoji38][emoji1787]. Wajanja hawa wapwani sisi washamba wabara[emoji1787][emoji1787]
Angewashtaki kwanza Conventry.We kwa utashi wako unaamini coventry university wamepigwa kumruhusu kusoma masters au sio 🤭