Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda hiyo diploma ni advance diploma which is equivalent to le DegreeInashangaza sana hiiView attachment 2468595
Ni vilaza watupu!CCM wameua elimu yetu ,hao ndio thinkers wa Rais wa samia
Mtafute rafiki yako gugo ukimpata jisomee...Hebu iweke
Usalama wa taifa sijui wanafanya nini mpk watu wa hovyo wanateuliwa!Kuna sura ukiziona ukiambiwa zina masters unachekaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna mawaziri walipata phd kwa miaka mi3, na ana majukumu ya ubunge na uwaziri anasoma saa ngapi! Michongo tu!Hivi huwa kuna watu wanajitoaga akili kama wewe?fuatilia mjadala wa nyuma utapata majibu
Wanakimbizana na mboweUsalama wa taifa sijui wanafanya nini mpk watu wa hovyo wanateuliwa!
Mi nimeangalia hiyo cv yake kwenye bunge. Sasa comment yangu ina kasoro gani? Umeona wapi mtu kufanya masters bila first degree au equivalent qualification.Hivi huwa kuna watu wanajitoaga akili kama wewe?fuatilia mjadala wa nyuma utapata majibu
Ukisoma Advanced diploma unapaswa usome Postgraduate Diploma ili ukwolifai kusoma MastersNi Advanved Diploma naona kuna error kwa aliyeandika hii CV ,miaka ya nyuma IFM walikuwa wanatoa Advanced Diploma ambayo ni Equivalent na Degree ya sasa ambao nao kwa sasa IFM wanatoa degree wameachana na Advanced diploma
Kwa hiyo aliruka kutoka Certificate mpaka Advanced diploma?Labda hiyo diploma ni advance diploma which is equivalent to le Degree
Kuna mwamba alinipanga eti mchizi alikua anafanya kazi Bank alafu,
Hivi anayeandaa hizi profile nani? Nimeona BASATA na taasisi zingine kama Bunge zimewekwa kwenye category ya political party nimechoka
SidhaniUkisoma Advanced diploma unapaswa usome Postgraduate Diploma ili ukwolifai kusoma Masters
Certificate nao ujanjaIla dogo kumbe alikuwa mjanja mjanja sana alisoma information technology 2003
Mtu anasoma palipoandikwa Diploma halafu anasema ni Advanced Diploma.Inashangaza sana hiiView attachment 2468595
Ingekua stated kama 'advanced diploma'. Navyojua advanced diploma ifm siku nyingi zimebadilishwa zinasomeka kama ni degree.Well, thanks