KISHINDO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 2,165
- 1,906
Siyo hudhani sema HUELEWI ILI UELEWESHWE.Sidhani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo hudhani sema HUELEWI ILI UELEWESHWE.Sidhani
Yeye pia alisoma zamaniIngekua stated kama 'advanced diploma'. Navyojua advanced diploma ifm siku nyingi zimebadilishwa zinasomeka kama ni degree.
Kuna wimbo wake mpya kuna kipande anasema,, ' hela sio matako kila mtu awe nazo' kisa kapata ubunge wa mchongo kwa kuwa hakuwa chaguo la wanachama wa ccm muheza, ila aliwekwa kilazima na aliyetangulia.. afu haka kajamaa kana dharau flani na kujiona kana IQ kubwa kumbe hata hiyo masters yenyewe ni ya mchongo..Inashangaza sana hiiView attachment 2468595
Sahihi kabisa enzi zile,CBE,IFM TIA na baadhi ya vyuo vya kwenye taasisi walikua wanatoa Advanced diploma ,vyuo hivyo kuanzia 2007 ndo vimeanza kutoa bachelorsInawezekana hiyo Ni advanced diploma ambayo ni equivalent to Bachelor degree. Huwenda Kuna error kwenye uandishi wa CV yake
Certificate+Diploma= Degree with more than adequate field exposureInashangaza sana hiiView attachment 2468595
Si alipaaInashangaza sana hiiView attachment 2468595
Kwa hy baada ya certificate akaend adv diploma
Acha ujuaji wa kifala wewe, advanced dip unaruhusiwa fanya masters isipokua kwa chuo much know Cha udsmUkisoma Advanced diploma unapaswa usome Postgraduate Diploma ili ukwolifai kusoma Masters
Kuanzia 2010Sahihi kabisa enzi zile,CBE,IFM TIA na baadhi ya vyuo vya kwenye taasisi walikua wanatoa Advanced diploma ,vyuo hivyo kuanzia 2007 ndo vimeanza kutoa bachelors
Yeah uko sahihi mkuu, ni equivalent to degree.........Ni advanced diploma hio maana inaonesha alikaa miaka mitatu darasani toka 2004-2007!
Usalama wa taifa sijui wanafanya nini mpk watu wa hovyo wanateuliwa!
Standard 7 si inatosha kuwa MP??Usalama wa taifa sijui wanafanya nini mpk watu wa hovyo wanateuliwa!
Kuna nchi na masomo ambako unaanza na kumaliza kwa MA moja kwa moja (au kwa digrii inayotambuliw kuwa sawa na MA). Si ajabu hata kidogo. Linganisha pia Je inawezekana kusoma master pasipo bachelor's degree kwa aliyesoma diplomaWe kwa utashi wako unaamini coventry university wamepigwa kumruhusu kusoma masters au sio 🤭
mwaka2025 harudi.Inashangaza sana hiiView attachment 2468595